Set simu yako isi run backgroundNimetumia hizo wire turn, thor etc lakini nilikuja kuona naichosha tu simu yangu maana zina run background, network bandwidth ndogo, slow internet connection mwishowe simu ina struggle sana ku access internet inaishia kupata moto kuliko kawaida yake. Kwanini maisha ya betri yasipungue!
Zipo vpn zina ajenda ya siri ila vpn kama vpn haiwezi kuua betri labda hivyo vpn iwe na viambata vya siri ndani yake vyenye kurun background kwa lengo la kuua simuMtoa mada yupo sahihi...
Mbona una furaha sana au unatumia vpn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wala😂Mbona una furaha sana au unatumia vpn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zima background data mambo yote ya auto update yawe off nkKwa tunatakiwa tuset vp boss
Vpn ni muhimu kazi yake siyo free data tu acheni kukalili wenzenu tunatumia vpn hata bila ya free data ..maana naona watu wa ccm wanataka kudanganya watu humu ili wawape kesi chafu za kufichua ukweli.Ni usumbufu tu, kila mra unahangaika kutafuta server yenye kitonga...
Ngoja bando liishe ...ila kazi ya vpn siyo tu kukupa data bure ...maana nawaona wapinga vpn wanashadadia bando tu kama ndiyo kazi ya vpn wakati lengo kuu la vpn siyo free netMimi inaniletea hivi
Kwahiyo lazima niconnect data ndio nitumie??
Nashindwa kuelewa mana nna bundle hivo nikiwasha data sielewi inayotumika ni hivo vpn au ni bundle languView attachment 2330104
Wacha ubishi jomba vpn zipo na mm natumia hata sasa [emoji849]acha kupoteza mda hakuna vpn ya free internet
Kuna namna unatakiwa umvue chupi huyo mtoto ndio unaanza kupewa data bure[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ilitokea nini juzi na jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana mimi nime download movies za kama GB 30 hivi na kuangalia live muvi kama za gb10 hivi ilikuwa kasi hatari...simu yangu ina storage ya GB128 baada ya kudownload hayo mamuvi simu inakaribia kujaa maana ilikuwa na free space kama gb38 tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee
Endelea kuota nipo na Thor apa naserereka sio poa [emoji119]
Juzi Thunder serva ya UK ilikua [emoji91]
Wewe zuzu umekremu kazi ya vpn ni kupata data bure tu ? Sasa acha nikuambie wezio tunatumia vpn siyo kwa data tu bali kwa sababu za kiusalama pia na ndiyo lengo kuu la VPNVya bure vina gharama...
Unatumia VPN gani na mtandao you inakimbiza hivyo ?Hiyi ilitokea nini juzi na jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana mimi nime download movies za kama GB 30 hivi na kuangalia live muvi kama za gb10 hivi ilikuwa kasi hatari...simu yangu ina storage ya GB128 baada ya kudownload hayo mamuvi simu inakaribia kujaa maana ilikuwa na free space kama gb38 tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nije Pm mkulugwa unipe Ideas za Vpn ?Kuna namna unatakiwa umvue chupi huyo mtoto ndio unaanza kupewa data bure😂😂😂
Mimi sim yangu nilinunua dukan mpya ikiwa na mAh 5000 betri ilikua inakaa siku 2 hata nisipo zima data ,me huwa nawasha data asubui saa 12 na huwa sizimi data mpka usiku inakuwa na 70% au 60% na nikifika sicharg mpka kesho yake usiku inakuwa imebaki 10% .Hello wanajamii forums,
Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c
Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh.
Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo!
Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Aisee
Endelea kuota nipo na Thor apa naserereka sio poa [emoji119]
Juzi Thunder serva ya UK ilikua [emoji91]
Wacha ubishi jomba vpn zipo na mm natumia hata sasa [emoji849]
Mimi sim yangu nilinunua dukan mpya ikiwa na mAh 5000 betri ilikua inakaa siku 2 hata nisipo zima data ,me huwa nawasha data asubui saa 12 na huwa sizimi data mpka usiku inakuwa na 70% au 60% na nikifika sicharg mpka kesho yake usiku inakuwa imebaki 10% .
Sasa cha ajabu saiv naanza kutumia asubui ikiwa na 100% ila haifiki jion imeisha.
Nime download application nyingi zaid ya 20 kuna zingine zisitumii sana, je tatizo ni nini?
Hivi wewe nguruwe wa sisiemu bado tu tunabishana kuhusu vpn wakati tumekuambia sisi tunatumia ....wewe babayako aliuza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombeKwahio vpn walikupa laini ya simu? Walikutengenezea minara? Acha mbwembwe
achana naye huyo muda tu nimetoka kutumia http custom na ha tunnelHivi wewe nguruwe wa sisiemu bado tu tunabishana kuhusu vpn wakati tumekuambia sisi tunatumia ....wewe babayako aliuza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
Mkuu, zungumza basi kama unamiliki kichwa, usi type ili mradi umetype! Ningepangiwa mitaa ya kwenu nisingekuhesabu kabisa, wewe na familia yako! Ebo! 😡Acha mbwembwe alafu za uongo, vpn lazima.uwe na.internet.ndo uconnect na.haiwezi.kuact kama.mtandao wa.simu haina infrastructure izo