iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

Ukinunua iphone toka Ulaya na US utaona utofauti mkubwa sana na za Makumbsho.

Almost 95% ya iphone zinazouzwa bongo ni feki.

mkuu nawewe usiwe kama mange bana.

iphone masoko ya bongo sio feki,ni zile ambazo zilizingua kwa mtumiaji wa kwanza au mpaka wa pili zikarudishwa kiwandani au kwa technician kuwekwa sawa,kisha kurudishwa kwenye mabox na kuuzwa tena.

ni kweli kwamba zinakuwa na viwango vya chini ukilinganisha na standard za US maana sio mpya,zimewekwa camera za hapa na pale na vifaa vingine vya uchochoroni huko.

na ili kuelewa hilo swala kutana na mtu amenunua simu hapa hapa bongo akiita mpya au maarufu full boxed,na aliyenunua simu hiyo hiyo hapa bongo lakini ni used from US and so,utagundua jambo jipya.
mimi nilinunua iphone 6s used from us,ikiwa na BH 86% ilikuwa inakaa na charge kuliko ya mshikaji yenye 100%

jamaa pia akaja na pixel 4 kutoka US,ilikuwa inatenda dhambi kuliko nyingine nilizozikuta maduka ya hapa bongo hasa ktk display na camera.
 
mkuu nawewe usiwe kama mange bana.

iphone masoko ya bongo sio feki,ni zile ambazo zilizingua kwa mtumiaji wa kwanza au mpaka wa pili zikarudishwa kiwandani au kwa technician kuwekwa sawa,kisha kurudishwa kwenye mabox na kuuzwa tena.

ni kweli kwamba zinakuwa na viwango vya chini ukilinganisha na standard za US maana sio mpya,zimewekwa camera za hapa na pale na vifaa vingine vya uchochoroni huko.

na ili kuelewa hilo swala kutana na mtu amenunua simu hapa hapa bongo akiita mpya au maarufu full boxed,na aliyenunua simu hiyo hiyo hapa bongo lakini ni used from US and so,utagundua jambo jipya.
mimi nilinunua iphone 6s used from us,ikiwa na BH 86% ilikuwa inakaa na charge kuliko ya mshikaji yenye 100%

jamaa pia akaja na pixel 4 kutoka US,ilikuwa inatenda dhambi kuliko nyingine nilizozikuta maduka ya hapa bongo hasa ktk display na camera.
Iphone ninazoziona kwa watu ninaonana nao hazina quality ya iphone nilizotumia.

Juzi nimeona iphone 13 pro max imefubaa na mmiliki alinunua brand new makumbusho.
 
Huwa naona iphone zote bongo ni refub au feki za China.

I will never trust them. Ntanunua online tu.

Almost bidhaa zote sinunui bongo kama kuna option ya kuchukua online kwenye official website yao.
Sio unaona,ndio ukweli huo maduka yote ya kibongo ni refurb...labda ununue iphone store
 
Back
Top Bottom