Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Ila clouds wachonganishi sana hawa jamaa,kuna siku nimeona ahojiwa sijiwi mdogo wake na baraka the prince sikuelewa mantiki ya wao kuishupalia sana ile issue mpaka yule dogo anapiga simu kwa mana yao huko kijijini....ule ulikua utoto wa hali ya juu!
 
Kuna kitu hakipo sahihi.mbona upande mwengine huyo huyo kawanyanyua wasanii wengine.dully sykes video yake kafanyiwa bure na diamond.ravy alikiona kipaji chake akamchukua .harmonize na yeye bongo starch alitolewa ila hakuimba vizuri diamond akamuamini akamchukua.isije ikawa kila mtu akaamua tu kujitetea kwa upande wake. muda mrefu hawako pamoja ommy na diamond.iweje yaibuke sasa?
 
Ila clouds wachonganishi sana hawa jamaa,kuna siku nimeona ahojiwa sijiwi mdogo wake na baraka the prince sikuelewa mantiki ya wao kuishupalia sana ile issue mpaka yule dogo anapiga simu kwa mana yao huko kijijini....ule ulikua utoto wa hali ya juu!
Mnawasingizia tu clouds wasanii wenyewe ndo wajinga hawatumii akili zao vyema, acha wachonganishwe maana clouds haikutuma domo aandike pumba zake insta na alivopewa interview wakamchota akili akaanza kujiropokea tu, wasanii wasipobadilika watatumika ka tissues Mpaka wajijutree
 
Yaani umenifanya nikumbuke ile chorus, boonge la chorus yaani.
 
Mimi nimefurahi sana kwakuwa mdogo wangu Ommy ametoa darasa la bure leo.
 
Hakuna kitu kama hicho,mna chuki za kimaskini RU,DIAMOND IS BLESSED BASI,HAKUNA MANENO YANAWEZA KUMSHUSHA MUDA WAKE UKIFIKA ATASHUKA TU,SIO KWA CHUKI ZENU ZA KIMASKINI.
Tatizo la maskini (waswahili) mkiambiwa ukweli mnadai chuki... kila mtu kabarikiwa kwa namna yake ndo maana kila mtu ana kipaji na talanta yake, Diamond ana upepo wa mashabiki Ommy Dimpoz ana hekima ingawa wote wana kipaji cha uimbaji.. alipandishwa na watu na atashushwa na watu!! Usiseme hakuna wa kumshusha... mifano anuwai iko mingi tu kuanzia kwenye vitabu vya dini na kwenye maisha. Wenye chuki ni nyie ambao hamumwambii ukweli hata akikosea mmnasifia tuu...
Tafakari hekima hizi za wahenga
Maskini akipata ............
Ngoma ikivuma sana..........
Mgema akisifiwa ............
Hakuna Marefu...........
 
Ila clouds wachonganishi sana hawa jamaa,kuna siku nimeona ahojiwa sijiwi mdogo wake na baraka the prince sikuelewa mantiki ya wao kuishupalia sana ile issue mpaka yule dogo anapiga simu kwa mana yao huko kijijini....ule ulikua utoto wa hali ya juu!
D kayataka mwenyewe si aliyaanzia huko alikoyaanzia, ndio maana akahojiwa, nae badala afiche aibu yake akajiropokeaaa!!!
 
Umesahau maneno kuntu ya kwenye Silali mkuu?
Aiseee ule ndio wimbo wangu bora wa Rich Mavoko wa miaka yote.

Muda utatuambia,ataukumbuka ushauri wa Baraka kukiwa kumeshakucha.
Kwan yy barak yupo wapi maana nisamehe hata cjui ilienda wp
 
Kaingiza kiasi gani cha fedha tangu aanze kusema ya viewers?
Interview ya leo tu inaingiza mpunga wa kutosha kwa Ommy coz watu wengi sana wamejua ukweli wamehamia upande wake wanaview kazi zake mtonyo unaongezeka.

Mimi binafsi nimekua loyal fun wa Ommy baada ya kuona hekima zake kwenye mahojiano aliyofanya times FM alihojiwa na jamaa mmoja anaitwa somebody Omary. Baada ya hapo nikaenda you tube nikaview "kajiandae" nikamuingizia pesa hapo.

Unajua ni kwanini mfalme Suleiman alimlilia Mungu ampe hekima tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…