Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Word... na diamond akiendelea hivi kwenye long run sio vizuri kwake.Actually umeona kitu ambacho wengine hatukuona, lakini pia hilo hali justfy Mondi kuanza kutoa povu angekausha.
Kitendo alicho fanya jana hakija nifurahisha. Leo Ommy Dimpoz ata lala kama mshindi na mtu mwenye busara kuliko diamond ka m out perform kwa ku ji contorol
Sijawahi kujutia kumsikiliza ommy ni moja ya wasanii wanaojua kujibu maswali vizuriOmmy kamzidi domo hekima na communication skills(speaking skills), domo kafanikiwa ila kichwani kuna shoti pamoja na malezi ya uswahili uliopitiliza
you have a point here.Kwa mara nyingine tena natafakari namna diamond anavo handle mambo yake sku hizii
How comes anapick fights na mtu kama Ommy dimpoz!! Yaan leo Omy ni wa kusifiwa kuwa ana akili kisa tu kumjibu diamond!!
This was wrong from the beggining, Yeye ni msanii mkubwa ajifunze kukausha sometymes
Mwisho wa siku ana wapa kiki hao vijana tuu.
Kukulia uswazi nako ni shida effect inaonekanai would talk nicely or stay quiet!!!!! diamond ni star wa africa now co mtu wa kuanza kuaibishana na dimpoz au kumponda kiba. anatakiwa ajaribu kuwa positiv
Kama namuona yani kama pharmacy leo panadol hazijaisha wasitegemee kuzimaliza hivi soonMpumzishe babu jamani, maana sio kwa hili pigo alowapa Ommy!!
Sorry kk yaelekea hatukuelewana, uliandika as if unasapoti kuwa hakuwepo nchini ilhali alkuwepo studio na Richie siku husikaKwa hiyo jana Diamond alikuwa visiwani Mayotte.... Eti mkuu mwenye akili!!!! Visiwani Mayotte kuna studio za clouds!!!! Aseee
Hapana, kuwa upande wa Kiba hakuna uhusiano na kumpoteza mtu kimziki na wala sijamaanisha hivyo.Ukiwa upande wa kiba utapotea kimziki?
hayo unayoongea yalisemwa sana na team wema miaka kama mitatu iliyopitaHuu uswahili wa huyu jamaa diamond utamshusha, mfano tuamue kwamba Ommy Dimpoz ni shoga kweli afu ianze campaign mtandaoni kwamba diamond ni homophobic unadhani atatoboa huko marekani na ulaya?atakuwa adui namba moja wa watu weupe na hasa waliokamata tasnia ya mziki
Hivi eeeh inaweza kuwa ni yeyesawa salaam SK..tumeskiaa
Ila kaswahili kale kamtu, na kenyewe kanapenda vimaneno manenooo!! Sasa mtu wa hivyo ndio kamzunguka D utegemee nini!!Hivi eeeh inaweza kuwa ni yeye
Yeah ni kweli Mondi amedissapoint wengi lkn amini nakwambia Ommy pia angewez kutok povu la maana sema yawezekana kuna watu wenye kuona mbali walimpanga awe humble tu na akaelewa. Kwa jinsi Jana alivyotweet fasta fast kuomba interview lazm alipaniki sema ndoivo Tena kuibuka kidedea Mara moja moja siyo mbaya.Actually umeona kitu ambacho wengine hatukuona, lakini pia hilo hali justfy Mondi kuanza kutoa povu angekausha.
Kitendo alicho fanya jana hakija nifurahisha. Leo Ommy Dimpoz ata lala kama mshindi na mtu mwenye busara kuliko diamond ka m out perform kwa ku ji contorol
Kunywa maji upunguze uchunguMayotte Mayotte Mayotte, haters gonna hate,HAKUNA KINACHOWEZA KUMSHUSHA MONDI KWA SASA,SIO MBAYA MKIENDELEA KUJIFURAHISHA HAPA JF.
You didn't get my point,baki na ushabiki maandazi wakohayo unayoongea yalisemwa sana na team wema miaka kama mitatu iliyopita
Matokeo yake jamaa anazidi kushine tu
Kwakifupi ommy kawachanganya madale leoMuache babu jamani hali si nzuri, we unadhani hili alolifanya D akili ziko sawa!!!
we ndio shabiki wa kweliYou didn't get my point,baki na ushabiki maandazi wako