leo hii apple wana mafanikio sababu ya viongozi wenye maono,tokea muasisi wa hiyo kampuni.
kama uongozi mbovu umeanza kuwala nokia 2000,unakujaje kusema apple ndio aliiua nokia!!!!!
ndio sababu tunasema matatizo yao wenyewe ndio yalifanya wakapoteza ushindani,sio ujio wa apple na iphone.maana apple yupo na kampuni kibao bado zinazaliwa na kukua.