Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah wamejitahidi, hii inaonyesha kuna kamaendeleo flani japo bado tupo kwenye safari ya kujiweka pazuri zaidi, kwa ujumla nionavyo hii timu itakuwa na maendeleo siku hadi siku kama mipango na mwenendo ulioanzishwa kuiendeleza timu utaendelea. Ni vigumu sana kubadilika kutoka hauwezi mpaka ufikie hatua useme ninaweza, juhudi ya wachezaji kimaalifa zaidi na sio kutegemea kipaji pekee, usimamizi na uendeshaji mzuri wa chama cha soka, pamoja na ushirikiano kutoka kwa serikali, wadhamini na wananchi kwa ujumla hiyo ndio siraha ya kusonga mbele na sio kukaa tukiguna kila cku na kudhani kwamba hatuwezi. Hawa wote tunaoona wanaweza leo wameanzia mbali sana na hadi hapo walipofika imewaghalimu ... so hongera taifa stars na naomba wadau tuendelee kuiunga mkono timu yetu ya taifa,Wamejitahidi Stars kwa kweli,japo tumefungwa hilo goli moja
dakika ya 89 TZ 0 -Ivory coast 1..Taifa stars wako makeniko mnooo yaani ni kuumizana tu...very unproffesional of them..sijawapenda hata kidogo..Mpaka Drogba katolewa kuogopa kuumizwa ..TZ nguvu nyingi maarifa hakuna
which is a result of Tanzania-Côte d'Ivoire, please urgently - thx
Can someone tell me the result of the match-Tanzania -Côte d'Ivoire...thx
what results do you want they are telling you it is star 0-ivory cost1which is a result of Tanzania-Côte d'Ivoire, please urgently - thx
Yah niliangalia huo mpira na goli la drogba mi naweza kusema ni la kawaida,kwanini nasema hivo hata Ngassa na Tegete pamoja na Mgosi wanaweza wakafunga mabao kwa njia hiyo aliyofunga Drogba sema hawakuapata nafasi au kutumia nafasi ya kufunga.Taifa Starz kwa kusema kweli wamejitahidi sana pamoja na kwamba tumecheza na timu iliyo mbele kisoka! mi nawapa hongera sana Taifa Starz!
Next years tukiendelea hivi tutakuwa tishio kama alivosema Roger Millar kwenye mpambano wa Stars na cameroon kule Younde,Cameroon,Roger Millar alishangazwa na kiwango cha Stars kule Younde!
Taifa Stars hii hii ambayo imeshindwa ata kuchukua Challenge Cup? Labda tubadirishe kocha na sio huyu kilaza tuliye naye sasa hivi.
Kocha sio Tatizo,tatizo ni wachezaji wetu.
Mimi nitaendelea kusema Maximo ni kocha mzuri sana,hata kama ataenda bado atakua kocha mzuri tuliye wahi kuwa nae hapa Tz.
Tumefungwa sawa,lakini kikosi kimeonyesha kukua kimchezo kuliko tulivyo wahi kua huko nyuma timu yetu imekua bora sana.
wachezaji wa kibongo wanapenda sifa kama hizi na sio kucheza mpira...Hata hivyo muda mfupi baadaye, beki Kolo Toure aliokoa mkwaju dhaifu wa mshambuliaji huyo wa Stars mwenye kasi aliyejaribu kumchambua kipa.