She is just transparent [emoji23] [emoji23]Muhenga comrade....[emoji12] [emoji12]
Ila mtahiniwa wa leo naona amejitoa ufaham kabisa.....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Yaani huyu wa Leo ni sawa na saa mbovu aiseee....[emoji13] [emoji13]
Ushimen unafujo wewe, ngoja nijipange siku moja nikufanyie interview labda utatuliaOhh.. My God.....[emoji47] [emoji47] [emoji47] [emoji47]
Sijatarajia angekujibu Hilo swali kwani hiyo ni faraghaMkuu huzamii weye salt[emoji23] [emoji23]
DJ sepetu
hahaha ulikuwapo kwenye usahili nini?
Duhh....Ushimen unafujo wewe, ngoja nijipange siku moja nikufanyie interview labda utatulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa...She is just transparent [emoji23] [emoji23]
DJ sepetu
Hapana kwakweli sipo tayari, love is love and money is money,.nude huwa nachungulia tuu[emoji12]Are you ready to exchange sex for money!
How about nude photos!
DJ sepetu
Yaani si kukomoana huko[emoji3] [emoji3]hahaha ulikuwapo kwenye usahili nini?
Stay tunedDuhh....
Naisubiria kwa hamu kubwa Mkuu, labda namimi naweza nikapata fursa humu ndani ya kuingia kwenye couple za humu ndani...[emoji85] [emoji85]
Kama nakuona unavyokodoleaga pornoHapana kwakweli sipo tayari, love is love and money is money,.nude huwa nachungulia tuu[emoji12]
Sawa mkuu
Hicho kisu kwenye avatar, ndio wewe...[emoji15]
Kisu tena jamani? Kinachinja nini? Ni mimi ndioHicho kisu kwenye avatar, ndio wewe...[emoji15]
Yeap PM as usual,wanaume wa Jf kuna wanaojielewa na kujua wanafanya nn na kuna wale wengine bora tuu na yy ana account Jf baaasi lakini hana mchango wowote wa maana ni upuuzi tuu muda wote,kwa wadada wanaotafuta waume humu siwasemi vibaya kwasababu Jf nayo ni jamii kama vile mtaani,ofisini au popote pale ambapo mtu anaweza kupata mume/mpenzi ila tuu wawe makini kwani si wote wapo serious na kile unachosema.Kama nakuona unavyokodoleaga porno
Kwanini huwa mnawashusha sana wanaume Wa jf!
Unawachukuliaje wadada wanaotafuta waume humu!
Ulishatongozwa pm?
DJ sepetu
Wewe si ni muhenga? Linakushindaje neno common kama hilo?Nini maana ya neno msimbe..[emoji15] [emoji15]
Ingekuwa vyema ungewataja wasiojielewa[emoji23] [emoji23]Yeap PM as usual,wanaume wa Jf kuna wanaojielewa na kujua wanafanya nn na kuna wale wengine bora tuu na yy ana account Jf baaasi lakini hana mchango wowote wa maana ni upuuzi tuu muda wote,kwa wadada wanaotafuta waume humu siwasemi vibaya kwasababu Jf nayo ni jamii kama vile mtaani,ofisini au popote pale ambapo mtu anaweza kupata mume/mpenzi ila tuu wawe makini kwani si wote wapo serious na kile unachosema.