iPhone 12 haitokubali spare hata kutoka kwa iPhone nyingine

iPhone 12 haitokubali spare hata kutoka kwa iPhone nyingine

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Nimeona review simu hizi mpya za iPhone 12 kuwa hata ukichukua kioo ukakibadiisha ukakiweka kwenye simu nyingine kama hiyo hiyo, kwanza ukiiwasha haitowaka unless uiwashe kwa kuplug in charger.

Ikishawaka itakuletea msg kuwa umeweka kifaa ambacho siyo cha simu hiyo, face id haitofanya kazi na mambo mengine.

Mfano ukibadilisha betry utakumbana na dhahama kama hiyo. Vifaa kama logic board au cameera, camera itakuwa na mawenge wenge, haitopiga picha ikifunguka itaganda yani naona ile mambo ya kununua simu zenye iCloud kwa ajii ya spare wanataka kuziondoa.

Ila hawa jamaa nahisi kifo chao kiko kwenye kona, yani unaship vipi simu haina charger wala earphone eti unapunguza uchafuzi wa mazingira.
 
Nimeona review simu hizimpya za iPhone 12 hata ukichukua kioo ukakibadiisha ukakiweka kwenye simu nyingine kama hiyo hiyo, kwanza ukiiwasha haitowaka unless uiwashe kwa kuplug in charger, ikishawaka itakuletea msg kuwa umeweka kifaa ambacho siyo cha simu hiyo, face id haitofanya kazi na mambo mengine....

Hii kitu ipo mbona toka kitambo haijaanza kwenye 12
 
Mkuu ilipoanza ilikuwa kwenye software level, lakini sasa it seems kila component iko signed for that specific phone tena hii ni hardware level.
Ni mambo yao tu hayo. Wanajulikana kwa kupair components kwenye simu zao na Macs. Mwaka huu camera ndio imeongezeka.

MacBooks mpya RAM na SSD ni soldered (hazitoki). Na hata ukisema ujaribu kubadlsha chips kutoka kwenye MacBook myingine haitafanya kazi sababu wame zi pair
 
Ni mambo yao tu hayo. Wanajulikana kwa kupair components kwenye simu zao na Macs. Mwaka huu camera ndio imeongezeka.

MacBooks mpya RAM na SSD ni soldered (hazitoki). Na hata ukisema ujaribu kubadlsha chips kutoka kwenye MacBook myingine haitafanya kazi sababu wame zi pair
Hii kitu hata tesla walikuwa wanajaribu kuifanya kwenye gari zao kwa kutoruhusu third part wafanye repair maana hata spare walikuwa hawauzi.
 
Hii kitu hata tesla walikuwa wanajaribu kuifanya kwenye gari zao kwa kutoruhusu third part wafanye repair maana hata spare walikuwa hawauzi.
Ili iweje sasa? Means gari ikianza kusumbua kidogo tuu ni ya kutupa
 
Ili iweje sasa? Means gari ikianza kusumbua kidogo tuu ni ya kutupa
Ikisumbua unawapelekea wao waitengeneze na mfan ikipata ajali kidogo unatupa unanunua nyingine. Nao wna useng* kuna model waliifungia haiwezi kucharge kwenye charging hubs zao. Yani ni kama iPhone tu
 
Hii ni mbinu za kibiashara makampuni yote tu hata Note 20 charger iko tofauti na system zote ukinunua baada ya muda utauziwa upgrade system maana utaambiwa spare hazitengenezwi tena lakini lipa kiasi hichi upate upgrade sababu tech inakuwa haraka na wateja wakubwa mfano majeshi sasa hawa wanataka latest tech inabidi makampuni yakimbizane na wakati, ndio maana hata simu huwa mara kwa mara unatumia software upgrade. zamani ulikuwa ukinunua bulb basi itawaka mpaka utapata wajukuu wewe unasafisha vumbi tu sasa viwanda vikiuza bidhaa inakaa sana kwenye matumizi uzalishaji unapungua siku hizi hakuna unanunua inawekwa life time baada ya muda inaungua kazi inaendelea ukija kwenye LED taa hubadilishi transformer inaungua utanunua tu viwanda vinafanya kazi.
 
Hii kitu hata tesla walikuwa wanajaribu kuifanya kwenye gari zao kwa kutoruhusu third part wafanye repair maana hata spare walikuwa hawauzi.
Ili iweje sasa? Means gari ikianza kusumbua kidogo tuu ni ya kutupa
 
Back
Top Bottom