Your network connection is your net-worth, kimombo hicho kuna sehemu watu wana nafasi zao special, uchapaji kazi pia ni mtajiukiwa hauna watu
nidhamu piaYour network connection is your net-worth, kimombo hicho kuna sehemu watu wana nafasi zao special, uchapaji kazi pia ni mtaji
Yes discipline pia ni muhimu sana plus uvumilivu kiasi chake, ukitaka kujua hili kawaulize madogo wanaojifunza ufundi magari kwenye gereji bubu utanielewanidhamu pia
niliwahi fanya kazi gereji miezi minne,,,,aise acha kaka na kuna siku inapita hamjapata kazi yoyote unatamani hata kushukuru maana ikija kazi utaombaa poooo ni heavy dutyYes discipline pia ni muhimu sana plus uvumilivu kiasi chake, ukitaka kujua hili kawaulize madogo wanaojifunza ufundi magari kwenye gereji bubu utanielewa
Kalime Tu vitunguu boss hakuna namna, au tafta kazi Kwa kanjibaiHabari wakuu.
Lalamiko nilaloleta mahali hapa ni kwanini TRA iitishe interview, iruhusu watu wafanye alafu mtu unafaulu kwa marks zaidi ya tisini unaambiwa una irrelevant qualification za kuendelea na mchakato wa kufanya oral interview.
Ina maana hadi wanakuita uje ufanye interview hawakujua kwamba una irrelevant qualifications?
Mtu unakopa pesa ili uweze kufika mkoa ambao umeitwa kwenda kufanya Interview maana interview inakukuta kwenye vibarua vya watu unapambana kujitolea alafu unafika unapambana kusoma usiku na mchana unajiandaa vizuri unaingia kwenye mtihani unafanya vizuri unafaulu kwa marks za juu kabisa alafu unakuja kuambiwa umefaulu lakini hujachaguliwa kwakua una irrelevant qualifications? Kwanini mliita mtu in the first place?
INTERVIEW IRUDIWE ILI HAKI IWEPO. MCHAKATO MZIMA WA
INTERVIEW URUDIWE, WATANGAZE UPYA ILI WATU WAOMBE UPYA NA WENYE QUALIFICATIONS HUSIKA WAOMBE NA MUWACHAGUE KWA HAKI NA USAWA. WAHANGA NI WENGI SANA NA INAUMIZA.
NAOMBA TRA WARUDIE MCHAKATO WA INTERVIEW ILI WALIOKOSESHWA KWENDA KWENYE ORAL KWA KIGEZO CHA IRRELEVANT QUALIFICATIONS HATA KAMA WANA MARKS KUBWA NAO WAITWE WAFANYE TENA INTERVIEW.
Haki itendeke watoto wa maskini tunaendelea kusota.
Nimeambatanisha na mfano wa uonevu huo uliotendeka.
Na TRA mlipotaka kufanyisha interview nyinyi wenyewe hiki ndo mlitaka kufanya? Haki itendeke mchakato urudiwe
Swali la msingi, kama ana irrelevant qualifications kwanini aitwe kwenye interview?Naamini ile ni taasisi ya serikali ina sheria, mifumo na utaratibu. Nachelea kusema kwamba nafasi zote wanapewa watoto wa wakubwa. Lakini sio sawa mtu ufaulu kwa marks kubwa kiasi hiko alafu waseme hau qualify? Sasa kama mtu haqualify amefanyaje mtihani? Kwanini mtu asiachwe afanye mtihani akakose mwenyewe mbele ya safari
Ilitakiwa usimwite aje afanye interview, sii kumpotezea nauli.Mkuu ipo hivi, Mfano hizo kazi za Custom kuna mtu ana Masters lakini ukute Anatakiwa mtu wa Bachelor, au ana Bachelor Lakini kaomba kazi ya Diploma...
Mfumo ukamchagua , System ilikosea ikamchagua.... Au jamaa Kaweka Vyeti vya Degree ...ila kwenye barua kajichanganya akaandika ana masters sasa baada ya usahihishaji na kupanga matokeo wakajiridhisha...kwann asiandikiwe ana irrelevant Qualification??
Leo nenda kwenye Taasisi yoyote , wametangaza kazi za Diploma, alafu wewe uwe na Master ..but kwenye system ume upload Diploma vizuri tu.
Siku ya oral mpo wawili mwenzako ana Diploma, wewe una Diploma na masters umeingia kwenye Panel ukajichanga wakati wa kujielezea Ulataja na masters yako, wakakudadis vizuri ukajaa....
Wewe kwa Akili yako kisoda ,unafikir hapo hata ukipata 100 watakuchukua? Wakamuacha mwenye qualification??
In reality.. it hurts. Kwasababu wanatuambia kabisa mi dad wangu yuko huko so either way ntapita tu. Kongole kwao ila tusio na dads huko nani anatusemea. So tusiseme kwasababu it sounds like a victim mentality? Isn’t it a reality thou? It being worthy of being an issue or not is not my case to solve but the truth has to be spoke
Bro yupo kwenye denial, nafikiri angejipanga tuu kwa next move.Hivi hii inawezekana kweli hata kama kafanyiwa au atafanyiwa na mzazi wake aongee wazi wazi kweli? hebu kidogo tupunguze kidogo chumvi.
Sasa unadhani watachukua vipaza sauti watuambie si tunaishi nao tulipo, tumesoma nao na tunaingia nao kwenye interview. Hujaishi na watoto wakishua bro. Wanasema ukweli wao regardless of how you feel na sisi hatuwahukumu kwa hayo. Wana haki ya kuringia hilo so it doesn’t disturb us. Kikubwa na taasisi zifanye haki hata kidogo tu. Awamu hii akiingia mkubwa mmojaHivi hii inawezekana kweli hata kama kafanyiwa au atafanyiwa na mzazi wake aongee wazi wazi kweli? hebu kidogo tupunguze kidogo chumvi.
Kazi ipoBro yupo kwenye denial, nafikiri angejipanga tuu kwa next move.
Umezungumza ukweli sana aisee. Wanaongea ukweli bila kufichaficha wala kuremba rembaHujaishi na watoto wakishua bro. Wanasema ukweli wao regardless of how you feel na sisi hatuwahukumu kwa hayo.
Kwa mahakama gani?[emoji1787]Ilitakiwa usimwite aje afanye interview, sii kumpotezea nauli.
Hapo akipatikana wa kufungua kesi serikali italipa mamilioni ya pesa.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Boss Kwann Usimtafute Huyo Mtu aliyepata 90 akaandikiwa Hivyo ,ili tujue hiyo irrelevant qualification aliandikiwa kwa sababu gani? Mkuu wangu. Au huyo mtu ni wewe??Kalime Tu vitunguu boss hakuna namna, au tafta kazi Kwa kanjibai
Madudu ni mengi sana, bado upande wa watu wenye ulemavu waliofanikiwa kufikisha alama 50% wamewatema kuendelea hatua inayofatia ya oral kisa hawajafikisha passmark. Ni aibu sana hii taasisi.Sasa watu wanaogopa nini kuja ku comment huku napokea malalamiko kumbe kuna wengine sijui namba zao hazionekani! Yani mtu amefanya mtihani ila matokeo yake hayaonekani. Nadhani taasisi ingeyafanyia kazi haya malalamiko kwa wema tu.
Mimi nimeleta issue yangu ila naona wengi wana changamoto wanashindwa kuja kusema.
MAMA SAMIA TUNAOMBA URUDISHE MCHAKATO HUU UKAFANYWE UPYA UTUMISHI TUNAKUOMBA SANA SANA SANA. Wengine tumesoma chuo cha kodi kwahiyo mnavyosema tukaombe kazi kwengine ni wapi mtuoneshe tuje kuomba. Kama huna msaada naomba usichangie comment hapa please
Sasa kwanini Mama Samia asisitishe tu arudishe mfumo utumishi?Madudu ni mengi sana, bado upande wa watu wenye ulemavu waliofanikiwa kufikisha alama 50% wamewatema kuendelea hatua inayofatia ya oral kisa hawajafikisha passmark. Ni aibu sana hii taasisi.
uwe unawatag hata baadhi ya watu ambao wapo kwenye system wanaweza kumfikishia Mama haya maoni maana wapo karibu nae watu kama hawa Depal Living Pablo Intelligent businessmanSasa kwanini Mama Samia asisitishe tu arudishe mfumo utumishi?
MAMA SAMIA SULUHU HASSAN TUNAJUA UNAYAONA HAYA. Naomba tuokoe wanao.
Wengine tumesoma chuo cha kodi hatuna pengine pa kwenda kuombea kazi tufanyaje?