Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kula na kura hapo umechanganya vitu viwili tofauti.Kuna kula million 1 hazifahamiki zmetoka wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula na kura hapo umechanganya vitu viwili tofauti.Kuna kula million 1 hazifahamiki zmetoka wap
Jameni haya mavitu mnayatoa wapi, licha ya kwamba sikumpigia Ruto kura na simpendi, ila mpaka sijaona sababu zozote zenye mantiki za kumkatalia urais, vyombo vyote hadi vya habari vina matokeo ya kila kituo, mbona wasijumuishe huko watuambie hii issue imekaa vipi.
Kama Wakenya wengi wamemchagua yeye, atunukiwe urais tusonge mbele na mengine, hii nchi ni yetu sote, waliomchagua na ambao hatukumchagua.
Hapo sio kuuliza gharama ziko zaidi ya fedha Iyo na faida yake juuIli kampuni iamue kutoa rushwa ya pesa yote hiyo kwani gharama ya kuprint hizo ballot papers ni kiasi gani? Hii ni taarifa ya kumchafua Chibukati, waoneshe hiyo taarifa ya Interpol siyo gazeti liisemee.
Mkuu kumbuka maafisa wa 4 kati ya 7 wanasema tume haikuwa waziHuu ndio ukweli Ruto kampiga Raila ground, Ruto aapishwe maisha yaendelee kama kawaida maana tume ilikua wazi kiasi hata kipofu hawezi kusema chochote na wanataka kutia doa uchaguzi uliokua wa mfano Afrika nzima, na upande wa Raila wangejua wanaharibu sifa nzuri ambayo kila mtu kaiona kwa macho yake juu ya Kenya ya katiba mpya
Itamletea shida kwenye mambo ya maadili lakini haitakua sababu ya kupinga matokeo ya UraisHaihusiani kivipi inaonekana hana msimamo sasa kama alichukua hela hyo atashindwa kuchukua na kwingine kama ni kweli itamletea shida
Kimaadili anakosa lakini I'll kosa halija adhiri matokeo ya Uraisi.Kwa hiyo hakuna kosa hapo?
Ndio akili na mawazo yako yalipoishia GT wa JFNa watengezaji wa hizo hoax news ni wabongo hasa yale machawi ya CCM ili ku justify unyani wao wanaofanya hapa. CCM roho inawauma sana kwa yaliyotokea Kenya maana wamedhihirika wao ni Nyani kwa hii NEC yao.
Fake news, hili gazeti la kutengenezwa kama wanavyofanya kutengeneza gazeti fake la mwananchiShirika la Polisi wa Kimataifa Interpol limetoa taarifa inayomuanika Mwenyekiti wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Bwana Wafula Chebukati na makamishna wawili wa tume hiyo kuwa walipokea rushwa ya Dola Milioni Tatu za Kimarrekani ili kuidhinisha kampuni iyakayochapisha karatasi za kupigia kura kwenye Uchaguzi mkuu wa Kenya.
Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.
Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya UchaguziView attachment 2325908
Hilo gazeti la The Star wamekanusha hiyo sio habari yao, ni wahuni wametengeneza gazeti fakeMarekani wLikuwa wanataka Raila ashinde sasa hii ya interpol ni sehemu ya mikakati hiyo sio coincidence. Tutasikia mengi ili mradi mtu wao ameshindwa uchaguzi. Hao intepol tangu lini wamekuwa wakitoa taarifa za rushwa zinazohusu viongozi? Mbona huku Tanzania ambako rushwa inaliwa waziwazi lakini gawajahi kutoa taarifa kuhusu vigogo wa rushwa wa miktaba na manunuzi makubwa.
Matanzania mapumbavu sana hasa maCCM huwa hayana akili hata ya kuchuja vitu... majitu ya hovyo sana aisee.Hilo gazeti la The Star wamekanusha hiyo sio habari yao, ni wahuni wametengeneza gazeti fake
Hayana akili yamekaa kama manyani tuu.Fake news, hili gazeti la kutengenezwa kama wanavyofanya kutengeneza gazeti fake la mwananchi
Nilishasema wafuasi wa Magufuli vichwa maji sana
We akili zako zimeishia wapi? Usikute umeamini hilo gazeti ukamsimulia na baba yako....
Mfu ananikoseshaje usingizi? Ni fact kuwa watu wapumbavu zaidi kwenye siasa ni wafuasi wa MagufuliMarehemu anakukosesha usingizi.
Bado kuokota makopo tu sasa
NI mara.chache sana kuamini yanayoandikwa humu JF, nitachangia lakini mwisho ya yote nayaacha humu humu kisa cha kisutwa.maana chai ni nyingi kuliko uhalisiaWe akili zako zimeishia wapi? Usikute umeamini hilo gazeti ukamsimulia na baba yako....