Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

Nimetumia hizo wire turn, thor etc lakini nilikuja kuona naichosha tu simu yangu maana zina run background, network bandwidth ndogo, slow internet connection mwishowe simu ina struggle sana ku access internet inaishia kupata moto kuliko kawaida yake. Kwanini maisha ya betri yasipungue!
Set simu yako isi run background
 
Mbona una furaha sana au unatumia vpn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wala😂
Huyo Extrovert amewasilisha kile nilichotaka kuuliza
Nilikuwa nafuatilia tu ili na mimi niepukane na unyonyaji wa vocha na vifurushi.
Nimekata tamaa baada ya kusikia inakubali Kwa line ya Halotel.
 
Ni usumbufu tu, kila mra unahangaika kutafuta server yenye kitonga...
Vpn ni muhimu kazi yake siyo free data tu acheni kukalili wenzenu tunatumia vpn hata bila ya free data ..maana naona watu wa ccm wanataka kudanganya watu humu ili wawape kesi chafu za kufichua ukweli.
Faida ya vpn ni nyingi tu mfano mimi naweka pesa kwenye mifumo tofauti na mifumo ya kampuni za simu na ikatokea nataka kuleta pesa kwenye mfumo wa kampuni za simu na bando sina hivyo vpn inaniokoa kutoa pesa na kuzileta kwenye simu ..pia inasaidia kuto kutumia sana bando kutaka kujua nini kinaendelea duniani kama hapa JF
 
Mimi inaniletea hivi
Kwahiyo lazima niconnect data ndio nitumie??
Nashindwa kuelewa mana nna bundle hivo nikiwasha data sielewi inayotumika ni hivo vpn au ni bundle languView attachment 2330104
Ngoja bando liishe ...ila kazi ya vpn siyo tu kukupa data bure ...maana nawaona wapinga vpn wanashadadia bando tu kama ndiyo kazi ya vpn wakati lengo kuu la vpn siyo free net
 
Aisee

Endelea kuota nipo na Thor apa naserereka sio poa [emoji119]

Juzi Thunder serva ya UK ilikua [emoji91]
Hivi ilitokea nini juzi na jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana mimi nime download movies za kama GB 30 hivi na kuangalia live muvi kama za gb10 hivi ilikuwa kasi hatari...simu yangu ina storage ya GB128 baada ya kudownload hayo mamuvi simu inakaribia kujaa maana ilikuwa na free space kama gb38 tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vya bure vina gharama...
Wewe zuzu umekremu kazi ya vpn ni kupata data bure tu ? Sasa acha nikuambie wezio tunatumia vpn siyo kwa data tu bali kwa sababu za kiusalama pia na ndiyo lengo kuu la VPN
 
Hiyi ilitokea nini juzi na jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana mimi nime download movies za kama GB 30 hivi na kuangalia live muvi kama za gb10 hivi ilikuwa kasi hatari...simu yangu ina storage ya GB128 baada ya kudownload hayo mamuvi simu inakaribia kujaa maana ilikuwa na free space kama gb38 tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unatumia VPN gani na mtandao you inakimbiza hivyo ?
 
Hello wanajamii forums,

Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c

Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh.

Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo!

Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Mimi sim yangu nilinunua dukan mpya ikiwa na mAh 5000 betri ilikua inakaa siku 2 hata nisipo zima data ,me huwa nawasha data asubui saa 12 na huwa sizimi data mpka usiku inakuwa na 70% au 60% na nikifika sicharg mpka kesho yake usiku inakuwa imebaki 10% .

Sasa cha ajabu saiv naanza kutumia asubui ikiwa na 100% ila haifiki jion imeisha.

Nime download application nyingi zaid ya 20 kuna zingine zisitumii sana, je tatizo ni nini?
 
Aisee

Endelea kuota nipo na Thor apa naserereka sio poa [emoji119]

Juzi Thunder serva ya UK ilikua [emoji91]

Acha mbwembwe alafu za uongo, vpn lazima.uwe na.internet.ndo uconnect na.haiwezi.kuact kama.mtandao wa.simu haina infrastructure izo
 
Mimi sim yangu nilinunua dukan mpya ikiwa na mAh 5000 betri ilikua inakaa siku 2 hata nisipo zima data ,me huwa nawasha data asubui saa 12 na huwa sizimi data mpka usiku inakuwa na 70% au 60% na nikifika sicharg mpka kesho yake usiku inakuwa imebaki 10% .

Sasa cha ajabu saiv naanza kutumia asubui ikiwa na 100% ila haifiki jion imeisha.

Nime download application nyingi zaid ya 20 kuna zingine zisitumii sana, je tatizo ni nini?

Jitahidi ununue portable wifi devices data ni battery draining
 
Kwahio vpn walikupa laini ya simu? Walikutengenezea minara? Acha mbwembwe
Hivi wewe nguruwe wa sisiemu bado tu tunabishana kuhusu vpn wakati tumekuambia sisi tunatumia ....wewe babayako aliuza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
 
Hivi wewe nguruwe wa sisiemu bado tu tunabishana kuhusu vpn wakati tumekuambia sisi tunatumia ....wewe babayako aliuza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
achana naye huyo muda tu nimetoka kutumia http custom na ha tunnel
 
Acha mbwembwe alafu za uongo, vpn lazima.uwe na.internet.ndo uconnect na.haiwezi.kuact kama.mtandao wa.simu haina infrastructure izo
Mkuu, zungumza basi kama unamiliki kichwa, usi type ili mradi umetype! Ningepangiwa mitaa ya kwenu nisingekuhesabu kabisa, wewe na familia yako! Ebo! 😡
 
Back
Top Bottom