Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Sikiwahi kujua Kama dimpoz ni muungwana kiasi hiki. Mond ana uswahili Sana.
 
Ommy anatafuta huruma tuu....
Afanye kazi..atoe hitsong.
 
Na wewe umemezwa na uongo uliojaa na hiyo ongea ha ha haaaaaa ,kawapata hata Diamond ana afadhali

Kwanini hakumtaja AY anamtaja meneja? Au umesahau walikuatana vipi Diamond na Davido?

Hakuwa na ubavu ndio anautafuta ili hata Davido labda asikie yupo

Hawana cha maana, ni jina la Diamond wanalitaja ili wapate kiki

Hakuna jingine

Poleni kwa kumezwa na wasio na akili za kujipaisha wenyewe hadi Diamond.

Diamonds are ....


Malizia basi

Na haumpendi Diamond acha kujikosha sijui una wivu nae upi hata zuri uwa unapindisha kiaina, nimekuwa nakusoma sana humu. Hakuna linalojificha chini ya jua

Ukae salama
Usikurupuke sikiliza hiyo audio amemtaja Ay kama mtu anayejaribu kuwapatanisha.

Natanguliza pole za dhati maana Ommy amewavua nguo hadharani mmebaki uchi.
 
Jambazi watu waelewa wanakosoana kwa hoja, kwa kutumia reference za kutosha, if u have reference kutoka vyanzo mbalimbali weka hapo unikosoe na ndivyo watu wenye IQ kubwa wanabishana, sio unakuwa kichwa cha panzi unaanza matusi, nadhani hapo kwenye mchango wangu hujaona tusi, ila nakuonea huruma uwezo wako wakufikiri ni mdogo na ndio maana unatukana.
 
duh wabongo hiv mna mda wa kufanya maisha yenu kweli??? maana naona. mnafatilia maisha ya wenzenu waliotoboa kimaisha,, sasa kama hyo ya m10 sisi hatujawah kuskia ila kwa nyie mpo makin sana , mnajua maisha ya hawa wanaume wa dar kiundani sana,, yan unajua kama ni course flan hivi umeisomea una professional nayo..
Unaweza kuta ni yeye mwenyewe au anatuma watu na kuwaambia hizo ishu.
Wanajuaje hayo yote???
Hizi drama hazitaisha kama hawa wasanii wakishindwa tambua uthamani wako katika jamii yao.
 
Nilichokiona mm kwa diamond jamaa ana roho at the same time anaroho ya kwann, hyo inapelekea mpka kupata msaada wake lazima ujishushe naweza kusema you must be dog to find support from him. Sasa kwa maisha haya siyo wote watakao kuabudu atawapa hao hao waliojikatia tamaa ya maisha......
Anajitahd awe king wa east africa lakini anatumia wrong approach kuupata
 
Sasa pale alipomwambia kuwa ataenda kwa huyo mzee kwanini mond asiseme kuwa na yeye ana the same idea alichofanya akanyatia akakutwa anafanya kilekile alichosema mwenzake jana yake.
Haya ommy kumshirikisha best yake kuwa ameongea na Davido amekubali colabo kwa dollar 3000 badala hata aseme kuwa na yeye ana the same idea yeye mond akaenda kumzunguka mwenzake akapanda dau akampa davido dollar 5000 wakafanya colabo.
Anatofauti gani na mchawi hapo?
Hhahahahhaa uchawi pekee halimtoshi cjui aongezwe neno lipi la kumsindikizia
 
View attachment 439059 kwa majibu haya Ommy atakua yupo sahihi,naona Domo kachomwa kumoyo [HASHTAG]#TeamRohoMbaya[/HASHTAG]
Aiseeee jamaa kweli mswahil nilitegemea hatojibu tena amejifunza lakini kumbe ......
Simlaumu sana ndo shida za kulelewa na single mother na madada pekee. Hta zle hekima za mzee hakubahatika kuzipata
 
Kuna kitu hakipo sahihi.mbona upande mwengine huyo huyo kawanyanyua wasanii wengine.dully sykes video yake kafanyiwa bure na diamond.ravy alikiona kipaji chake akamchukua .harmonize na yeye bongo starch alitolewa ila hakuimba vizuri diamond akamuamini akamchukua.isije ikawa kila mtu akaamua tu kujitetea kwa upande wake. muda mrefu hawako pamoja ommy na diamond.iweje yaibuke sasa?
Ukijishusha/ kumwabudu utafanikiwa.
Je ww maisha hayo unayaweza? na utuuzima huu upangiwe timetable ya nn ufanye wap usiende?
 
Diamond mswahili na mswahili akipata pesa kichwa kinavimba maneno yake yale makali sana na yaliyojaa jeuri, dharau na kibuli , ommy dimpoz hata ivyo kavumilia sana bora awe mwenyewe tu mi ningekuwa yeye ningekuwa siku moja nishapiga mtu vibao
 
Yaniiiiiii Ali Kiba fundi sana.
Hadi nimesisimkwa nikifikiria anavyotambaa na beat na ile sauti yake tamu...
[emoji444] Nainai...ukinikubali sikatai jua you always on mind... (Always on mind)
Ukinipa sikatai nakupenda sana you always on mind...[emoji444]

Achaaaaaa [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Huna lolote timu majajalani
 
Joh anafanya Rap music, tofauti na mond na ommy both wanaimba.
Kwanini Ommy ale makombo wakati yeye ndiyo mpishi mkuu???
Mimi nipike chakula uibe sufuria lote ule chakula uniachie ukoko unadhani nitakula hayo makombo? Hata hiyo sufuria sitaitumia tena, labda nitumie kulishia mbwa.
Lkn pia kumbuka Ommy alishafany na JMartin na hao mnaosema wanambania ridhiki ndo walimtafutia izo collable. Mi ninachokiona apo Ommy pia alikuwa tegemezi sana hakuw na juhudi binafs mbn kwa nafasi yake pind amehit angeweza tafuta izo Collable mwenyew au angetafuta wasanii wengn sallam angemsaidia tu
 
Back
Top Bottom