iPhone 12 haitokubali spare hata kutoka kwa iPhone nyingine

iPhone 12 haitokubali spare hata kutoka kwa iPhone nyingine

Sijawaiongelea simu au OS zingine zaidi ya Apple Hizo simu zingine sijui zikoje

basi una matatizo dada angu,yaani wewe hata tim cook akikusikia atakasirika,uko kama mpenzi anayempenda mtu wake sababu hajawahi kuona wengine.

inawezekana siku ukishika hata huawei p30 ukatumia ukawakimbia apple,wewe sio shabiki mzuri.
 
Sijaona logic ya iphone kuto include earphone na charger kwa kisingizio cha kutunza mazingira [emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

😀 Yani unanunua simu kama simu tu? Box haina? Ni mtumba au🤔 kama ina box kwann hawaweki


Daa hizo simu sipendi hata kutumia labda nijifungie ndani nianze google ila in public NO
 
basi una matatizo dada angu,yaani wewe hata tim cook akikusikia atakasirika,uko kama mpenzi anayempenda mtu wake sababu hajawahi kuona wengine.

inawezekana siku ukishika hata huawei p30 ukatumia ukawakimbia apple,wewe sio shabiki mzuri.

Miaka ya 2004-2008 nimetumia Nokia,blackberry Siemens Motorola na ndio nikaja tumia iPhone na ndio mpaka leo iPhone nimefunga nao ndoa
 
Mkuu, ulishawahi kuona executive person amepimp gari lake kwa kulifunga spoilers, sijui ma rangi rangi, sijui kaifanyia engine mapping.
iPhone kuna soko kalilenga mkuu la watu flani amabo kuweka ringtone za oyo oyo, na themes siyo mambo yao. Unajua hata wauzaji magari wanajua hilo. Mfano Toyota Allion ilitoka kwa ajili ya watu kama vijana vijana ila wakaamua toa Premio kwa ajili ya executives. Halafu unajua ni rahisi mtu anayetumia samsung au Oking akatamani apate theme ya iPhone kuliko mwenye iPhone atake theme ya samsung.
Nakumbuka wayback nikiwa chuo tulikuwa tunatafuta sana themes za Macos tu transform windows iwe kama MacOs ila sikuwahi kuona mwenye macbook akitamani kuwa na theme iabadili OS yake ifanane na windows. 😀 😀 😀 😀 😀

Ndugu yangu umemaliza wacha waendelee kuteseka ila Apple baba lao
 
Unaongea wewe lakin kwa hili amini nakwambia mtumiaji wa iphone atakuwa salama zaidi maana huwez kuibiwa simu hata na wezi pia usalama wa taarifa zako ni mkubwa

Hizo simu ndiyo maana hawatumii chokà mbayaa
Unahisi waizi wako nyuma ya keyboard wanasoma specs za mambo ambayo huwezi yafanya kwa iphone😀 pole sana subiri ukutane na wazee wa kazi
 
Nimeona review simu hizi mpya za iPhone 12 kuwa hata ukichukua kioo ukakibadiisha ukakiweka kwenye simu nyingine kama hiyo hiyo, kwanza ukiiwasha haitowaka unless uiwashe kwa kuplug in charger.

Ikishawaka itakuletea msg kuwa umeweka kifaa ambacho siyo cha simu hiyo, face id haitofanya kazi na mambo mengine.

Mfano ukibadilisha betry utakumbana na dhahama kama hiyo. Vifaa kama logic board au cameera, camera itakuwa na mawenge wenge, haitopiga picha ikifunguka itaganda yani naona ile mambo ya kununua simu zenye iCloud kwa ajii ya spare wanataka kuziondoa.

Ila hawa jamaa nahisi kifo chao kiko kwenye kona, yani unaship vipi simu haina charger wala earphone eti unapunguza uchafuzi wa mazingira.
mkuu kwahyo hizo 14n 12 zinakuja bila charger wala ear4
 
Mkuu na wewe pia una kichwa kigumu hivi?

Hebu nioneshe hapa kwenye data wapi Nokia hadi 2010 amechakazwa?

elop_effect_volume.jpg


Mpaka 2010 inaanza Apple na Samsung combined hawafiki hata 15m wakati Nokia ana zaidi ya 25m mwenyewe.

Again leteni data maneno matupu hayasaidiii.

Hizo takwimu umezitoa wapi? Mwaka 2010 apple wameuza iphone 40M.


Samsung waliuza 80M units.

20201105_002256.jpg
 
Ili twende sawa huyu mbaba aapishwe tu kesho waruhusu mitandao iwe sawa
Huyu baba aendelee na Mambo yake anayoyajua yeye
 
Mkuu na wewe pia una kichwa kigumu hivi?

Hebu nioneshe hapa kwenye data wapi Nokia hadi 2010 amechakazwa?

elop_effect_volume.jpg


Mpaka 2010 inaanza Apple na Samsung combined hawafiki hata 15m wakati Nokia ana zaidi ya 25m mwenyewe.

Again leteni data maneno matupu hayasaidiii.
Nokia ilikuwa troubled kipindi cha 2007-2010.

Guardian wanakwambia mlikuwa mnauza simu nyingi ila profit hakuna.

Soma link hiyo; Nokia's revenue and profit trends point to its key problem: commoditisation

Mkaanza kutengeneza loss 2009. Ukisoma hii article bado utaona hoja yangu huo. [emoji116][emoji116]


Mkapata hasara ya $1B mwaka 2009.


Mpaka kufikia hapo mkaanza kuachana na kutengeneza smartphone.
Screenshot_20201105-002927_Chrome.jpg
Screenshot_20201105-003237_Chrome.jpg
Screenshot_20201105-003510_Chrome.jpg
 
Hizo takwimu umezitoa wapi? Mwaka 2010 apple wameuza iphone 40M.


Samsung waliuza 80M units.

View attachment 1619760
yani takwimu ulete mwenyewe kisha ujipinge mwenyewe? sijaleta mimi hio table ulileta wewe ikawa haionekani nikaingia kwenye hio link na kulipaste vizuri.
 
Nokia ilikuwa troubled kipindi cha 2007-2010.

Guardian wanakwambia mlikuwa mnauza simu nyingi ila profit hakuna.

Soma link hiyo; Nokia's revenue and profit trends point to its key problem: commoditisation

Mkaanza kutengeneza loss 2009. Ukisoma hii article bado utaona hoja yangu huo. [emoji116][emoji116]


Mkapata hasara ya $1B mwaka 2009.


Mpaka kufikia hapo mkaanza kuachana na kutengeneza smartphone.View attachment 1619761View attachment 1619762View attachment 1619763
mkuu kuanzia 2007 mpaka 2011 kuna jumla ya quarter za mwaka 20, unapochukua quarter moja kubase argyuments za quarter 20 thats low even for your standard.

na suala la market share nimeshakujibu hapo juu, marketshare kuwa same haimaanishi kwamba eti umeuza simu zile zile

nitakupa mfano
mimi nimeuza maembe 5
wewe umeuza maembe 5

market share inakuwa 50% mimi na 50% wewe

mwaka unaofutaia
mimi nimeuza maembe 20
wewe umeuza maembe 20
mtu mwengine kauza maembe 10

japo mauzo ya maembe yameongezeka toka 10 kwenda 20 lakini marketshare hapo inashuka toka 50 kwenda 40

vyombo vya habari ku click bait na kudanganya watu wataanza kutangaza as if ni jambo baya marketshare imeshuka, na hawatasema juu ya idadi ilioongezeka ya mauzo.

lete idadi ya simu zilizouzwa kama ninavyoleta mimi na sio marketshare.

kuhusu mapato, faida na hasara nimeshaleta graph la kuanzia 2007
 
Unahisi waizi wako nyuma ya keyboard wanasoma specs za mambo ambayo huwezi yafanya kwa iphone[emoji3] pole sana subiri ukutane na wazee wa kazi
Na kibongobongo wamiliki wa iphone huwa walainilaini. Utaibiwa simu halafu unaambiwa toa id na password.
 
Aisee huu mjadala unapendeza sana. Watu wanashusha data tu na wengine tunafaidi. Hii ndio jf sasa, sio ile ya kina wasafi na kiba.

Swali nalojiuliza mpaka sasa ni kuwa, iwapo simu inakuja bila chaja wala earphone hivo vitu unavipataje na kwa gharama ya nani na kiasi gani?

Nina swali lingine kutegemea na jibu la kwanza
 
Wasiwasi wangu ni wabongo wangapi wataweza kufunga only genuine spare parts za iphone mfano ikiharibika??
Anyways lets pray and hope China people will find a way around this as they always do
Issue sio genuine parts.

Hata ukiweka genuine part kutoka kwenye iphone nyingine madai ya mleta mada ni kwamba bado itakataa kupokea hiyo spare.

Sijui anatudanganya au ni vp... simu imetoka ina wiki mbili mchizi keshaipata, kaiharibu, kavunja vioo na camera, kapata nyingine kabadili vioo na vipuri vya motherboard na camera nk. nk. nk.... ngoma ikamkatalia!
 
Aisee huu mjadala unapendeza sana. Watu wanashusha data tu na wengine tunafaidi. Hii ndio jf sasa, sio ile ya kina wasafi na kiba.

Swali nalojiuliza mpaka sasa ni kuwa, iwapo simu inakuja bila chaja wala earphone hivo vitu unavipataje na kwa gharama ya nani na kiasi gani?

Nina swali lingine kutegemea na jibu la kwanza

ni kwa gharama zako,zitauzwa kwa ingizo baadae sokoni.

ni zaidi ya $100.

yaani apple kwa sasa wanafanya utapeli wakijua kabisa hamna mteja wa kuhoji.walitoa eaphone wakaanza kuziuza peke yake wakapiga hela,saaa wako kwenye charger.watahamia kwenye betry muda sio mrefu.
 
ni kwa gharama zako,zitauzwa kwa ingizo baadae sokoni.

ni zaidi ya $100.

yaani apple kwa sasa wanafanya utapeli wakijua kabisa hamna mteja wa kuhoji.walitoa eaphone wakaanza kuziuza peke yake wakapiga hela,saaa wako kwenye charger.watahamia kwenye betry muda sio mrefu.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] kwahiyo unanunua simu unaenda kutunza halafu unasubiri chaja? Au mimi ndio sielewi
 
Au zitaingia sokoni pamoja ila unanunua simu kwanza? Na kama ndivyo, kwahiyo wakiuza pembeni haichafui mazingira? Kuna mtu amesema wanafanya simu isiwe na gharama kubwa, kuniuzia chaja pembeni na simu pembeni, kipi kinaokoa gharama za mteja?

Kwa maelezo haya inaonesha lengo lao ni kupiga pesa na si kuokoa mazingira. Watumiaji wa bongo wanajifariji na kamsemo "ukiona huwezi kumudu, ujue sio kwaajili yako." Hawana option kwakuwa hakuna mbadala wa vifaa kutoka kampuni nyingine kwenye vifaa vya apple. Imagine chaja pekee inakuwa na bei sawa na mtu anayetumia tecno ama infinix latest edition[emoji35][emoji35][emoji35]
 
mkuu kuanzia 2007 mpaka 2011 kuna jumla ya quarter za mwaka 20, unapochukua quarter moja kubase argyuments za quarter 20 thats low even for your standard.

na suala la market share nimeshakujibu hapo juu, marketshare kuwa same haimaanishi kwamba eti umeuza simu zile zile

nitakupa mfano
mimi nimeuza maembe 5
wewe umeuza maembe 5

market share inakuwa 50% mimi na 50% wewe

mwaka unaofutaia
mimi nimeuza maembe 20
wewe umeuza maembe 20
mtu mwengine kauza maembe 10

japo mauzo ya maembe yameongezeka toka 10 kwenda 20 lakini marketshare hapo inashuka toka 50 kwenda 40

vyombo vya habari ku click bait na kudanganya watu wataanza kutangaza as if ni jambo baya marketshare imeshuka, na hawatasema juu ya idadi ilioongezeka ya mauzo.

lete idadi ya simu zilizouzwa kama ninavyoleta mimi na sio marketshare.

kuhusu mapato, faida na hasara nimeshaleta graph la kuanzia 2007
Haya mzee umeshinda.

Turudi kwenye jukwaa la Manchester United. Tueleze kwanini Ole bado anatakiwa andelee kuaminiwa.
 
Back
Top Bottom