Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
- Thread starter
- #41
Tuna mpira huo??
Uko uwanjani ama??,mpira wa Afrika unafanana aisee,so twaweza tu kuwafunga wao wametuona ndo maana wakaamua kuja kufanya trial na sisi kabla hawajaenda kupambana Angola,binafsi nina imani sana na timu yetu ya sasa,niliiona ilivyocheza na Cameroon Dar na Younde ilicheza vizuri sana.Pia hata mechi na New Zealand(ambao baadhi yetu tuliwadharau lakini June wanakipiga bondeni) tuliyowachapa 2-1 niliwaona pia,timu ni nzuri though kuna mapungufu machache sana ya kurekebisha..Tusubiri dakika 90 na tuone