Interview ya Diamond Clouds: Namshauri ajihadhari na udhalilishaji wanawake

Interview ya Diamond Clouds: Namshauri ajihadhari na udhalilishaji wanawake

Sisi wanaume hakuna kingine. Watu kibao wana hizo skendo, yupo demu humu povu linamtoka kumlaumu Mondi bila kujua Mzee wake kapiga hiyo issue pia. Ataelezwa baadae na mzee wake.
 
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,yaani furaha niliyonayo ningekuwa mlevi ningekunywa mpaka nijinyee..Zari alijitoa sana akili,akajifanya mtoto wa 20's,alitamba sana na Diamond utadhani Dai ndo aliyemtoa Bikira,alifanya upumbavu bila kujali ni kwa kiasi gani Ivan alikuwa anaumia...tena bila aibu msibani akasema yeye alimove on utadhani aliulizwa..ndani ya mwezi wa kuanzisha mahusiano yao akashika mimba coz alijua Dai ana kiu ya mwana...tena akaona haitoshi alipoona Dai kaanza kucheat akashika mimba nyingine wakati Latifa akiwa na miezi 4(Hii yote ili tu amweke Daimond...kafiwa na mama yake akawa anafanya ujinga na kibenten chake,kuanzia msibani mpk kwenye so called Baecation...Lol,Mwanamke hana haya huyu...HAMISA..Asante kwa kazi nzuri,Hata wakirudiana..KUNYOOKA atakuwa KANYOOKA punguani WAHED HUYU...Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Nilikuwa natizama haka kafilamu kimiya kimiya, sikutaka suturesi na mutu, ila Hii komenti imenifanya nishindwe kuvumiliapo mukulu, tafadhali nakupa ofa ya kufanya shopping Dubai, asante kwa kunisikiliza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] msalimie bibi tukinao
 
Sasa amuheshimu vipi zaidi ya hivi alivyofanya katika kushughulikia hili? Kama ni kukosa tayari kosa lilishatokea na maji hayazoleki, ila alichokifanya Diamond tangu mwanzo wa hili sakata na alichokiongea kwenye mahojiano leo kila mwenye akili timamu atakiri kijana AMEKUA sasa. Hata nyie mnaomhukumu sio wasafi kama malaika jamani kila mtu ana yake.
 
Kwani kuitembeza kila kona ndo maana halis ya hiyo mashine
Sio wajinga watu mpaka kwenye sherehe vikawepo vyakula tofauti tofauti.....kama ilivyo mwanaume kwa wanawake....usidanganyike....active machine lazima ikate mbuga nyingi....wali maharage daily unachosha!
 
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,yaani furaha niliyonayo ningekuwa mlevi ningekunywa mpaka nijinyee..Zari alijitoa sana akili,akajifanya mtoto wa 20's,alitamba sana na Diamond utadhani Dai ndo aliyemtoa Bikira,alifanya upumbavu bila kujali ni kwa kiasi gani Ivan alikuwa anaumia...tena bila aibu msibani akasema yeye alimove on utadhani aliulizwa..ndani ya mwezi wa kuanzisha mahusiano yao akashika mimba coz alijua Dai ana kiu ya mwana...tena akaona haitoshi alipoona Dai kaanza kucheat akashika mimba nyingine wakati Latifa akiwa na miezi 4(Hii yote ili tu amweke Daimond...kafiwa na mama yake akawa anafanya ujinga na kibenten chake,kuanzia msibani mpk kwenye so called Baecation...Lol,Mwanamke hana haya huyu...HAMISA..Asante kwa kazi nzuri,Hata wakirudiana..KUNYOOKA atakuwa KANYOOKA punguani WAHED HUYU...Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Anza Leo kunywa mkuu.
 
Back
Top Bottom