Internship (Manamba) mashambani Israel?

Internship (Manamba) mashambani Israel?

Coordinator ni Bashe
Bashe kaja juzi tu na kakuta hiyo Program ipo toka SUGECO ianzishwe 2011 pale SUA. Wakati huo Bashe alikuwa kwao Somalia anapigana Jihadi na Al Shabaab.

Sio chuo kimoja tu kinachopeleka vijana Israel kwa ajili ya vitendo. Kuna vyuo hadi vya Dioloma na Certificate vinavyopeleka vijana Israel kujifunza zaidi. Mwaka juzi kuna Chuo cha kilimo Dabaga kule Kilolo Kilioeleka wanafunzi 20 wakakaa Israel mwaka 1 wakijifunza Kilimo na sasa wanalitumikia Taifa.
 
Scholarship/internship zina tolewa SUA Kwa wanafunzi wote wenye vigezo ww kama ni darasa la 7B endelea tu kusosola kwa mama kizimkazi
Hata la saba wengi tu wameenda sio Sua TU ndio upeleka.
Hata vikundi vya wakulima
 
Wapo madalali ambao hiyo ni kazi yao.

Ukifika huko wanashikilia pasipoti yako mpaka gharama za kukusafirisha zirudi.

Ukifa ndo hivyo bahati mbaya.

Mwisho ataitwa mzazi ili kutambua DNA ndo wasake mwili .

Na hii yote ni ugumu wa ajira.
 
Huu utaratibu wa kupeleka vijana Israel;

1. Nani anaratibu?

2. Sifa za kujiunga Ni zipi? Maana naona wanufaika wanatokea Kanda ya Kaskazini zaidi, Kuna nn hapo? Ukute Coordinator Mangi anapata Dola zake kimyaa huku vijana wanafuata kifo.

3. Usalama wao upoje? Shambani/vitani.

4. Je, ipo MoU au makubaliano yoyote? Au ndo modern slave trade/human trafficking?

APPLICATIONS FOR THE AICAT 2023/2024 PROGRAM NOW OPEN!​


Where
Apply here: Diploma program at the Arava International Center for Agricultural Training (AICAT) in partnership with the University of Nairobi - 2023 Call for Applications
Att Faculty of Agriculture Students/Graduates
The Office of Career Services invites applications for Cohort 6 of the Arava International Centre for Agricultural Training (AICAT) 11 Months Diploma Program.
This program is run in partnership with AICAT with the main focus being to impart professional, theoretical and practical knowhow and skills in advanced agricultural studies, based on "Learning by Doing". The program takes place in the Arava region, in the southern part of Israel which is a desert.
2022 Graduates and Final Year Students from the Faculty of Agriculture are invited to apply.
Apply here: Diploma program at the Arava International Center for Agricultural Training (AICAT) in partnership with the University of Nairobi - 2023 Call for Applications
The Deadline for Applications is Close of Day, Tuesday March 28, 2023
 
Mzanzibari ulimuona wapii akataka maisha ya hustlers njoo uone wanafunzi wa kizanzibar walivyo
Misguided comment...wazanzibari ni hustlers kitambo kabla watanganyika hamjashtuka.

They're all over the world tangia 1960s huko mpaka leo...hata yule Gurnah aliyeshinda nobel prize for literature some few years back ni mzanzibari wa kuzaliwa who left Zanzibar at age below 20 for hustling...!

Wazanzibari aren't soft as some of the watanganyika tend to think....kuwa humble and polite ni suala la utamaduni...got nothing to do with being weak!
 
Mbona hata huku tunawatumikisha sana mashambani na migodini. Tembelea mbalali huko kwenye mashamba ya mipunga

Kama ni hvyo kuna shida gani wakiwa manamba huko Israel

Mbalari kuna vita bro!? Halafu lingine kule ni nchi ya wengine wakiwahujumu na kuwatoa viungo (ukizingatia organ smugglers wako kila kona ya dunia, na maeneo yenye mzozo ndiyo kinara) nani atajua? Haya mambo lazima yawe rasmi sana. Tujue kama mdau anavyosema. Lkn pia tujue watakaa muda gani na wapi. Chini ya usimamizi wa nani. Wale maizirael siyo watu wema kabisa.
 
Huu utaratibu wa kupeleka vijana Israel;

1. Nani anaratibu?

2. Sifa za kujiunga Ni zipi? Maana naona wanufaika wanatokea Kanda ya Kaskazini zaidi, Kuna nn hapo? Ukute Coordinator Mangi anapata Dola zake kimyaa huku vijana wanafuata kifo.

3. Usalama wao upoje? Shambani/vitani.

4. Je, ipo MoU au makubaliano yoyote? Au ndo modern slave trade/human trafficking?
Kama unahitaji sema maana nafasi zipo za kutosha.

Pia elewa kuwa siyo Israel tu bali na kwa kina Mangush nafasi zipo kibao tu
 
Dalali wao anaitwa Dr Temu pande za Sua wanakulipia nauli Na Visa ukilipwa wanakukata cost zao
Wanawahadaa vijana wenye Degree ukienda shambani unalipwa na unatoka na Cheti cha Diploma ya Agriculture hivi uwe na Degree then utunukiwe Diploma 😆😆

Kuna kijana mmoja nilimskitikia sana mzazi wake baada ya kuniambia Kijana wake kafanikiwa kwenda Israel kujifunza masuala ya Intelijensia kwa udhamini wa Serikali
Ahahahahhahahahahaha aisee Braza sikufichi, Nimechoka Sana kama Kweli!

Kwamba akirudi yeye ni zaidi ya MOSSAD
 
Hadi ile bandari ambayo wa Tanzania walizoea kwenda kufanya vibarua haipo tena.

Wakati wengine wakipambana kuingia G8 sie tunauza vyanzo vya uchumi.
 
Huu utaratibu wa kupeleka vijana Israel;

1. Nani anaratibu?

2. Sifa za kujiunga Ni zipi? Maana naona wanufaika wanatokea Kanda ya Kaskazini zaidi, Kuna nn hapo? Ukute Coordinator Mangi anapata Dola zake kimyaa huku vijana wanafuata kifo.

3. Usalama wao upoje? Shambani/vitani.

4. Je, ipo MoU au makubaliano yoyote? Au ndo modern slave trade/human trafficking?
Wamekaa kimya maana hii issue kuna mtu au watu walikua wanafanya biashara ya kupatia israel nguvu kazi ya bure sawa 'human traffiking'
 
Bora anaeenda kufa kwenye utafutaji kuliko kubaki ukila dona ngogwe/mlenda huku ukisubiri kufa kwa malaria au kufumaniwa
 
Dalali wao anaitwa Dr Temu pande za Sua wanakulipia nauli Na Visa ukilipwa wanakukata cost zao
Wanawahadaa vijana wenye Degree ukienda shambani unalipwa na unatoka na Cheti cha Diploma ya Agriculture hivi uwe na Degree then utunukiwe Diploma 😆😆

Kuna kijana mmoja nilimskitikia sana mzazi wake baada ya kuniambia Kijana wake kafanikiwa kwenda Israel kujifunza masuala ya Intelijensia kwa udhamini wa Serikali
Mkuu mbona naona ni ngumu ni mtu wa SUA apate connection ya jeshi Israel!
 
Bashe kaja juzi tu na kakuta hiyo Program ipo toka SUGECO ianzishwe 2011 pale SUA. Wakati huo Bashe alikuwa kwao Somalia anapigana Jihadi na Al Shabaab.

Sio chuo kimoja tu kinachopeleka vijana Israel kwa ajili ya vitendo. Kuna vyuo hadi vya Dioloma na Certificate vinavyopeleka vijana Israel kujifunza zaidi. Mwaka juzi kuna Chuo cha kilimo Dabaga kule Kilolo Kilioeleka wanafunzi 20 wakakaa Israel mwaka 1 wakijifunza Kilimo na sasa wanalitumikia Taifa.
Kwanini sisi tukajifunze kilimo jangwani kule? kuna tatizo sehemu
 
Ongea unayoyajua mzee Arusha ina wamasai tu? WaPo watu lukuki hapo me siangaliii kabila me naangalia ukimuuliza mtu unaishii wapi anajibu, Arusha na moshi kuna wanafunzi wengi vyuo vikuu kutokea pande hizo
Wengi ni wachaga na wambulu tu.
 
Hii nafasi ya kupeleka vijana nje ya nchi kwenye mazingira ya kilimo cha kisasa unamjengea kijana uwezo na uthubutu wa kuwa mkulima au mfugaji bora. Huwezi kuwa mkulima huku ukiogopa kuchafuka! (Yaani mtu anabeza kuosha mbuzi). .......... na ukubali kushiriki kazi za shamba ili uzijue (bahati mbaya lazima uchafuke, unyeshewe na mvua, upigwe na jua nk)! Hapo ukimaliza degree yako utakuwa na confidence ya kuwa
Ni bora Bashe kaanzisha kilimo cha kisasa huko Dodoma...... Pahali pengi wanaweza kwenda na kuchafuka.... Hata wakienda USUKUMANI NA UMASAINI watajifunza na kama ulivyosema kwa bahati mbaya nako watachafuka.
Any way... Tuyaache......Mazito yaja..... yetu ni macho na masikio tu, tena hapa hapa JF.
 
Concept ya intern hata TZ inatumika sana maelfu ya vijana wanaingia maofisini temporary hata kijana wetu akienda nchi nyingine akakutana na huu mchakato kuna ubaya gani akipitia basic mandatory military training kama JKT na Gvt inajua na akirudi nyumbani anakuwa multi skills na kulinda nchi yake iwapo itahitajika
 
Back
Top Bottom