MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Tangu lini nyi team domo mmekuwa washauri wa kiba kimuziki...nyi endeleeni kumshauri domo tuendelee kufaidi mavideo yake anayowashikashika makalio dada zenuNishasema sana hili, team kiba wakaniparamia
Ukisha kuwa celebrate tambua kuwa mashabiki ndio mtaji wako.Tatizo la wabongo tunapenda kujua jirani kala nini ili tumfananishe.
Safi sana ali kiba. Kinachokuweka juu, ni huko kutoweka kila kitu wazi. Kila mtu anabaki kuongea lake huku akitafuta ukweli ni upi
Domo ndio nani mkuu?Tangu lini nyi team domo mmekuwa washauri wa kiba kimuziki...nyi endeleeni kumshauri domo tuendelee kufaidi mavideo yake anayowashikashika makalio dada zenu
Sisi washabiki wake tunampendea huo ushamba wake...wewe endelea kushabikia hao wajanja wanaowashika shika na kuwachezea dada zako makalio kwenye mavideo yao..sisi tuacheni na mziki mzuri wa huyu mshamba wetu nyinyi tafuteni wajanja wa kuwashabikiaDomo ndio nani mkuu?
Mbona mimi sina team?
Mi nachambua mada kama ilivyoletwaa. Kiba ni mshamba na analijua hilo
Kwani wanabifu?Ukisha kuwa celebrate tambua kuwa mashabiki ndio mtaji wako.
Sasa km unafanya kila kitu personal tena vingine vya kawaida kabisa jibu ninkwamba USHAMBA UMEZIDI.
KIBA NI MSHAMBA, ANA MALEZI YA USWAZI NA KUJIONA MKUBWA TOFAUTI NA UHALISIA.
BIFU LAKE NA DIAMOND NDIO LINA MUWEKA MJINI.
Hivi interview afanye MUSSA, GEA HABIB, JOSE MARA bora kidooogo yule HUSNA hua anajitahidi.Kama ni maswali ya namna hii bora hakujibu, tatizo hata hao watangazaji wetu vimeo, wanauliza udaku na ujinga. Coz watanzania wanapenda umbea na udaku ndio maana wengi wamechukia.
N.B: Sijasikiliza hiyo interview!
Kwani wanabifu??? Au nyie mashabiki ndo mnafanya waonekane wanabifu?Ukisha kuwa celebrate tambua kuwa mashabiki ndio mtaji wako.
Sasa km unafanya kila kitu personal tena vingine vya kawaida kabisa jibu ninkwamba USHAMBA UMEZIDI.
KIBA NI MSHAMBA, ANA MALEZI YA USWAZI NA KUJIONA MKUBWA TOFAUTI NA UHALISIA.
BIFU LAKE NA DIAMOND NDIO LINA MUWEKA MJINI.
Mkuu umenikumbusha kitu pia wale vinyozi nao wanazingua kuna siku walimuhoji mzee majuto akawa anatiririka mistari wale vinyozi wakapandikiza swali lingine wakati lile hajamaliza bas ikawa majibu hayajapatikana kipindi kikawa zerokama mkifuatilia vipindi vya mikasi vya salama jabir,kuna kipindi chake kimoja salama alimuacha akawa anahojiwa na vinyozi tu.na alipoondoka salama hakutaka hata kumuaga.ngoja niitafute niione vizuri u tube
Hahaha[emoji104] hahaha[emoji104]Alikiba anajua kweli kuwafunga midomo wabongo maana umbea ndio mlozoea, lol
Mtu eti anataka kujua alimtongozaje tongozaje, ilichukua muda gani kukubali, walilala kabla ya ndoa au baada, atamruhusu kuoa mke mwingine,
Upuuzi Upuuzi tu na angewachekea hapo wangemuuliza hadi anampigaga bao ngapi kwa siku.
Go Kiba Go.
Kuwa na bifu si mpk waseme,Kwani wanabifu??? Au nyie mashabiki ndo mnafanya waonekane wanabifu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mofaya gwanyokoNaunga hoja mkono
SWALI MTANGAZAJI: Mlikutanaje na Ali Kiba
ALI KIBA: Usijibu hilo swali utanianika
MTANGAZAJI: Tunataka kujua tu Ally
ALI KIBA: Hapana usijibu mwanaume ndo anamfata mwanamke
Ningekua mimi ningemfukuza na hiyo sikukuu ingeishia hapo
Kinachomuweka Kiba ni roho mbaya za wabongo kwa Diamond ila Kiba kwa domo ana mengi ya kujifunza [HASHTAG]#Mofayagwanyoko[/HASHTAG]
Kweli man, mi nilikuwa nampenda kiba kwa upole wake na kutokuwa mtu wa mjivuni lkn some time ananiboreNaunga hoja mkono
SWALI MTANGAZAJI: Mlikutanaje na Ali Kiba
ALI KIBA: Usijibu hilo swali utanianika
MTANGAZAJI: Tunataka kujua tu Ally
ALI KIBA: Hapana usijibu mwanaume ndo anamfata mwanamke
Ningekua mimi ningemfukuza na hiyo sikukuu ingeishia hapo
Kinachomuweka Kiba ni roho mbaya za wabongo kwa Diamond ila Kiba kwa domo ana mengi ya kujifunza [HASHTAG]#Mofayagwanyoko[/HASHTAG]
Nadhani Mashoto karibu wote wako hivyo, aidha wasiri sana ama hawasomeki kabisa yani shagalabagala. Ally Kiba hana tofauti na shemeji yangu.Tofauti na masuper wengine ambao ukiangalia interviews zao mtazamaji utajifunza kitu kutoka kwake, na ataku-inspire kwa namna moja au nyingine.
Huyu mheshimiwa, kati ya maswali 10 atakayoulizwa atajibu 2 tu!
Yeye kwake kila kitu nni PERSONAL... Aaagrh, wewe ni msanii mkubwa bwana, watu wanapenda kujua na kujifunza kutoka kwako including some of your personal life stories (Sio kila kitu off course cha kuweka hadharani) lkn kwako ni too much!
Sasa umejipeleka mwenyewe kwenye vipindi kama LEO TENA na SHILAWADU, na unajua kabisa aina za interview ambazo huwa zinafanyika kule, matokeo yake kila saa unatishia kuondoka...
THIS IS TOO LOW BROTHER!
Mzigo wa moto.Nilisema toka mwanzo Alikiba ni mzigo....Clouds wamejibebesha mzigo wa misumari