Na sijawahi kuona tofauti yake...Sema simu zimekuwa na ujinga sana kwa sasa mweny iphone 13 anaona kama kapitwa na mda [emoji23][emoji23] hapo itauzwa angalau kupanda mpaka 14 then 15.
Ena mwagona nawe.Mwagona.
Ujio wa matoleo ya I phone kwa Tanzania huwa ni msiba mkubwa hasa wazazi waume na makaka
Kwani hicho ndo huwa visa vya dada zetu kuliwa tunda kimasihara kisa simu.
Tujiandae kusikia matukio ya hawa ndugu zetu ambayo chanzo ni tamaa.
Uzi tayari
View attachment 2747550
Acha wivuni vijana sana sana, wanapenda kujionesha
kama unaweza kumudu bei yake, sioni tatizoAcha wivu
Yah mikopo ipo kwa ajili yetu tutaridishakama unaweza kumudu bei yake, sioni tatizo
According to boss hii ipo differ sana and uniqueNa sijawahi kuona tofauti yake...
Kuanzia 11 hadi hiyo 14....Labda 15 maana sijaiona kwa macho...
Wakijipanga watumiaji wa matoleo yote hayo.. wakashika simu zao hujui ipi ni ipi...hadi uanze kuuliza..
15 pro max kuanzia $1199Ndio inauzwa bei gani ?
Haziuzwi Wala kutumiwa na watu?Hizo simu zimepigwa marufuku hapa France ,kuanzia iPhone12 ,wameamuru zitolewe madukani na marufuku kuuzwa,nyie vamieni tu kila kilicho ingia mjini.
Hii mimi naitakaBinafsi sionagi sababu ya mtu/watu kukimbizana na matoleo mapya ya simu kila yanapotoka..
Unakuta mtu ana 14, kuna Apps zipo kwenye hiyo simu hajawahi kuzitumia, na mbaya zaidi hajui kazi yake, then 15 ndiyo hiyo anakimbizana nayo tena..
Anyway...Mtaniambia nitafute hela...Ni sawa.
Bei nzuri sana15 pro max kuanzia $1199
128 GB
Nimeona online.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii mimi naitaka
Tunauza pumb* kwani zina kazi gani ?Na figo ndio hiyo umebakia nayo moja baada ya kuiuza ili upate iPhone 14.
Tozi utafanyaje ili uvimbe mtaani na hela huna afu ukicheki umebaki na bandama tu ambazo hazina dili sokoni?
Siku zote mtu asiyekua na hela akiona jinsi watu wenye hela wanavyotumia hela zao,huona kua ni matumizi mabaya ya hela au hawana akili.Binafsi sionagi sababu ya mtu/watu kukimbizana na matoleo mapya ya simu kila yanapotoka..
Unakuta mtu ana 14, kuna Apps zipo kwenye hiyo simu hajawahi kuzitumia, na mbaya zaidi hajui kazi yake, then 15 ndiyo hiyo anakimbizana nayo tena..
Anyway...Mtaniambia nitafute hela...Ni sawa.
Siku zote mtu asiyekua na hela akiona jinsi watu wenye hela wanavyotumia hela zao,huona kua ni matumizi mabaya ya hela au hawana akili.
ππ
toka nilipo ona ivyo.. ni mwendo wa kutumia itel au bontelni vijana sana sana, wanapenda kujionesha
samsung ni nzuri sanatoka nilipo ona ivyo.. ni mwendo wa kutumia itel au bontel