Interview za TRA hazijatenda haki

Interview za TRA hazijatenda haki

Alitaka niingie kwenye shortlist ilihali sikuomba kazi
Na naskia mitihani imesahishwa na watu wa NBAA sijui lectures. Huyo ndugu yako sijui anafanya wapi au alikua anasahisha na kina nani au alitaka apachike kwenye mfumo au wapi ila hii interview ya TRA hii imeweka doa kubwa sana. Kuna watu hadi leo wanalalamika hawajapata matokeo yao. Sijajua kama wameamuaje ila naona kikubwa ni wenye wa kwao wapite
 
Sasa unadhani watachukua vipaza sauti watuambie si tunaishi nao tulipo, tumesoma nao na tunaingia nao kwenye interview. Hujaishi na watoto wakishua bro. Wanasema ukweli wao regardless of how you feel na sisi hatuwahukumu kwa hayo. Wana haki ya kuringia hilo so it doesn’t disturb us. Kikubwa na taasisi zifanye haki hata kidogo tu. Awamu hii akiingia mkubwa mmoja
da poleni aisee hawa watoto watakuwa wa hovyo kabisa mimi nipate zali la namna hiyo hutonijua maana nitakauka kama siyo mimi na mzigo ntapiga kwelikweli maana hata kama nimefanyiwa mpango aliyenipokea atanikubali kwa kupiga mzigo na aliyenifanyia misheni ajue kweli nilikuwa na shida. Da kazi ipo
 
Na naskia mitihani imesahishwa na watu wa NBAA sijui lectures. Huyo ndugu yako sijui anafanya wapi au alikua anasahisha na kina nani au alitaka apachike kwenye mfumo au wapi ila hii interview ya TRA hii imeweka doa kubwa sana. Kuna watu hadi leo wanalalamika hawajapata matokeo yao. Sijajua kama wameamuaje ila naona kikubwa ni wenye wa kwao wapite
sasa kama lecture wa NBAA hapo mnatuchanganya NBAA na TRA wapi na wapi wamewezaje tena wasahihishe wengine mara hawa watoto wameingia hapo sijaelewa.
 
sasa kama lecture wa NBAA hapo mnatuchanganya NBAA na TRA wapi na wapi wamewezaje tena wasahihishe wengine mara hawa watoto wameingia hapo sijaelewa.
Soma kuelewa sio ili
Ujibu. Nimesema naskia. Kwahiyo unadhani hr wa TRA wanaacha kazi zao kuja kusahisha mitihani ya accounts?
 
Habari wakuu.

Lalamiko nilaloleta mahali hapa ni kwanini TRA iitishe interview, iruhusu watu wafanye alafu mtu unafaulu kwa marks zaidi ya tisini unaambiwa una irrelevant qualification za kuendelea na mchakato wa kufanya oral interview.

Ina maana hadi wanakuita uje ufanye interview hawakujua kwamba una irrelevant qualifications?

Mtu unakopa pesa ili uweze kufika mkoa ambao umeitwa kwenda kufanya Interview maana interview inakukuta kwenye vibarua vya watu unapambana kujitolea alafu unafika unapambana kusoma usiku na mchana unajiandaa vizuri unaingia kwenye mtihani unafanya vizuri unafaulu kwa marks za juu kabisa alafu unakuja kuambiwa umefaulu lakini hujachaguliwa kwakua una irrelevant qualifications? Kwanini mliita mtu in the first place?

INTERVIEW IRUDIWE ILI HAKI IWEPO. MCHAKATO MZIMA WA
INTERVIEW URUDIWE, WATANGAZE UPYA ILI WATU WAOMBE UPYA NA WENYE QUALIFICATIONS HUSIKA WAOMBE NA MUWACHAGUE KWA HAKI NA USAWA. WAHANGA NI WENGI SANA NA INAUMIZA.

NAOMBA TRA WARUDIE MCHAKATO WA INTERVIEW ILI WALIOKOSESHWA KWENDA KWENYE ORAL KWA KIGEZO CHA IRRELEVANT QUALIFICATIONS HATA KAMA WANA MARKS KUBWA NAO WAITWE WAFANYE TENA INTERVIEW.

Haki itendeke watoto wa maskini tunaendelea kusota.

Nimeambatanisha na mfano wa uonevu huo uliotendeka.
Na TRA mlipotaka kufanyisha interview nyinyi wenyewe hiki ndo mlitaka kufanya? Haki itendeke mchakato urudiwe
Kuna mahali nakubaliana na wewe ila kuna mahali ukweli usemwe

Mm pia nilifanya huo mtihani nikiwa kituo kimoja nilliona kuna mtu alikuwa ameitwa kwenye tax management officer amesoma public administration (entrepreneurship) kama sikosei Ila tangazo lilitaka mtu awe na accounting/ finance jamaa akadanganya akazuga anavojua akapiga pepa.
Sasa mtu kama huyu wakitaka kujiridhisha lazima waraona course yake ni irrelevant pamoja na kwamba amefaulu.
Kwa huyo wakati mwingine ukiweka mawazo yako Kuwa hasi basi itakuwa hivyo. Mm binafsi nilikubaliana na nilichokipata cha msingi mapambano yaendelee
 
Back
Top Bottom