iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Anazungumzia Tecno s1,s2,s3..,za alfu thamanini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi unaona wanachangia kwenye huu uzi wanatumia Android za kimasikini yani zile za mwisho kabisa.

Flagship za Android zina physical features nyingi zinazokaribiana.

Headphone jack, 120hz refresh rate, cloud services, 3 camera lenses. Hizi ni industry standard.

Na ukiona mtu analalamikia battery life ya iphone basi atakuwa amenunua zile refub za makumbusho.

Na wengi wanatumia simu kama kifaa cha michezo na sio productivity tool. Mtu anakwambia mara ageuze screen chini juu, sijui aweke password kila sehemu. Utoto tupu.

Natumia zote iphone na android, sijaona uajabu wa android so far. Ni basic OS kama zingine.
 
Halafu usikute hajawahi kumiliki simu zaidi ya Tecno Ila kwa vile tuko jf usishangae [emoji16][emoji23][emoji1787]

Inaweza kua kweli sijakataa sikulazimishi kila kitu kimetengenezwa kwa watumiaji fulani ata Chakula na bidhaa nyingine ukienda mbezi beach kwa Chefkile sahan ya Nyama choma 20k , ukienda sinza kwa Mak chicken kuku Mzima 24k na chips ila ukija Mbagala uko uswahilini Kuku mzima 6400

Ninachotaka kumaanisha ni kua kila kitu kina watumiaji wake ukiona unauhitaji wa kitu ni bora ukitafute kulingana na gharama zako kama ni mtu wa Mambo mengi umezoea Kitonga kuteleza, umezoea kudownloads mavitu uko kwenye maserch engine wewe tumia tu Itel na nyingine ndizo uwezo wako.

Sijapinga pia kua wengi wanatumia Iphone for show off ni kweli kabisa mfano masister du na ukweli ni kua wanavyovitumia au application wanazozitembelea ni 4-7 tu kati za application zote
 
Mm nauza iphone 7s+ ipo na good condition 128gb kila kitu kinafanya kazi njoo na 600k
 
I have used Samsung, hauwezi, and Sony, But iPhone is on top list, iPhone haiitaji mtu mvivu anayependa kufanyiwa vitu, But it is the best phone you can have!

Hakuna iPhone I Siyo na headphone jack, haipo duniani!

Halafu tukikuonyesha ambayo haina earphone jack unatoa nini???

tafuta 11 pro max uineshe earphone ipo wapi
 
Nimetumia iPhone kwa miaka saba tokea nikiwa na miaka 18, ila nilivyokuja kuhamia kwenye Samsung najihisi nipo huru tena huru kweli kweli... IPhone ni uchafu tu, ni masimu ya showoff tena ya wale wasiojua matumizi ya simu...
 
Smart phone Bora kwa Sasa ni huawei P na mate series..

Kwa vile hizi simu ziko Bora zaidi kwa mambo mengi Marekani umeamua kuiwekea vikwazo kampuni ya Huawei..
 
Duh, labda sijui maana ya headphone jack!

Tundu la kuwekea earphone. Nyingi zina earphone yenye plug kama usb ya apple na baadhi ya iphone za kisasa hasa zenye usb type c zinatumia wireless earphone tuu, hawana earphone za kuchomeka.
image-2020-08-09-09:30:52-530.jpg
 
Wengi unaona wanachangia kwenye huu uzi wanatumia Android za kimasikini yani zile za mwisho kabisa.

Flagship za Android zina physical features nyingi zinazokaribiana.

Headphone jack, 120hz refresh rate, cloud services, 3 camera lenses. Hizi ni industry standard.

Na ukiona mtu analalamikia battery life ya iphone basi atakuwa amenunua zile refub za makumbusho.

Na wengi wanatumia simu kama kifaa cha michezo na sio productivity tool. Mtu anakwambia mara ageuze screen chini juu, sijui aweke password kila sehemu. Utoto tupu.

Natumia zote iphone na android, sijaona uajabu wa android so far. Ni basic OS kama zingine.

Hizo refub iPhone za makumbusho zina tatizo gani..?sijakumanya hapo chief ?
 
Hizo refub iPhone za makumbusho zina tatizo gani..?sijakumanya hapo chief ?
Refub maana yake ilishatumika halafu ikakarabatiwa then inarudi tena sokoni...

Mfano unakuta simu ilituma ikafa betri au housing ilipata creck basi inafanyiwa repair afu ina rudishwa kwny factory settings inafungwa vizuri inawekwa dukani.

Hapa bongo simu za high end za miaka miwili nyuma zilizopo maduka ya kariakoo na makumbusho most of them ni refub mfano huwez pata galaxy s8 ,s9, i phone 8 ,7,6 mpya kwa sasa coz zina mda toka zitoke nying refub.

Mana likishatoka toleo jipya za zamani wanaacha kutoa
 
Refub maana yake ilishatumika halafu ikakarabatiwa then inarudi tena sokoni...

Mfano unakuta simu ilituma ikafa betri au housing ilipata creck basi inafanyiwa repair afu ina rudishwa kwny factory settings inafungwa vizuri inawekwa dukani.

Hapa bongo simu za high end za miaka miwili nyuma zilizopo maduka ya kariakoo na makumbusho most of them ni refub mfano huwez pata galaxy s8 ,s9, i phone 8 ,7,6 mpya kwa sasa coz zina mda toka zitoke nying refub.

Mana likishatoka toleo jipya za zamani wanaacha kutoa
Huo ukarabati wanafanya hukohuko au hapa kwa wajanjawajanja bongo
 
Ila mkuu hakuna ubaya wa kununua refub phone mradi tu wakuuzie kwa bei ya refub sio uuziwe refub kwa bei ya brand new..

Il waizaj wanadanganya wanasema mpya
Dah hapo noma Sasa wanaojua Hilo Ni 2 Kati ya kumi..maana mtu anakurupuka Hana uzoefu mwisho wa siku anaanza kuugulia maumivu.

Anyway ndo biashara ukiritimba
 
Huo ukarabati wanafanya hukohuko au hapa kwa wajanjawajanja bongo
Nying huko huko kwa wenyewe ila hata hapa ukizubaa utauziwa hii simu yangu ninayotumia sa hvi ikiwa kwny boksi sealed...

Kama unataka uhakika wa simu hapa bongo ununue kwa authorised dealers japokuwa bei zao zinakua kubwa...
 
Tundu la kuwekea earphone. Nyingi zina earphone yenye plug kama usb ya apple na baadhi ya iphone za kisasa hasa zenye usb type c zinatumia wireless earphone tuu, hawana earphone za kuchomeka.View attachment 1531764
πŸ€”πŸ€” Point imezungumzia kwamba i phone haina tundu la ear phone. Hicho kifaa ukikisaha kwenu huwezi kutumia earphone,.,.Huku android unanunua earphonr zako unapachika bila vifaa vya ziada.
 
yeye anayo ambayo ina tundu la ear phone, i phone zenye matundu ya earphone zilishaacha kutengenezwa kitambo sana. Yawezekana mwenzetu anatumia i phone 5 ya mwaka 2014 [emoji16][emoji16][emoji16] wenzake wanaingia i phone 12 hivi karibuni.

Mtu unaanzaje kuhangaika na miwaya waya mgongoni kwenye shingo[emoji28]. Earphone jack ni kitu kimepitwa na wakati kuna wireless airpods. Acha washamba wabaki na wanazunguka na miwawaya kwenye masimu yao ya kishamba.
 
Back
Top Bottom