International friendly: Tanzania (Taifa Stars) vs Ivory Coast (Les Éléphants)-Updates

Balantanda

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2008
Posts
12,480
Reaction score
4,775
Heshima mbele wakuu,leo Timu yetu ya Taifa ya Tanzania(Taifa Stars) inacheza na Timu ya Taifa ya Ivory Coast(Les Éléphants) katika mechi ya kirafiki ya kimataifa.Ni vizuri tukawa tukipeana updates za nini kinaendelea katika mtanange huo...

Kila la heri Taifa Stars

Nawasilisha

================
================

Matokeo ya Mwisho: Tanzania 0 - 1 Kodivaa



 
Mliopo Dar, tupeni nini kimejili na kinachoendelea katika mechi ya kirafiki kati ya timu yetu na Ivory Coast.....
 
Game itaanza saa 1:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Nina imani TBC watairusha live
 
Mechi inaanza 1930hrs EAT yaani saa moja na nusu usiku kwa masaa ya Tanzania. Na ticket za mechi hiyo zimeandikwa muda huo.
 
Hivi TFF inakuwaje unanunua tiketi ya 10,000 unakaa VIP?Rushwa.....kibaooo hakuna anaokaa kulingana na tiketi yake .................
 
TFF si majizi tu haya hakuna kitu pale .na hivi mweakalebela anakusanya hela ya kampeni za ubunge Iringa mbona kazi ipo
 
Anayejua kwa uhakika ni steshen gani wataonyesha live, tujulisheni
 
Na cha kushangaza zaidi, sielewi kwa nini mechi zinazochezwa uwanja wa Taifa tiketi zake haziandikwi namba za viti na eneo la kukaa wakati viti vyote uwanjani vina namba..au ndio shamba la akina Tenga, Mwakalebela na wenzake kujivunia mihela? Kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
 
Game moja na nusu kwa mujibu wa tiketi yangu, hivi na shut down nielekee uwanjani,
 
Wakuu any updates??,maana kipute kinaanza kama dakika 15 zijazo
 
waungwana hizo live streaming ni kweli? mbona sioni kitu zaidi ya maneno matupu kwenye hizo link mlizotuma hapo juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…