Interview ya Diamond Clouds: Namshauri ajihadhari na udhalilishaji wanawake

Diamond atabaki kuwa hivyohivyo hao ambao hawasemi kitu hiyo mikataba hawana
 
DIAMOND KAMA MAJI VILE,USIPOYANYWA UTAOGEA TU AU KUFULIA



NAONA HATA MAFANS WA KIBA HAWANA ISHU NAYE,KUTWA KUFATILIA MAMBO YA DIAMOND


NDO MANA MNAITWA TEAM HATERS NA DI TEAM KIBA


MAANA KWENU NI CHUKI,HUKU MMEJIFICHA KATKA KIVULI CHA KIBA
 
Hao ambao unaona hawadhalilishi hata tangazo la kalamu hawana! Diamond ataendelea kupata matangazo kwakuwa anajua vyema kuyatafuta kuliko msanii yeyote yule Tanzania....! Hakuna kampuni ingependa kufanya biashara na msanii aliyezubaa zubaa tuu....! Hapa voda ndio wanafurahi zaidi..
Diamond ni bingwa wa kucheza na akili za mashabiki ndio maana kila kampuni ina mtani kufanya nae biashara!
Kama kuna mtu ataona amedhalilishwa namuomba muda huu akalale kituo cha polisi hili akidhalilishwa afungue hapo hapo case ya madai!
Diamond safi sana kijana..endelea kuwateka...
 
Kuna mtu kanitumia screenshot eti mange kimambi anamshauri diamond kuhusu hiyo interview kesho,nimecheka sana....kile kibibi kilivyo na chuki ya kiwango cha kimataifa dhidi ya diamond leo kinamshauri kwa wema...anyway acha akamwage ugali kama wamemwaga mboga,sio kila demu ukitembea nae akikwambia ana mimba basi ukubali ni yako,huo ni upopoma.
 
Kwa jicho la tatu,sitashangaa kama interview ikigeuka ya kutambulisha ngoma mpya.
 
Umemfollow Mange bana acha uongo
 
Kuna mtu umaarufu wake ni muziki peke yake anaoufanya basi na ukimuuliza kuhusu personal issues huwa hapendi kabisa kuziongelea,ni hicho tu ndiyo kinanifanya niwe mfatiliaji wake.(out of topic)
 
Clouds,, wanajua kabisa domo anaenda kujichomea kibanda chake mwenyewe,, ndo maana wamemwita,, ili wazidi kumshusha bila yeye kujijua. Asipokua makini na clouds, atajuta wanoko sana.
 
Hakuna mwanamke anayependa kudhalilishwa na kudharauliwa mondi imekula kwako uzuri nguvu ya mwanamke inajulikana kajichimbie kaburi kesho clouds kila la kher
 
uzuri wa clouds huwa wanabalance story ni suala la muda tu watamwita na mobeto studio kusikia Her side of story
 

Mond mond mond! Mimi shabiki wako mkubwa umepwaya kimziki sana miaka hii. Mond saivi unaanza kuisha kwa ajili ya maskendo hasa haya ya wanawake.

Daimond Zari kakuzalia watoto wa wawili? Muheshim basi na muishi kwa amani, mbona yeye hakufanyii vituko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…