Wanakula bata?????????? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]IB curriculum = (mtaala wa advance wa bongo mara)²⁰⁰
Unachanganyiwa na philosophy hesabu kila subtopic una swali la philosophy kuhusu hyo sub topic na mwanafunzi anachukua HL 3 na SL 3
Hapo bado 4000 word's research paper inayokuwa marked twice na waalimu shuleni na IB markers nje ya nchi,,,, halafu unasema wanakula bata???
Below ni mfano of what the kids are going through on a single topic of properties of water
View attachment 2091688