Intelligence ya UKRAINE katika Vita hii imekuwa nzuri na yenye Ufasaha kuzidi ya Urusi

Intelligence ya UKRAINE katika Vita hii imekuwa nzuri na yenye Ufasaha kuzidi ya Urusi

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Nipo nasoma soma taarifa fulani na kuzufanyia analysis, nikakutana na taarifa ya huyu Gen. Oleg Mityaev huyu alikua ni General wa 4 wa Russia kuuawa vitani Ukraine. Kufa kwa mmoja au wawili ni hali kawaida vitani, lakini kufa kwa Generals 9 si jambo la kawaida.

Ikumbukwe, Russia iliteua Majenerali 20 wa kuongoza vita ile, kati ya hao 20, majenerali 9 wameuawa, hili si jambo dogo, hii si ajali, hii si kawaida. Afadhali wangekufa kwa mkupuo mmoja, wamedondoshwa mmoja baada ya mwingine, kwa kutumia snipers kila mmoja kwa siku yake.

Gen. Oleg Mityaev aliuawa na sniper kutoka umbali wa Km 1.5.

Kumbuka, kitendo cha snipers hao kuweza kuua karibu nusu ya Russian's Generals wanaoongoza vita, kinatupatia picha nyingine ambayo wengi hawaioni. Picha hiyo ni kuwa, Ukranians Intelligence ipo vizuri sana, wanaweza kufuatilia maadui zao, tena wale viongozi, inakusanya taarifa zao na locatiins zao na kuwapatia snipers ambao pia wanaji position sehemu sahihi kwa wakati sahihi na kumaliza kazi yao...highly disciplined

Tusiwadharau na Putin ha kutegemea hili

Na Kwa Taarifa zaidi Kwa sasa vijana wadogo ndani ya Jeshi la Urusi wanaanza kuwa na mkinzano na wakubwa, wale wazee wazee ambao wako obedient sana Kwa Putin ni wale alitoka nao Enzi zake za KGB ila Kwa sasa mbinu wamezidiwa na vijana wachanga ambao ndo wangeendana sawa na Jeshi la kisasa zaidi

Tuendelee kusubiria Mageneral wengine kuzikwa.

63822C7C-8781-493F-8AF0-85F1BD738EDE.jpeg

Britanicca
 
Nipo nasoma soma taarifa fulani na kuzufanyia analysis, nikakutana na taarifa ya huyu Gen. Oleg Mityaev huyu alikua ni General wa 4 wa Russia kuuawa vitani Ukraine.
Kufa kwa mmoja au wawili ni hali kawaida vitani, lakini kufa kwa Generals 9 si jambo la kawaida.

Ikumbukwe, Russia iliteua Majenerali 20 wa kuongoza vita ile, kati ya hao 20, majenerali 9 wameuawa, hili si jambo dogo, hii si ajali, hii si kawaida. Afadhali wangekufa kwa mkupuo mmoja, wamedondoshwa mmoja baada ya mwingine, kwa kutumia snipers kila mmoja kwa siku yake.

Gen. Oleg Mityaev aliuawa na sniper kutoka umbali wa Km 1.5.

Kumbuka, kitendo cha snipers hao kuweza kuua karibu nusu ya Russian's Generals wanaoongoza vita, kinatupatia picha nyingine ambayo wengi hawaioni. Picha hiyo ni kuwa, Ukranians Intelligence ipo vizuri sana, wanaweza kufuatilia maadui zao, tena wale viongozi, inakusanya taarifa zao na locatiins zao na kuwapatia snipers ambao pia wanaji position sehemu sahihi kwa wakati sahihi na kumaliza kazi yao...highly disciplined

Tusiwadharau na Putin ha kutegemea hili

Na Kwa Taarifa zaidi Kwa sasa vijana wadogo ndani ya Jeshi la Urusi wanaanza kuwa na mkinzano na wakubwa, wale wazee wazee ambao wako obedient sana Kwa Putin ni wale alitoka nao Enzi zake za KGB ila Kwa sasa mbinu wamezidiwa na vijana wachanga ambao ndo wangeendana sawa na Jeshi la kisasa zaidi

Tuendelee kusubiria Mageneral wengine kuzikwa.

View attachment 2199874
Britanicca
Nonsense warusi kila siku wanachukua miji na hakuna cha kufanya Sasa inteligencia gani Sasa mnayo
 
Analyst wa Vita huyo.
Nime-screenshot maneno yako
 
Usisahau Libya na Iraq.
Hao magaidi.
Nawaombea wananchi walioteseka chini ya utawala wa Magaidi hao

Gaddafi alikuwa anataka kumuweka mtoto wake awe rais. Kwanza alimsaidia idd Amin kupigana na Tanzania.. GAIDI.


Saddam Hussein alitaka kutawala kimabavu Iraq na nchi huru ya Quwait GAIDI..
 
Umesema kweli labda...

Twambie na upande wa pili wanagapi wamekufa...je pale Moscow watu wanaenda kazini au wejifungia ndani... tupe na kiev vipi watoto wanenda shule? supermarket je? vipi kazini..

Unajua nini ukisikiliza CNN na nvombo vya habari vya uraya ukraine walishinda vita kitambo sana...

Unajisifia kuuwa..jeshini kifo nikawaid...mwisho wanaangali vipi lengo limefikiwa????

mtu yupo sebuleni kwako wewe umejificha chumbani then unasema nawapiga ...
 
Back
Top Bottom