Interpol: Mwenyekiti IEBC alihongwa $3M

Interpol: Mwenyekiti IEBC alihongwa $3M

FAKE FAKE FAKE..

unnamed.jpg
 
Zinatengenezwa sababu za kupinga matokeo na kuonyesha ushindi wa Ruto sio halali.
MK254 Tony254 Lusungo Maghayo

Jameni haya mavitu mnayatoa wapi, licha ya kwamba sikumpigia Ruto kura na simpendi, ila mpaka sijaona sababu zozote zenye mantiki za kumkatalia urais, vyombo vyote hadi vya habari vina matokeo ya kila kituo, mbona wasijumuishe huko watuambie hii issue imekaa vipi.
Kama Wakenya wengi wamemchagua yeye, atunukiwe urais tusonge mbele na mengine, hii nchi ni yetu sote, waliomchagua na ambao hatukumchagua.
 
Na watengezaji wa hizo hoax news ni wabongo hasa yale machawi ya CCM ili ku justify unyani wao wanaofanya hapa. CCM roho inawauma sana kwa yaliyotokea Kenya maana wamedhihirika wao ni Nyani kwa hii NEC yao.
Jiulize CCM ilisajiliwa lini kama chama cha Siasa?

CCM ni chama Dola so usiifananishe na hizo Chaguzi ndogondogo
 
Jiulize CCM ilisajiliwa lini kama chama cha Siasa?

CCM ni chama Dola so usiifananishe na hizo Chaguzi ndogondogo
Huyu ni kamishna na mpenziwe Joho aka mtoto wa Odinga.

Jiwe alimfundisha ujinga mwingi Raila.
 

Attachments

  • 20220817_091030.jpg
    20220817_091030.jpg
    26.7 KB · Views: 4
Kama amepokea rushwa naona rushwa hiyo ni katika jambo la uidhinishaji wa kampuni ipi ipewe tenda ya kuprint karatas za kura, hilo limekaa kibinafsi zaidi kati yake na tume sidhani kama linaathiri ushindi wa Ruto.
 
Kwa doa hili tuna amini mwenyekiti hana uadilifu tena na hafai

Yawezekana baadae ushahidi ukatolewa wa rushwa nyingine ya kupindua matokeo

Ila hata mimi siwezi acha hela aseeh
Ili kampuni iamue kutoa rushwa ya pesa yote hiyo kwani gharama ya kuprint hizo ballot papers ni kiasi gani? Hii ni taarifa ya kumchafua Chibukati, waoneshe hiyo taarifa ya Interpol siyo gazeti liisemee.
 
Back
Top Bottom