Basi msamehe na sasa follow him back kwa furaha.Mkuu umekitonesha kidonda changu kilichoanza kupona kuhusu Ommy alivyomchunia Kiba aliporejea.
Iliniumaaaaa,nilimchukia Ommy sana,nilimunfollow hadi leo sijamfollow tena.
[emoji23] [emoji23] nimesoma hapo juu kuwa kuna gazeti liliandika domo na mama ake huwa wanalala pamoja [emoji12] [emoji12] sijajua ukweli ni upi.mbona hii sikuisikia nani anatembea na mama yake mzazi? Maana hii laana inaweza kutafuna vizazi vya mtu .
My richness is life forever!! Hakuna utajiri kama huu!! Sishindi mtandaoni kumchafua mtu niko mtandaoni kusema ukweli!! Haijalishi ni nani... mbona unapanic brother au na wewe ustahimilivu hauna... nliwahi kuambiwa kuwa Elimu, Umri, Kuridhika, Ufahamu (Exposure), na Busara ni vitu muhimu katika kujenga ustahimilivu sasa sijui wewe na bosi wako mmekosa lipi??We una utajiri gani? Diamond siyo maskini,hana shida kama wewe KUSHINDA mitandaoni kumchafua ili aonekane mbaya ashuke kimuziki,ridhiki ya mtu anapanga Mungu hata uombe vipi mabaya huwezi mshusha kwa maneno,MNAMCHOKOZA AKIWAJIBU MNAKIMBILIA KUMUITA MASKINI,MARA MSWAHILI,GET THE **** UP BOY,GET LIFE MOTHER..FUCKER.
Kwa ombi lako hili mpendwa mzaramo naenda kumfollow sasa hivi.Basi msamehe na sasa follow him back kwa furaha.
Ni kijana wetu amegundua kuwa alikosea na kuamua kurudi Nyumbani.
Yhoooooooooooooooo
Jamaa ni hatari fariiid qubanda"HAKUNA ADUI MBAYA KAMA RAFIKI YAKO MWENYEWE"-FID Q, -sihitaji marafiki naendelea kupata tungo za huyu mtu nazidi kumwelewa
Tumekosa vyote.My richness is life forever!! Hakuna utajiri kama huu!! Sishindi mtandaoni kumchafua mtu niko mtandaoni kusema ukweli!! Haijalishi ni nani... mbona unapanic brother au na wewe ustahimilivu hauna... nliwahi kuambiwa kuwa Elimu, Umri, Kuridhika, Ufahamu (Exposure), na Busara ni vitu muhimu katika kujenga ustahimilivu sasa sijui wewe na bosi wako mmekosa lipi??
duh wabongo hiv mna mda wa kufanya maisha yenu kweli??? maana naona. mnafatilia maisha ya wenzenu waliotoboa kimaisha,, sasa kama hyo ya m10 sisi hatujawah kuskia ila kwa nyie mpo makin sana , mnajua maisha ya hawa wanaume wa dar kiundani sana,, yan unajua kama ni course flan hivi umeisomea una professional nayo..Hakukuwa na mamna tena,zaidi ya kujishusha na kuongea kwa upole ili aonewe huruma,maana ile kashfa ya ushoga siyo ya kitoto[emoji38]
Mbona hajasema kama Diamond alimkopa million 10 na mpaka leo hajamlipa?!Ommy huwezi kuwa msanii bora kwa kutafuta kiki kwa Dee.
Muda wa mimi kutosema chochote umefika. Maana panaelekea pabaya.[emoji23] [emoji23] nimesoma hapo juu kuwa kuna gazeti liliandika domo na mama ake huwa wanalala pamoja [emoji12] [emoji12] sijajua ukweli ni upi.
Nilikua namjibu aliye sema ushoga ni mbaya zaidi kuliko kulala na mzazi wakoo[emoji16] [emoji16] upooooo????
Utapumuliwa na domo soonCpend ujinga[emoji19] [emoji19] [emoji19] . mond hustle zake mpaka anamwagiwa mikojo jukwaani Leo kafanikiwa eti ana roho mbaya uyo ommy alitaka alishwe
Hujamuelewa ommy yote hayo yalikuwa yakitokea lakn still alikuwa anafunika kombe na ushikaji unaendelea kama kawaidaHaina maana tena vipi mbona joh makini kafanya collabo n davido vitu vingine kaongea havina fact hapo ommy katudaganya tuje kwa iyanga ile ngoma ya diamond ft iyanya bumbum ommy nae c alitokea kwny video sasa alimzuguka vipi yeye kwnd kufanya kazi n iyanya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha kutoa siri zako bro ndo michezo yako kupumuliwa nn[emoji19] [emoji19] [emoji19] shame on uUtapumuliwa na domo soon