Intelligensia juu ya Mabomu ya Arusha

Intelligensia juu ya Mabomu ya Arusha

ila nawalaumu pia viongozi wangu wa chama,kama video wanasubiri nani ili waitoe
 
Polisi walitumwa na wakuu wao ndiyo maana wako kimya
 
Waliokamatwa ni vijana wa kiislam ambao walishawahi kusafiri kwenda yemen ndicho kigezo polisi walichotumia

HUU UISLAM MNAUFANYA KUWA DELICATE SANA. NAKUAMURU USEME MANENO YAFUATAYO.

waliokamatwa ni vijana kadhaa.
 
Nasema hivyo kwasababu polisi hawajawahi kushindwa kuwakamata wahalifu,siku zote majambazi wanapofanya matukio kesho yake utasikia yamekamatwa mahali Fulani,hata milipuko ya majuzi tayari wameshakamata washukiwa,lakini wale waliolipua mkutano Wa chadema mwaka Jana,hadi leo bado hawajawakamata mtu yeyote,eti wanategemea chadema wawape ushahidi sijui ndiyo waanze uchunguzi au kwakuwa wanahusika wauharibu.
Ikiwa mlipuko Wa juzi tayari washukiwa wameshawadaka,inakuwaje kwa Wa olesiti?hii inanifanya niamini kuwa wahusika walikuwa ni polisi .

Polisi wa TZ na USALAMA TAIFA kazi yao kubwa ni kulinda usalama viongozi wa CCM na KUZUIA MAANDAMANO YA CHADEMA NA KUKANDAMIZA UPINZANI TU. MBONA walioua padri hawajakamatwa mpaka leo....!!!!!stupid.
 
Hizi ni ndoto, mtu amelala na mke wake ameamkia kwenye mbege amekuja na hii thred
 
Polisi wa TZ na USALAMA TAIFA kazi yao kubwa ni kulinda usalama viongozi wa CCM na KUZUIA MAANDAMANO YA CHADEMA NA KUKANDAMIZA UPINZANI TU. MBONA walioua padri hawajakamatwa mpaka leo....!!!!!stupid.
Jisachi kichwani,naona km akili yako imehama
 
Chadema walijilipua wenyewe ndio mana waliweza kuandaa mkanda
 
Hapana hakuna kuuliza police wakishirikiana na chemba walilipua mabomu olasiti na mkutano wa chadema, hata kikwete analijua hilo ndo maana hatak kuunda tumehuru ya majaji!!
 
Umekosea kodogo sema "amani ya nchi hii imeharbiwa na ccm waotaka kutawala milele"

hajakosea hata kidogo,inataka kuharibiwa na machadema yanayotaka kuingia madarakani kwa nguvu hata kwa kumwaga damu
 
Back
Top Bottom