Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
Hizi shule ni nomaNdio maana Yule mwana-dada CEO wa SIMBA anajiamini kupitiliza maana Kasoma hapo toka chekechea.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Wanasoma non stop? Kuna Likizo acha ubishi wa kijinga, wale likizo zao unazani wanaenda kusoma Tuition?Wanakula bata?????????? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]IB curriculum = (mtaala wa advance wa bongo mara)Β²β°β°
Unachanganyiwa na philosophy hesabu kila subtopic una swali la philosophy kuhusu hyo sub topic na mwanafunzi anachukua HL 3 na SL 3
Hapo bado 4000 word's research paper inayokuwa marked twice na waalimu shuleni na IB markers nje ya nchi,,,, halafu unasema wanakula bata???
Below ni mfano of what the kids are going through on a single topic of properties of waterView attachment 2091688
Oooooh so unadhani trip zinakuwa organized na shule as a study trip,,, maybe kwa Watt walio develop affinity na bongo,,, most of kids hurudi makwao during summer vocation ,,,, hakuna any study trip kwa wakati wa summer unless wametaka wanafunzi wa IB diploma au MPYWanasoma non stop? Kuna Likizo acha ubishi wa kijinga, wale likizo zao unazani wanaenda kusoma Tuition?
Shule flani huko Tanzania bara
Mkuu wivu unatoka wapi tena, au hujaelewa kilichoandikwa.Acha wivu laumu wazazi wako
Una uhakika kuwa unajua international school ni nini??Shule flani huko Tanzania bara
Acha kujipendekeza kumendea connection, pambana ili wanao baadae waombwe connection. Wa TZ MNA matatizo gani? Sawa kasoma na Jurgen, so! Kapata nini? Acheni kufundisha vijana uchawa!Kuhusu connection ni kweli kabisa ..consider kalimangonga ongala..mtoto wa remi ongala amesoma ist pamoja na mtoto wa bakhresa na ni marafiki Sana na Kuna kipindi alikuwa Kocha Azam...unafikiri Kali atalala njaa mjini so kuhusu connection ni kweli...mfano mwingine Mimi ni mwalimu Kuna dogo ni mwanafunzi wangu anasoma St Joseph ni class mate wa mtoto wa magufuli jurgen Yule bonge wa mwisho...
Darasa moja watoto Mia 3π€π€π€π€π€Na mm vijana wangu lazima wasome huko sio kaka mrudikano wa shule za kata wanafunzi wote wa hapo hapo kijijin hakuna exposure yeyote ni ujinga ujinga tu
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Really,, burgers na hotdogs kwenye lunch box ya mtoto?? Au kwa school cafeteria?? DuuuhShuleni watoto wanakula burger, hotdog, chipsi kuku mayai au unachagua unachotaka kula, wanafuliwa machup na maant, walimu wazungu, waganda , Kenya na naigeria, wabongo wapo wachache walianzia assistance, alafu mishahara Yao ya chini, sio Kama ya wageni.
Watasoma tu, baba yao hana hela sana za kuwapeleka? Au hataki wakae mbali naye!I wish ningekuwa na pesa wanangu wangesoma IST pasi na Shaka...
Kawaida kabisa ukipigana kutafuta helaHaizidi 4.5M including usafiri, wana ufaulu mzuri sana pia kuna Right Way ipo Mbezi Makonde inamilikiwa na Nehemia Mchechu na Mkewe Mercy Luhanga.Ada zao hazipishani sana.