Intelligence ya ccm iko hoi bin taaban.. Ya CHADEMA iko above next level..

Deluded
 
CCM yenye Intelejinsia dhaifu ndo inaongoza kila ngazi ya uongozi wa nchi, CCM imetimiza shabaha kubwa ya Chama Chochote cha Siasa ya Kuongoza ngazi zote, Afu wenye intelejinsia imara hawana wanachoongoza zaidi ya Chama Chao. Akili kama hizi ndo zihafanya CCM iendelee kuwepo madarakani miaka nenda rudi
 
Au mimi ndio sielewi?

Mbona mimi naona machawa wa Mbowe na Lisu ndio wanapopoana humu
 
Yamerudi tena kwa ID Zingine🤣🤣🤣
 
CCM yenye Intelejinsia dhaifu ndo inaongoza kila ngazi ya uongozi wa nchi
Kuongoza kimabavu hakuitaji Intelijensia bali kinachotakiwa ni Brutal Force,Intimidation,Bunduki Marungu ya Polisi na JW.
 
Wanachekesha kweli,Msigwa kumchangia Lissu hela ya press ni sawa na mbu kutoa damu kumchangia binadamu.
 
CCM HAIWEZI KUWA NA INTELIJENSIA HAFIFU. ACHENI KUJIDANGANYA. MNAANZISHA MAMBO WENYEWE NA KUYASPIN WENYEWE.
CCM CHAMA KUBWA
Chama kubwa kingeiba kura na kuliabisha Taifa kwa ushindi wa 99.8%. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 
Intellejensia inatikiwa iwe na sikio pana na macho makubwa ila mdomo mdogo sana, Sasa Intellejensia ikiwa inakuambia ambia hiyo ni Intellejensia au udaku na umbea, yani hata hujielewi mganga.


Anyways wanajua Sema huwezi taja Diaspora wote ukawamaliza
 
Hakika mkuu šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…