iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

Sidhani kama issue ni Kodi,nadhani kuna shida mahali.

Me nnachoona hawa wafanyabiashara wamepata upenyo wa kutupiga kwakua iPhone hawana official store zao kwenye nchi yetu lakini kama zingekuepo bhas hizo Bei zisingekua mkasi hvyo.

Nakumbuka kipindi cha nyuma kidogo Simu za Xiaomi zilikua Bei mkasi kweli Bongo,unakuta Bei inazidi mpaka laki 3 ya Bei halisi ya Simu. Mfano Mimi nakumbuka niliagizaga Mi 9t Kwa laki 7 kama na Nusu hivi ,lakini Bongo Simu hyohyo ilikua inauzwa laki 9 mpaka milioni. Lakini baada ya Tigo na kampuni nyingine kuanza kuleta Simu za Xiaomi Bongo Bei hazitofautiani Sana na za mtandaoni.

Sasa kama iPhone unakuta pro Max ya 256gb huko mbele wanauziwa 3.5m huku Bongo unapigwa 4.8m-5m
Ishu ni Kodi kubwa za Simu SA nao wanaagiza hizi simu kubwa sema wao wanasema simu na laptop ni vitabu watu wapate Elimu walitoa kodi kabisaa ila wameweka kwa mfumo tofauti kabisa mimi mwenyewe siwezi kushuka na simu kubwa airport ziwe pisi hata kumi hata zawadi utazilipia tuu unaweza kwenda SA kununua bidhaa iliyotoka China na ukapata faida Tanzania kwa sababu wale kuanzia gharama za kutoa mzigo bandari yao sio kubwa na hakuna mambo ya kufatiliana kama Tanzania...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiiiih.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sasa ukute mmeenda kwenye tukio labda harusi, mmepiga picha kama 50 unataka kumrushia mtu whatsap.. inabidi ujiunge kifurushi cha mwezi ili tu uweze kuzituma 😄😄 tutakufa 😄
 
Sasa ukute mmeenda kwenye tukio labda harusi, mmepiga picha kama 50 unataka kumrushia mtu whatsap.. inabidi ujiunge kifurushi cha mwezi ili tu uweze kuzituma 😄😄 tutakufa 😄
Whatsapp ina compress picha,
 
Jaribu kudadafua
Kuna thread gsmarena inaelezea vizuri sana.


Tafsiri fupi toka hio thread.

Bayer filter kazi yake ni kuchukua rangi wakati wa kupiga picha, 48mp, so details za picha zinakuwa bado ni 12mp ila rangi ndio inachukuliwa kwa 48mp maana zinakuwa bayer 4.
 
Na ujanja wako unanunua iphone bongo?
Website ya apple huijui?
😄😄 Kuna jamaa huwa napenda kumuunga mkono dukani kwake, nilipokuta hizo bei, nikaachana nazo. Nikaona niliyo nayo bado inafanya kila kitu nachotaka. Ila wafanya biashara wetu janja janja sana
 
Wanaweka faida kubwa
Sahivi iphone zinazotoka USA huwezi nunua kwasababu ya esim.

Inabidi ununue toka masoko mengine kama UK au Dubai.

Shida inakuja huko bei ni kubwa kuliko ukinunulia USA.

Kwa UK bei inaanzia 1300 GBP mpaka 1500 GBP. Weka kodi ya TRA hapo.
 
Sasa ukute mmeenda kwenye tukio labda harusi, mmepiga picha kama 50 unataka kumrushia mtu whatsap.. inabidi ujiunge kifurushi cha mwezi ili tu uweze kuzituma [emoji1][emoji1] tutakufa [emoji1]
Airdrop kama anatumia iphone.
 
[emoji1][emoji1] Kuna jamaa huwa napenda kumuunga mkono dukani kwake, nilipokuta hizo bei, nikaachana nazo. Nikaona niliyo nayo bado inafanya kila kitu nachotaka. Ila wafanya biashara wetu janja janja sana
Huwa naona iphone zote bongo ni refub au feki za China.

I will never trust them. Ntanunua online tu.

Almost bidhaa zote sinunui bongo kama kuna option ya kuchukua online kwenye official website yao.
 
Huwa naona iphone zote bongo ni refub au feki za China.

I will never trust them. Ntanunua online tu.

Almost bidhaa zote sinunui bongo kama kuna option ya kuchukua online kwenye official website yao.
Sure unachosema ni kweli, kuna dogo mmoja alikua nje akawa ananiambia kuhusu hizi iPhone kuwa refub, nilikuwa nabisha hadi siku moja nikapigwaa ndio nikajua hawa wanatuingiza kingi
 
Sure unachosema ni kweli, kuna dogo mmoja alikua nje akawa ananiambia kuhusu hizi iPhone kuwa refub, nilikuwa nabisha hadi siku moja nikapigwaa ndio nikajua hawa wanatuingiza kingi
Ukinunua iphone toka Ulaya na US utaona utofauti mkubwa sana na za Makumbsho.

Almost 95% ya iphone zinazouzwa bongo ni feki.
 
Back
Top Bottom