iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Ni mabadiliko makubwa sana kwa sababu kuanzia iPhone 6s mpaka iPhone 13 zote zinatumia 12MP.
1663594442055.png

Megapixels 48 ni tofauti na Megapixel 12 kwa sababu MP48 inakusanya details nyingi katika picha na video kuliko 12MP.

Jambo la kuwafahamisha watumiaji wa iPhone 14 Pro na iPhone 14 Pro Max; picha na video za simu hizo - zitakuwa zinatumia Storage kubwa sana kuliko kawaida.

ProRAW ni format ya Apple ambayo inatumika katika picha ambazo zina High Quality zaidi. Katika iPhone 14 Pro na Pro Max zitakuwa zinatumia zaidi ya 70MP kwa picha MOJA.

Hii inamaanisha ukipiga picha 10 za ProRaw katika iPhone 14 Pro na Pro Max zitakuwa na zaidi ya 500MP na ukipiga picha 20 za ProRaw zinachukua storage ya 1GB. iPhone 14 Pro zinatumia Storage kubwa mara 4 ya iPhone 13 mpaka iPhone Xr.

iPhone 13 Pro na Pro Max zitakuwa zinatumia storage kubwa sana kwa wale ambao wanapenda kupiga sana picha. Nadhani njia nzuri ya kuweka sawa tatizo hilo ni kuweka ProRaw iwe inatumika pale ambapo unataka picha za High Quality mfano Photo-shooting au picha za kupost.

Kama unatumia kwa kupiga picha za kawaida mfano picha za notes, page za vitabu au vitu ambavyo unataka ukumbuke na hauna ulazima sana wa kutumia High Resolution, sio vyema sana kuweka ON settings za ProRAW formats.

Ripoti za mwisho zinaonyesha kampuni ya Apple inafanyia kazi maboresho mapya ya kupunguza ukubwa wa format za ProRAW katika iPhone 14 Pro na Pro Max ili kuondoa kero hii.
 
48mp yenye Quad bayer ni sawa na 12mp.

Kinachofanyika hapa ni marketing tu, Simu zote unazoona zina 48mp sasa hivi ni 12mp, 64mp ni 16mp na 108mp ni 27mp.
Sio kweli zimetushinda tuu Mkuu hizo simu ila ubora upo tofauti kabisaa na hizi tunazotumia...Watu Dunia nzima watangaziwe biashara kwa tofauti ndogo hiyo na bei iwe mlima vile...
 
Kodi kubwa Tanzania ya simu maana SA wanauza kuanzia rand 20,000 mpaka rand 22,990 kama Tsh 3m mpaka Tsh 3.5m.. ila ni simu nzuri bei yake tuu imesimama..
Sidhani kama issue ni Kodi,nadhani kuna shida mahali.

Me nnachoona hawa wafanyabiashara wamepata upenyo wa kutupiga kwakua iPhone hawana official store zao kwenye nchi yetu lakini kama zingekuepo bhas hizo Bei zisingekua mkasi hvyo.

Nakumbuka kipindi cha nyuma kidogo Simu za Xiaomi zilikua Bei mkasi kweli Bongo,unakuta Bei inazidi mpaka laki 3 ya Bei halisi ya Simu. Mfano Mimi nakumbuka niliagizaga Mi 9t Kwa laki 7 kama na Nusu hivi ,lakini Bongo Simu hyohyo ilikua inauzwa laki 9 mpaka milioni. Lakini baada ya Tigo na kampuni nyingine kuanza kuleta Simu za Xiaomi Bongo Bei hazitofautiani Sana na za mtandaoni.

Sasa kama iPhone unakuta pro Max ya 256gb huko mbele wanauziwa 3.5m huku Bongo unapigwa 4.8m-5m
 
Sawa.... Tusubiri sasa watu kuuza figo ili waipate hiyo IPhone 14 pro max....
 
Back
Top Bottom