Interpol: Mwenyekiti IEBC alihongwa $3M


Huu ndio ukweli Ruto kampiga Raila ground, Ruto aapishwe maisha yaendelee kama kawaida maana tume ilikua wazi kiasi hata kipofu hawezi kusema chochote na wanataka kutia doa uchaguzi uliokua wa mfano Afrika nzima, na upande wa Raila wangejua wanaharibu sifa nzuri ambayo kila mtu kaiona kwa macho yake juu ya Kenya ya katiba mpya
 
Ili kampuni iamue kutoa rushwa ya pesa yote hiyo kwani gharama ya kuprint hizo ballot papers ni kiasi gani? Hii ni taarifa ya kumchafua Chibukati, waoneshe hiyo taarifa ya Interpol siyo gazeti liisemee.
Hapo sio kuuliza gharama ziko zaidi ya fedha Iyo na faida yake juu

Uchaguzi huwa unakula fedha mingi sana mkuu
 
Mkuu kumbuka maafisa wa 4 kati ya 7 wanasema tume haikuwa wazi

Alafu wanabaki wa 3 ndo hao waliogawana fedha za rushwa inayosemwa na interlpool
 
Kwani karatasi zilifika lini mpaka hao Interpol watoe Taarifa leo baada ya Matokeo?
 
Haihusiani kivipi inaonekana hana msimamo sasa kama alichukua hela hyo atashindwa kuchukua na kwingine kama ni kweli itamletea shida
Itamletea shida kwenye mambo ya maadili lakini haitakua sababu ya kupinga matokeo ya Urais
 
Na watengezaji wa hizo hoax news ni wabongo hasa yale machawi ya CCM ili ku justify unyani wao wanaofanya hapa. CCM roho inawauma sana kwa yaliyotokea Kenya maana wamedhihirika wao ni Nyani kwa hii NEC yao.
Ndio akili na mawazo yako yalipoishia GT wa JF

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Fake news, hili gazeti la kutengenezwa kama wanavyofanya kutengeneza gazeti fake la mwananchi

Nilishasema wafuasi wa Magufuli vichwa maji sana
 
Hilo gazeti la The Star wamekanusha hiyo sio habari yao, ni wahuni wametengeneza gazeti fake
 
Fake news, hili gazeti la kutengenezwa kama wanavyofanya kutengeneza gazeti fake la mwananchi

Nilishasema wafuasi wa Magufuli vichwa maji sana
Marehemu anakukosesha usingizi.
Bado kuokota makopo tu sasa
 
Watu wengine kumbe hawafuatilii mambo.Hiyo kampuni inayolalamikiwa Inahusishwa na Moja ya watu walioko kwenye Azimio la Kenya kwanza,Akina Raila walishalalamika sana juu ya Hilo wakamtaka mwenyekiti wa tume ajiuzuru akagoma na Moja ya watu walikuwa wakimkingia kifua ni Ruto.Kimsingi Kuna mengi sana nyuma pazia.Sisi watanzania ni watazamaji tu.Mwisho tutampokea yeyeto atakaye kubaliwa.
 
We akili zako zimeishia wapi? Usikute umeamini hilo gazeti ukamsimulia na baba yako....
NI mara.chache sana kuamini yanayoandikwa humu JF, nitachangia lakini mwisho ya yote nayaacha humu humu kisa cha kisutwa.maana chai ni nyingi kuliko uhalisia
 
Hizo $ ni mali ya USA na wahongaji ni USA wenyewe, kwa nini hawajakamatwa?

Babu Trump alilalamika pia ila mlipotezea, interpol ya sasa ni vishoia wa viwango vya juu kabisa 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…