Interview za TRA hazijatenda haki

Dogo treni la kwenda Kigoma imekuacha angalia utumishi mbona wametangaza nyingi, ongeza received ujipange kwenda kufanya kwakuwa unasema kule ni kwepesi sana basi najua utapata.

Umekosa tulia kwani uliingia mkataba lazima upate?
Kinachotia hasira bado kuna mibwanyenye inatetea 92 jerrie Muju4 mnajielewa nyie firigisi
 
Kinachotia hasira bado kuna mibwanyenye inatetea 92 jerrie Muju4 mnajielewa nyie firigisi
Jipange kifikra asee usije ukajinyinga bure..... Hii ndio picha halisi ya wasomi tulio nao wasomi msioweza kufanya maisha mpka muajieriwe na TRA msomi usie na thamani mpaka uajiriwe msomi aambaye usomi wako hauna manufaa na ww mpaka uajiriwe. Kiufupi ww kwa aliyoyajaza akilini kamwe huwezi ajiriwa TRA na hasa unapojidanganya kwa kusoma chuo cha kodi,
ungejua kwanza misingi ya hicho chuo ilikua ni nini basi hata usingesoma pale alafu juliulize kama wanachuo cha kodi kwann interviews zisifanyike pale pale au kwann wasichukue moja kwa moja pale chuoni.
dogo fungua macho uone mbele.

😂😂😂UNAJUA MIMI NIMESOMA KOZI GANI...... 😂😂😂😂 NYOOOOOOOO UNAJITAKA HUJITAKI😂😂😂
 

Shukuru Mungu kwa kila jambo, pengine ungeenda huko ungeishia kupigwa pingu na kifungo; just accept TRA is not your destiny
 
Punga kazini🤣
 
Dogo treni la kwenda Kigoma imekuacha angalia utumishi mbona wametangaza nyingi, ongeza received ujipange kwenda kufanya kwakuwa unasema kule ni kwepesi sana basi najua utapata.

Umekosa tulia kwani uliingia mkataba lazima upate?
🚮
 
Alaf sio lazima ufanye kazi TRA ili maisha yaende. Wapo watu kibao wanapambana mtaani huyo wa tra mwemyewe haoni upepo. Jipange sana asee fikra zako huenda ni finyu au umekuzwa familia ya kijinga inayokumbatia umaskini
motiveshono spika au vipi
unajua hali ya kitaa au ....
 
pole kaka utapata riski sehemu nyengine

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Ila usema ukweli,ukikosa TRA hata usijilaumu Wala usitafute kuwa ulikosea wapi,unaweza pata passmark ya oral bila kujua kuwa wenye kazi wapo tayari,unatoka mwanxa kuja dar alafu unaambulia patupu,kaza buti endelea kupambana
Umeitwa kwenye usaili umekosa na sababu yakukosa umeelezwa bado unaona sio haki, kuna watu maelfu waliomba hata kwenye usaili hawakuitwa. Sasa unataka nini? Hata kama umesoma archiology wakuchukue tu kisa umasikini wa kwenu?

Mumshukuru mama samia angalau kazi zinatangazwa siku za nyuma mnamaliza chuo unasikia wenzio wako kazini, ajira zilitolewa kwa vimemo.
 
Nawewe ukakata tamaa hautapata, wewe babako hayuko tra si ungepata 100% uone kama ungeachwa
 
Out of context

Nilipigiwa simu na ndugu yangu mmoja akaniuliza, ivi ulifanya CPA? kama ndio nitumie nyaraka chap, wiki ijayo tunatoa majina. Mimi CPA sikufanya wala hiyo kazi sikuomba.

Baada ya wiki mbili majina yalitoka.

Kuna kupata kazi kwa hivi na kwa namna ya mleta mada.
 
Nawewe ukakata tamaa hautapata, wewe babako hayuko tra si ungepata 100% uone kama ungeachwa
To be honest kwa upande wangu, paper ya tax management officer kama ingesahihishwa fairly I wouldn't expect nothing less than 85% thats to the minimum. Walitoa maswali rahisi sana mfano 1. Conditions for claimability of input tax. Ambazo majibu yake yametajwa S.68(1)a-c ya Vat act cap 148 10 marks
2 . Reason for jeopardy assessment ambazo zimetajwa kwenye S. 47 ya Tax administration Act cap sheria ambayo inafuta S.95 ya Income tax Act. 10 marks
3. Reasons leading to objection to commissioner. Ambazo mifano yake imetajwa katika S. 14 ya Tax revenue appeals Act cap 408. 10 marks. Bado other simple questions like calculation ya tax iliyopokelewa individual kutoka kwenye dividends. 10 marks. National Income calculation 10 marks. Sababu za kutumia presumptive rates 10 marks kati simple 6 multiple choice questions. @5 marks. Inaumiza maana Kila nikicross check wapi kwenye mtihani nilikosea sioni comparing to reality in laws and practice. Kwa hiyo kaka usiwaone watu waliopata marks za chini wazembe you don't no them and their abilities at all.
 
Nje ya mtihani ni rahisi kuandika na kufanya citing ya vifungu, mitihani inayoonekana rahisi huwa na matokeo yasiyotarajiwa.
 
Mama Samia anayaona haya ila anajifanya ameyafumbia macho. Anasubiri 2025 awaambie vijana wampigie kura??

hivi kweli mitihani inasahishwa week nne wakati utumishi wanasahisha siku mbili tu. Tuseme wa TRA walikua wengi ila wasingezidisha week ya kusahisha. Walikua wanatafuta namna ya kupenyesha watu wao
 
Hao wanakebehi ila huu mtihani haukua fair at all. Kuanzia mchakato hadi usahishaji as you say.
 
Y
Unaamisha huyo ndugu yako alitaka uingie kwenye matokeo ya usahili wa kuandika ilihali wewe haukuwa umefanya huo mtihani.
 
Nyuma hapo kidogo zilikua zinaenda kwa haki, sahivi huna 'mkono mrefu' sahau kuhusu hizi nafasi....ni ukweli uliopo, si tunajua??
 
Wewe ndio nimekuelewa vizuri vijana wengi hawapo makini wanarahisisha Sana mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…