Internet ya uhakika na bei sawa na bure ni Adsl ya TTCL

Internet ya uhakika na bei sawa na bure ni Adsl ya TTCL

Ndio bei rahisi ila user wengi kwaiyo mbps nayo inapungua
Internet za waya mara nyingi hazina hii shida, adsl tabu yake tu ni Analog tu, ukiwasha router inasoma 3+ Mbps unatumia wee speed inashuka hadi 2mbps ama 1mbps inabidi restart router tena speed inarudi tena etc. Ila overall sio internet mbaya kwa 25,000.
 
Back
Top Bottom