Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Nimeona review simu hizi mpya za iPhone 12 kuwa hata ukichukua kioo ukakibadiisha ukakiweka kwenye simu nyingine kama hiyo hiyo, kwanza ukiiwasha haitowaka unless uiwashe kwa kuplug in charger.
Ikishawaka itakuletea msg kuwa umeweka kifaa ambacho siyo cha simu hiyo, face id haitofanya kazi na mambo mengine.
Mfano ukibadilisha betry utakumbana na dhahama kama hiyo. Vifaa kama logic board au cameera, camera itakuwa na mawenge wenge, haitopiga picha ikifunguka itaganda yani naona ile mambo ya kununua simu zenye iCloud kwa ajii ya spare wanataka kuziondoa.
Ila hawa jamaa nahisi kifo chao kiko kwenye kona, yani unaship vipi simu haina charger wala earphone eti unapunguza uchafuzi wa mazingira.
Ikishawaka itakuletea msg kuwa umeweka kifaa ambacho siyo cha simu hiyo, face id haitofanya kazi na mambo mengine.
Mfano ukibadilisha betry utakumbana na dhahama kama hiyo. Vifaa kama logic board au cameera, camera itakuwa na mawenge wenge, haitopiga picha ikifunguka itaganda yani naona ile mambo ya kununua simu zenye iCloud kwa ajii ya spare wanataka kuziondoa.
Ila hawa jamaa nahisi kifo chao kiko kwenye kona, yani unaship vipi simu haina charger wala earphone eti unapunguza uchafuzi wa mazingira.