Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Piga Gaykrania hao
Slava Russiye
Nalog off Z
Slava Russiye
Nalog off Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasaidia nini wakati yeye ndiye kaleta shida?Hao unao watukana ndio walio saidia wamatumbi wenzako kuondoka ukraine baada ya kubaguliwa na ukraine.
kwani nani kamvamia mwenzake?Umesema kweli labda...
Twambie na upande wa pili wanagapi wamekufa...je pale Moscow watu wanaenda kazini au wejifungia ndani... tupe na kiev vipi watoto wanenda shule? supermarket je? vipi kazini..
Unajua nini ukisikiliza CNN na nvombo vya habari vya uraya ukraine walishinda vita kitambo sana...
Unajisifia kuuwa..jeshini kifo nikawaid...mwisho wanaangali vipi lengo limefikiwa????
mtu yupo sebuleni kwako wewe umejificha chumbani then unasema nawapiga ...
Ukiwa na watoto wako ndo uwaambie huo utoto!Nipo nasoma soma taarifa fulani na kuzufanyia analysis, nikakutana na taarifa ya huyu Gen. Oleg Mityaev huyu alikua ni General wa 4 wa Russia kuuawa vitani Ukraine.
Kufa kwa mmoja au wawili ni hali kawaida vitani, lakini kufa kwa Generals 9 si jambo la kawaida.
Ikumbukwe, Russia iliteua Majenerali 20 wa kuongoza vita ile, kati ya hao 20, majenerali 9 wameuawa, hili si jambo dogo, hii si ajali, hii si kawaida. Afadhali wangekufa kwa mkupuo mmoja, wamedondoshwa mmoja baada ya mwingine, kwa kutumia snipers kila mmoja kwa siku yake.
Gen. Oleg Mityaev aliuawa na sniper kutoka umbali wa Km 1.5.
Kumbuka, kitendo cha snipers hao kuweza kuua karibu nusu ya Russian's Generals wanaoongoza vita, kinatupatia picha nyingine ambayo wengi hawaioni. Picha hiyo ni kuwa, Ukranians Intelligence ipo vizuri sana, wanaweza kufuatilia maadui zao, tena wale viongozi, inakusanya taarifa zao na locatiins zao na kuwapatia snipers ambao pia wanaji position sehemu sahihi kwa wakati sahihi na kumaliza kazi yao...highly disciplined
Tusiwadharau na Putin ha kutegemea hili
Na Kwa Taarifa zaidi Kwa sasa vijana wadogo ndani ya Jeshi la Urusi wanaanza kuwa na mkinzano na wakubwa, wale wazee wazee ambao wako obedient sana Kwa Putin ni wale alitoka nao Enzi zake za KGB ila Kwa sasa mbinu wamezidiwa na vijana wachanga ambao ndo wangeendana sawa na Jeshi la kisasa zaidi
Tuendelee kusubiria Mageneral wengine kuzikwa.
View attachment 2199874
Britanicca
Akina Biden wamebaki kuwapata silaha wa Ukraine,na nyingi ya hizo zinabutuliwa hata kabla ya kutumiwa,ngoja siku wakishuhidia mrusi anachukua ukraine yote ndio sijui watamwambiki Kibaraka wao aombe suluhu,na wakati huo mrusi atafanya kuwakomoa Kwa kuichukua nyingine angalao Moja,hivi inayomletea kiherehere zaidi.Nonsense warusi kila siku wanachukua miji na hakuna cha kufanya Sasa inteligencia gani Sasa mnayo
Ona huyu nae mwanaume wa shoka anaefokea nyuma ya key board,akikutana na Panya Road anakimbiza kitambi chake hadi anasahau kimkokoteni chake barabaraniKama nyie wanaume kweli watoeni hao nguchiro ndani ya hayo mashimo.
Ili kujua hali yenu mbaya, mmeamua kumtuma Gutterres akabembeleze mwamba aruhusu hizo Nguchiro zitoke humo ndani.
HahahaJeshi la Russia ukiondoa Nyuklia halina tofauti na Congo
Miji gani wamechukuaNonsense warusi kila siku wanachukua miji na hakuna cha kufanya Sasa inteligencia gani Sasa mnayo
Leo UKRAINE imeshambulia Urusi Kwa mara ya piliJeshi la Russia ukiondoa Nyuklia halina tofauti na Congo
Mrusi wa buza hizo taarifa ni za kutokea ccn,france24,hapo Kwa mabeberu wa ulaya pale Brussels na Kwa mabeberu wa Washington, ushauri wa Bure,sikiliza vyombo huru angalao akina aljazeera,au hata Russia today .utaweza patapata angalao taarifa zenye usahihi kiasi FulaniMiji gani wamechukua
Kuna wanajeshi waliokamatwa mateka zaidi ya 5,000. Yaan wa Urusi
Nataka nipeleke ushauri wangu kuwa wafungwe ankle gps then wapelekwe US na nchi za NATO na wengine wanakizwe Ukraine wakatunzwe kwenye zile hotels za Russian oligarch ili kuwahamasisha wanajeshi wa Russia waanze kujisalimisha😅😅
Britanicca
Imeshambulia mara ya pili,Ilhali mwenzio ameshashambulia mara elfu kumi😂Leo UKRAINE imeshambulia Urusi Kwa mara ya pili
Bryansk inapigwa kwa mara pili hii, mara ya kwanza ilipigwa tarehe 13 April
Britanicca
Hongera kwako wewe uliye mbele ya Keyboard baby girl😍😍😍😍Ona huyu nae mwanaume wa shoka anaefokea nyuma ya key board,akikutana na Panya Road anakimbiza kitambi chake hadi anasahau kimkokoteni chake barabarani
Urusi kavamia Ukraine...kwani nani kamvamia mwenzake?
Maneno ya nani myukrain wa buza.Analyst wa Vita huyo.
Nime-screenshot maneno yako
Russian Today Ni Chombo huru? Utakuwa umechanganyikiwa kweli. Kwenye huu mgogoro Vyombo vingi vya habari Ni kuripoti Fake news TU,Tena hao Russian Today tangu wapigwe pin ndio kabisa wameamua kuwa Pro-Russia. Angalau Kidogo Aljazeera inaripoti kinachotokea au maoni ya Watu mashuhuri.Mrusi wa buza hizo taarifa ni za kutokea ccn,france24,hapo Kwa mabeberu wa ulaya pale Brussels na Kwa mabeberu wa Washington, ushauri wa Bure,sikiliza vyombo huru angalao akina aljazeera,au hata Russia today .utaweza patapata angalao taarifa zenye usahihi kiasi Fulani
Sijachanganyikiwa ila ni mawazo huru tuRussian Today Ni Chombo huru? Utakuwa umechanganyikiwa kweli. Kwenye huu mgogoro Vyombo vingi vya habari Ni kuripoti Fake news TU,Tena hao Russian Today tangu wapigwe pin ndio kabisa wameamua kuwa Pro-Russia. Angalau Kidogo Aljazeera inaripoti kinachotokea au maoni ya Watu mashuhuri.
Husikii kwakuwa waukrain wa buza,walishashushiwa vitu vizito mabichwani na mrusiAcheni zenu bana, tunataka thread za kusifia JAVELINA kama zamani, saivi naona mnakuja na mambo mengine tu ya ajabu ajabu.