Interview and employability; Usipozingatia haya, utaishia ku-apply kazi bila kuitwa kwenye interview

ikitokea umeandika maelezo mengi bila kuwa straight to the point on "KWANINI WAKUAJIRI WEWE" utajikuta hauitwi na wenzako wanaitwa kwenye interview. Siku hizi kuna idadi kubwa sana ya wahitimu walio na vigezo kama vyako. Utofauti utakuja pale mwenzako atakavyoeleza namna ambavyo ukiachana na alichosomea yeye ana skills mbalimbali ambazo ataisaidia kampuni wakimpa nafasi.
 
Nimefaya yote uliyosema kwa usahihi. Nimetuma barua zaidi ya 500, feedback chache Ninazopata, paragraph ya pili inaanza na neno UNFORTUNATELY 😭
We regret to inform you that we will not advance with your application into next process. Keep your eye into our website...... kiufupi brother amegusa Engo muhimu but sisi watafuta kazi tume qualify vizuri tu. Kampuni nyingi zinafanya formality tu kwamba tuonekane tumetangaza as required by law and regulations of employment and labour laws but wengi sio wote wanakua tayari wana mtu anavolunteer ama yuko intern ama internal memo ila sio mbaya njia sahihi ya kupata kazi ni ku apply kazi pindi tangazo linapotoka megine tuwaachie wao waamue. OUTSIDE STRUGGLE IS VERY REAL. Tuendelee kupambana.
 
Huyu Sewando MP ndo yule wa kule Mzee wa Full mayoko Nachingwea au? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nakubali Nakubali MC Shonde
 
Cover letter ndo application letter......hebu dondosha sample ya cover letter ya kada ya udereva.
 
Hapo kwenye ulazima wa kutuma BARUA hata kama wamesema tuma CV tu sidhani kama utakuwa sahihi?

Kuna wengine wanasema tuma CV, basi!!!

Halafu wewe uweke barua ni sahihi?
 
Kwa uzoefu wangu, kuweka picha sikushauri sana.
World CV hiyo mkuu.

Picha haina shida kama format inakubali weka.

Nishaitwa sehemu mbili kubwa kufanya interview na cv yangu ina picha.
 
Waambie watu ukweli, usiwadanganye kwamba shida ni CV.

Mtu anaambiwa haina shida we jumatano uripoti kazini usisahau kunitumia vyeti vyako kwenye email
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…