Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Hapana naomba niwahifadhi,.wanawake(baadhi)huifikiria ile siku jinsi atakavyovutia kuliko wote,ukumbi mkubwa,watu wengi wataokuja kutoa zawadi na kufurahia siku yake hiyo na kusahau kuwa NDOA si sherehe pekeyake,sherehe na shamrashamra ni za Masaa tuu lakini maisha ya NDOA ni ya milele tunajisahau sana na kujikita kwenye lile gauni jeupe LA kumeremeta.Ingekuwa vyema ungewataja wasiojielewa[emoji23] [emoji23]
Kwanini wanawake hujiandaa kwa sherehe ya ndoa kuliko ndoa!?
Ungependa mumeo akukumbuke kwa lip siku ya 1 honeymoon?
DJ sepetu
Siku ya 1 ya honeymoon mume wangu atanikumbuka kwa maneno yaliyojaa UPENDO na WELEDI yatakayokaa kifuani pake milele.Hapana naomba niwahifadhi,.wanawake(baadhi)huifikiria ile siku jinsi atakavyovutia kuliko wote,ukumbi mkubwa,watu wengi wataokuja kutoa zawadi na kufurahia siku yake hiyo na kusahau kuwa NDOA si sherehe pekeyake,sherehe na shamrashamra ni za Masaa tuu lakini maisha ya NDOA ni ya milele tunajisahau sana na kujikita kwenye lile gauni jeupe LA kumeremeta.
Halafu mume suti nyekundu[emoji23] [emoji23]Hapana naomba niwahifadhi,.wanawake(baadhi)huifikiria ile siku jinsi atakavyovutia kuliko wote,ukumbi mkubwa,watu wengi wataokuja kutoa zawadi na kufurahia siku yake hiyo na kusahau kuwa NDOA si sherehe pekeyake,sherehe na shamrashamra ni za Masaa tuu lakini maisha ya NDOA ni ya milele tunajisahau sana na kujikita kwenye lile gauni jeupe LA kumeremeta.
Basi sawa mkuu....
Unajua kila jambo lina utam na uchungu wake but kwa upande wangu mm sex before marriage naipenda ili kuepusha matatizo ya kimaumbile na kutotoshelezana kimahaba,.ina athari kwa upande mmoja na ina faida kwa upande mwingine ktk NDOA.Halafu mume suti nyekundu[emoji23] [emoji23]
Sex before marriage imekaaje kwako!
Je ina athari yeyote in the long run ndani ya ndoa!?
Kwanini ndoa zinavunjika! Ovyo
DJ sepetu
Nikweli Mkuu, lakini neno msimbe halitumiki kwa kumuita mwanamke ambae hajawahi kuolewaWewe si ni muhenga? Linakushindaje neno common kama hilo?
Sijakata tamaa comrade....Tatizo una kata tamaa mapema comred![emoji12] [emoji12]
DJ sepetu
NDOA nyingi zinavunjika sana siku hizi kwasababu hii "wanandoa hawasimamii nafasi zao,mume hakai kwenye nafasi ya uanaume na mke hakai katika nafasi ya uanamke wake" hapa ndio changamoto zinapokuja na kukosa subira....haya ni maono yangu mumu.Unajua kila jambo lina utam na uchungu wake but kwa upande wangu mm sex before marriage naipenda ili kuepusha matatizo ya kimaumbile na kutotoshelezana kimahaba,.ina athari kwa upande mmoja na ina faida kwa upande mwingine ktk NDOA.
Hapo hapo!!Unajua kila jambo lina utam na uchungu wake but kwa upande wangu mm sex before marriage naipenda ili kuepusha matatizo ya kimaumbile na kutotoshelezana kimahaba,.ina athari kwa upande mmoja na ina faida kwa upande mwingine ktk NDOA.
ZimefikaBasi sawa mkuu....
Wasalimie singidani....[emoji5] [emoji5]
Hapo umeeleweka vzrNikweli Mkuu, lakini neno msimbe halitumiki kwa kumuita mwanamke ambae hajawahi kuolewa
Hahahha hamna mkuu simlaumu mwanaume,. Aisee sina allergy na kibamia isipokuwa tuendane tuu na unikune kunako site usiniache njia panda..unajua issue sio kibamia au gobole issue ni je "nitakuwa satisfied??" BaaasiHapo hapo!!
Unaonekana una areji Na vibamia eti!
Hebu fafanua kwa vipi unaweza usiridhe kunako sita kwa sita
Najua utamlaumu mwanaume as usual[emoji23] [emoji23]
DJ sepetu
Don't be her speakerLet her be her
DJ sepetu
Nimeambiwa nisijibu mpka baadae,sasa sijui baadae ya SAA ngapi mkuu.
Satisfied how!Hahahha hamna mkuu simlaumu mwanaume,. Aisee sina allergy na kibamia isipokuwa tuendane tuu na unikune kunako site usiniache njia panda..unajua issue sio kibamia au gobole issue ni je "nitakuwa satisfied??" Baaasi