master09
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 813
- 561
Habari, ninamasikitiko kwa jinsi ya zoezi la interview linavyoendeshwa huko Arusha.
Kuna issue ya age limit 25 kwa diploma na degree 30,mfumo wa utumishi(ajira portal) umechuja kulingwna na age labda 25 sawa sasa watoto wameitwa baada ya miezi miwili au mitatu before alikuwa 24 wakati anaomba anaitwa amefika 25 na week mbili au mwezi, ajabu anafika kwenye interview anaambiwa umri mkubwa ndo nini hii inamaana hawakui hawa watoto siyo fair kabisa mnawapa frastruation watoto kama mnawatu wenu msinge waita waje huko tumetoa nauli afu interview haiko fair and open, basi tuassume huyu mwenye 24 siku ya kuitwa kazini inaweza kuwa mwakani au baada ya miezi kadhaa akiwa na 25 mtamwacha,waachane wote wafanye interview miaka 25 na mwezi ni 25 hiyo kwasababu mtu anakuwa na siyo jiwe ama mngeweka 23 kwenda chini
Nchi ngumu sana hii
Kuna issue ya age limit 25 kwa diploma na degree 30,mfumo wa utumishi(ajira portal) umechuja kulingwna na age labda 25 sawa sasa watoto wameitwa baada ya miezi miwili au mitatu before alikuwa 24 wakati anaomba anaitwa amefika 25 na week mbili au mwezi, ajabu anafika kwenye interview anaambiwa umri mkubwa ndo nini hii inamaana hawakui hawa watoto siyo fair kabisa mnawapa frastruation watoto kama mnawatu wenu msinge waita waje huko tumetoa nauli afu interview haiko fair and open, basi tuassume huyu mwenye 24 siku ya kuitwa kazini inaweza kuwa mwakani au baada ya miezi kadhaa akiwa na 25 mtamwacha,waachane wote wafanye interview miaka 25 na mwezi ni 25 hiyo kwasababu mtu anakuwa na siyo jiwe ama mngeweka 23 kwenda chini
Nchi ngumu sana hii