Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Ulimbukeni unamsumbua anahitaji wataalamu wakisaikolojia huyu tangia akose tuzo hayuko vzuri full kuandika vitu vya ajabu ajabuNa alichoandika diamond nazidi kumshushia thamani
View attachment 439006
Yani wewe biashara za watu unashirikishwa na idea unaiba alafu ya kwako ni siri?mi kwa upande wangu sijaona kosa la Diamond. Swala la kufichana baadhi ya vitu kwenye bussiness ni jambo la kawaida. Na ndio maana hata uwe na uswahiba na mzee Mengi usitegemee atakushirikisha mipango yake ya biashara. NEVER. Wakati Diamond anaenda kushuti south hakumtaarifu mshkaji(sio meneja wake) ila wakati wanazindua hiyo video akampa mwaliko mwana. And that's friendship. Nadhani kilichotokea kwa hao jamaa ni mmoja kushindwa kutofautisha URAFIKI nini na KAZI nini.
Utajiri una mambo yake si kila unachokiona kwa macho ndivyo kilivyo.Watu wanafanya vitu vya hatari maana hakuna anaependa umaskini. Unafikiri kwa nini dogo inakua vigumu kumsamehe baba yake?
Me ndipo anaponikera huyo wa kujiita almasi unajua Ngoma ikilia sana inakaribia kupasukaUlimbukeni unamsumbua anahitaji wataalamu wakisaikolojia huyu tangia akose tuzo hayuko vzuri full kuandika vitu vya ajabu ajabu
Kama Dimondi kamfanyie mizevezo yote aliyotaja basi domondi ana matatizo.
Sana mkuu, ana nidhamu ya hali ya juu!Hata MI nimemkubali alivyoongea..ana uelewa wa hali ya juu na piaana ustaarabu haswa...na pia anaonekana
ana nidhamu mno
Kwel binadamu tumeumbiwa usahaulifu.Hahaha imepeenya hiyo.
Ommy amewafanya mmekua wapole kama kuku mwenye mdondo.
Nadhani leo mmepata somo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani wewe biashara za watu unashirikishwa na idea unaiba alafu ya kwako ni siri?
Kuna tofauti gani na uchawi hapo?
Leo watanzania wameujua ukweli aisee.
Sikuwahi kumfikiria km anaweza kujieleza kuufasaha namna hii kweli Ommy umetulia km ni kweli unayoyasema mm nakutakia mafanikio mema Mungu akupe moyo huohuo wa uvumilivu Maana Rizki haizimwi ila inacheleweshwa tu!
Elimu elimuOmmy kamzidi domo hekima na communication skills(speaking skills), domo kafanikiwa ila kichwani kuna shoti pamoja na malezi ya uswahili uliopitiliza
Kaka kaiba idea ipi. Ni ile ya kumtumia mzee wa saxofone? I bet no. Ommy D sio wa kwanza kumtumia yule mzee.Yani wewe biashara za watu unashirikishwa na idea unaiba alafu ya kwako ni siri?
Kuna tofauti gani na uchawi hapo?
Leo watanzania wameujua ukweli aisee.
Kwa hiyo jana Diamond alikuwa visiwani Mayotte.... Eti mkuu mwenye akili!!!! Visiwani Mayotte kuna studio za clouds!!!! AseeeKama hukusikiliza bora ukakaa kimya, au kama hukuelewa ni vema ukauliza kwanza. Haya mambo ya team yanawafanya watu wazima wanabehave km mazuzu ama watoto. Acheni kudhalilisha uwezo wenu wa kureason sometimes. Hakuna ulazma wa kuchangia kila uzi. Mingine baki kuwa msomaji tu km unahisi neno lako haliwezi kukizidi kimya chako busara
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me mwenyew hpa nna bifu Na Alikiba, Diamond, Mrisho Mpoto, Sizonje, Babu tale, Sugu, Temba, Chege, Ymoto band nk, mwaka huu ukiona mambo hayaend tafta mtu maarufu alaf anzisha bifu zito
AnajielewaSimpendagi ommy but leo kaongea vizuri sana yani sikutarajia angeweza kujibu vizuri vile sasa mtaa wa pili walijiandaa kumshambulia walidhani atajibu kimipasho kama boss wao anavyoongea
wamepanik hatareeYani leo Ommy amesababisha madale walale saa kumi na moja jioni. [emoji23] [emoji23]
He he he, wamechanganyikiwa Hawa!Kwa hiyo jana Diamond alikuwa visiwani Mayotte.... Eti mkuu mwenye akili!!!! Visiwani Mayotte kuna studio za clouds!!!! Aseee
D ni mtu wa majungu sana, nakumbuka Ommy alivyochukua tuzo yake ya kwanza KTMA D alivyoongea kuna kama dongo alilirusha, sikumbuki vizuri lkn ilikuwa kama anamrushia dongo yule jamaa wa sharobaro records kuwa ommy kachukua tuzo ila ye hata moja hajawahi chukua.Ommy yuko close na Ally kitambo tangu colabo ya Nainai aliyomshirikisha Ali.
Tena anakuambia kipindi anafatilia hiyo nyimbo alikua hana usafiri diamond akawa anampeleka studio kwa gari yake kufatilia hiyo nyimbo.