Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
Du! Mkuu we acha kabisa ngoja tujikongoje tu.Yule jamaa anatakiwa aimiliki Tanzania. Maana hela anayo tumpe nchi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtandao Gani hiyo 50K?Ulieleta Uzi huu ubarikiwe Sana,hatimae Leo nimejiunga na postpaid package ya 50k ili niitest,ikiwa fresh na hawapunguzi speed ntahamia package ya 75k
Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
TigoMtandao Gani hiyo 50K?
Mimi ninayo hiyo ya sim card, kipindi hiko ilikuwa gb 37 lakini wanapunguza gb kila leo, kiasi kiko poa maana tunatumia watu wawili kwa mwezi mzima bila shida yoyote.Tigo hawana unlimited ukitaka unlimited labda waje wakufungie ki dish flan hv ila ni gharama sana na mara nying hua naona vipo kwenye taasisi mfano hospitali wanalipa 900,000/= na unlimited kwel nikaona na zantel wanalipa 600,000/= ni unlimited kwel
Unlimited ipo vodacom kuna kitu wanaitwa super kasi zipo super kas za aina mbil
1. kuna super kas yakufungiwa kifaa maaluum then kuna router fresh kwenye kulipa hawatak janja janja usipo lipa unalimbikiza deni na watataka ulipe Gharama ni 115k unapata 2.5MB/s ambayo ni sawa na 20Mbps na 165k
ambayo ni 4MB/s sawa na 30Mbps
2. Aina ya Pili ya super kasi wanakuunganisha na lain yako moja kwa moja hii njia itakuhitaj kusajil lain mpya ya vodacom au kama una lain ya vodacom kuanzia mwaka huu itakubal ukibonya menu yao ya voda ile menu ya kawaida namba 6 ukakuta imeandikwa kasi wenye lain za vodacom za zaman hiyo menu hawana hapo walipo andika kasi ndo unatakiwa ujiunge naipenda hii huduma kwanza unatembea na sim mda wote lain yako unayo unahama kama unavotaka sasa kule ukijiunga kifurush mfano 50k unapata 28GB hzio GB zikiisha unapunguziwa speed had 300kb/s ila utatumia mwez mzima free kwa speed hiyo ndogo kina nisave sana hua najiunga 10k napata 3GB zikiisha bado nakua na internet ilayene kimited speed ya 200kb/s had 300kb/s hapo nachat vzr whatsapp insta naangalia na movie netflix vzr kabisa hapo chaguo ni lakoView attachment 2335889
View attachment 2335891
Mkuu Mimi nazungumzia post paid na sio hivi vifurushi vya kawaida (pre paid)
We jamaa unapigwa ona hapa unga cha gb30 kwa 25k au 50000 kwa gb65 View attachment 2336336View attachment 2336337
Nakufata inboxUlieleta Uzi huu ubarikiwe Sana,hatimae Leo nimejiunga na postpaid package ya 50k ili niitest,ikiwa fresh na hawapunguzi speed ntahamia package ya 75k
Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
Doooh, nilijua unlimited
Naweza kuifanya line yangu ya voda kuwa line ya superkasi?Tigo hawana unlimited ukitaka unlimited labda waje wakufungie ki dish flan hv ila ni gharama sana na mara nying hua naona vipo kwenye taasisi mfano hospitali wanalipa 900,000/= na unlimited kwel nikaona na zantel wanalipa 600,000/= ni unlimited kwel
Unlimited ipo vodacom kuna kitu wanaitwa super kasi zipo super kas za aina mbil
1. kuna super kas yakufungiwa kifaa maaluum then kuna router fresh kwenye kulipa hawatak janja janja usipo lipa unalimbikiza deni na watataka ulipe Gharama ni 115k unapata 2.5MB/s ambayo ni sawa na 20Mbps na 165k
ambayo ni 4MB/s sawa na 30Mbps
2. Aina ya Pili ya super kasi wanakuunganisha na lain yako moja kwa moja hii njia itakuhitaj kusajil lain mpya ya vodacom au kama una lain ya vodacom kuanzia mwaka huu itakubal ukibonya menu yao ya voda ile menu ya kawaida namba 6 ukakuta imeandikwa kasi wenye lain za vodacom za zaman hiyo menu hawana hapo walipo andika kasi ndo unatakiwa ujiunge naipenda hii huduma kwanza unatembea na sim mda wote lain yako unayo unahama kama unavotaka sasa kule ukijiunga kifurush mfano 50k unapata 28GB hzio GB zikiisha unapunguziwa speed had 300kb/s ila utatumia mwez mzima free kwa speed hiyo ndogo kina nisave sana hua najiunga 10k napata 3GB zikiisha bado nakua na internet ilayene kimited speed ya 200kb/s had 300kb/s hapo nachat vzr whatsapp insta naangalia na movie netflix vzr kabisa hapo chaguo ni lakoView attachment 2335889
View attachment 2335891
Supakasi internet unapata speed ya internet ila line unaeza ifanya iwe kwenye Kasi internet ambayo wapata na free MiFi Kwa malipo ya post paid ya 50kNaweza kuifanya line yangu ya voda kuwa line ya superkasi?
Nenda kabadilishe kifurushi MkuuHapo kuna namna napigwa mkuu. Mi mwenyewe natumia Post Paid kila baada ya tar 5 hadi 7 wananitumia bili yangu. Na mimi nilichukua data tu peke yake.
Hapana, unlimited funga Supakasi unalipa 120k kila mweziDoooh, nlijua unlimited
Nenda kabadilishe kifurushi Mkuu
Mkuu naomba ufafanuzi nmeenda kweny vodadesck hapa Jirani mtaan kwangu sa sio vodashop kamili ni hawa wa mtaani amesema kuwa hiko cha 20k na 10k gb zikiisha net inakata ila cha 50k ndo hakikati hata gb zikiisha unapunguziwa speed tu ila net unaendelea kupata kama kawa sasa nawe umesema hata cha 10k na 20k unapata net hata zikiisha gb nachanganyikiwa hii ikoje hasa mkuu pia nitaomba namba ya mtu wa vodashop anaeweza kuunga hii kitu
Hao Ttcl nishawakatia tamaa na sidhani kama wataniwekea hiyo fiber yao ,mwezi wa pili huu tangu nijaze fomu lakini hata surveyor sijamuona. Najipanga nichukue Supakasi maana 120k each month sio mchezo Mkuu [emoji38]Nataka nijitoe kwanza ila TTCL ndio siwaelewi wananiletea huduma lini.
Kwa shillingi ngapi?Inasemekana wanaojiunga kuanzia leo bando za Postpaid tigo wamezipunguza....
Yalikuwa madai ya mtoa huduma Monday wakati najiunga.
Leo mapema tu wameshanitumbukizia 65GB zangu naendelea kula maisha.
50kKwa shillingi ngapi?
Karibu upate supakasi chap tu ndan ya wiki tayari kwann usumbuke bossHao Ttcl nishawakatia tamaa na sidhani kama wataniwekea hiyo fiber yao ,mwezi wa pili huu tangu nijaze fomu lakini hata surveyor sijamuona. Najipanga nichukue Supakasi maana 120k each month sio mchezo Mkuu [emoji38]