iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Mkuu kuna airpods tayari zinazotengenezwa na apple kwajili ya simu zake

ni laki 2 tu

Tumeoma unamiliki dstv mkuu 😁😁

Agiza airpods ni laki 2 tu, nilishaonya pointu ya kwanza hizi simu inabidi uwe vizuri kiuchumu, Au ndo unafosi mkuu 😁😁
Pia kuna wireless earphones za samsung nazo bei ghali kupanga ni kuchagua siyo lazima ukinunua iphone ununue na hizo airpods unawez
Zipo kkoo mkuu aggrey kuna duka moja tu wanazo
nitaweatembelea asante
 
Android naweza kuchaji simu na kutumia earphone kwa mpigo bila madubu wassha ya ziada, adapter zilishapitwa na wakati.

huku i phone huwezi kutumia earphone bila adapter maana kuna tundu moja tu

mfano hii adapter ya earphone kwa iphone huwezi kutumia ear phone na kuchaji simu kwa wakati moja.

View attachment 1531927

kuepukana na kero hii pamoja na kuhiyaji vifaa vya ziada karibu android
Ulianza kwa kusema hazina tundu la earphone ukajibiwa kuwa lipo... Sasa umehama kwamba hauwezi kutumia bila adapter,,Mara huwezi kutumia huku una charge,

Kwa ujumla ni kwamba hauna uelewa kuhusu iphone
ukinunua iPhone yoyote kuanzia 7 na kuendelea unakuta earphone za moja kwa moja bila Adapter...
Na pia unakuta wamekuwekea adapter pia ili kama una earphone zako za zamani pia usishindwe kuzitumia...ila earphone za moja kwa moja kutoka kwenye simu mpaka masikioni bila adapter utazikuta ndani ya box lako la iphone mpya

Kuhusu kutumia simu ukiwa unachaji huku una earphone masikioni nenda ka google mwenyewe uone madhara ya simu ikiwa inachajiwa huku unatumia uwezekano wa kupata saratani in Mara 10 zaidi ya kutumia kwa kawaida na kama una akili nzuri huwezi kufanya huo ujinga

Kijana hauna kazi mpaka utumie simu huku unachaji? Tena muda huo huo una earphone masikioni?
 
Ulianza kwa kusema hazina tundu la earphone ukajibiwa kuwa lipo... Sasa umehama kwamba hauwezi kutumia bila adapter,,Mara huwezi kutumia huku una charge,

Kwa ujumla ni kwamba hauna uelewa kuhusu iphone
ukinunua iPhone yoyote kuanzia 7 na kuendelea unakuta earphone za moja kwa moja bila Adapter...
Na pia unakuta wamekuwekea adapter pia ili kama una earphone zako za zamani pia usishindwe kuzitumia...ila earphone za moja kwa moja kutoka kwenye simu mpaka masikioni bila adapter utazikuta ndani ya box lako la iphone mpya

Kuhusu kutumia simu ukiwa unachaji huku una earphone masikioni nenda ka google mwenyewe uone madhara ya simu ikiwa inachajiwa huku unatumia uwezekano wa kupata saratani in Mara 10 zaidi ya kutumia kwa kawaida na kama una akili nzuri huwezi kufanya huo ujinga

Kijana hauna kazi mpaka utumie simu huku unachaji? Tena muda huo huo una earphone masikioni?
pointi ilikuwa ni je wana tundu la earphones zilizozoeleka za pini???

wengine tunatumiaga tu earphones ambazo ni top dunia nzima, unanunua unachomeka fasta.

kwenye list hii earphones ni za pini, nikinunua napachika fasta kwenye simu, hakuna haja ya vifaa vya ziada

1596967564296.png
 
Hizo refub iPhone za makumbusho zina tatizo gani..?sijakumanya hapo chief ?
Manake simu imetengenezwa ikawa na shida kidogo ikarudishwa kiwandani.

Au simu imetumika ikarudishwa dukani. Ndo mnakuja uziwa hizo simu.

Nyingine hata battery life zinakuwa zimeisha nguvu.
 
[emoji848][emoji848] Point imezungumzia kwamba i phone haina tundu la ear phone. Hicho kifaa ukikisaha kwenu huwezi kutumia earphone,.,.Huku android unanunua earphonr zako unapachika bila vifaa vya ziada.
Dunia ya leo unaning'iniza mawaya masikioni?

Kuna bluetooth earbuds.
 
Mtumiaji wa apple yupo kwenye gereza (jail) vitu vya kawaida kabisa ambavyo huku android unaweza kuvufanya ukinunua simu huko i phone haiwezekani kwasababu ni jela.

Sasa huko iphone vitu kama kuweka default app, kuweka app ambazo hazijasainiwa na apple, kubadili mwandiko na customizations nyingi inabidi ufanyr jail break, yani kuifanya simu iwe huru kama android ambayo ipo huru tangu ubapoinunua..

Kwa kifupi huku android hatuna jela, unatumia simu unavyotaka.

Na kuhusu rooting ya android inakufanya uchukue control ya sytem nzima unaweza kubadili kabisa hata operating system ukatia yako, Apple jailbreak yake inakutoa tu nje ya jela simu iweze kuwa huru kama android ila sio kufika hadi kwenye mzizi wa system.

Karibu dunia ya uhuru, naona saizi unatamba unaweza hata ku customize [emoji16][emoji16][emoji16] Huku android hata mtoto ana customize bila kuweka ma cydia hayo
Kumbe jailbreak ni kubadili mwandiko? Only std 7 kids will do this.
 
Android wenyewe wanatoa earphones jack sikuhizi, angalia high end za huawei na Samsung za mwaka huu zina hole ya type c tuu
 
Unaendelea kukubali tu taratibu
Sasa unasema earphone zilizozoeleka Mara iwe inachomekwa faster

Sasa earphone za pini za kazi gani na wakati ukinunua simu mpya unakuta earphone zake Original ndani?
pointi ilikuwa ni je wana tundu la earphones zilizozoeleka za pini???

wengine tunatumiaga tu earphones ambazo ni top dunia nzima, unanunua unachomeka fasta.

View attachment 1531997
 
Tatizo wewe ni mshamba wa android, kuna app kama adguard zinatoa matangazo, hayo matangazo siyaonagi sana ila wenzangu wanaocheki x yanawasumbua kama hawana adblock [emoji16][emoji16]
Kutoa matangazo kumbe hadi app??

Nilijua ni operating system inaondoa matangazo naturally?

Mmeliwa.
 
Android naweza kuchaji simu na kutumia earphone kwa mpigo bila madubu wassha ya ziada, adapter zilishapitwa na wakati.

huku i phone huwezi kutumia earphone bila adapter maana kuna tundu moja tu

mfano hii adapter ya earphone kwa iphone huwezi kutumia ear phone na kuchaji simu kwa wakati moja.

View attachment 1531927

kuepukana na kero hii pamoja na kuhiyaji vifaa vya ziada karibu android
Iphone ijayo itakosa hata tundu la kuchaji.

Itakuwa na wireless charging.
 
Android wenyewe wanatoa earphones jack sikuhizi, angalia high end za huawei na Samsung za mwaka huu zina hole ya type c tuu
Hao wameshazoea low end android phones.
 
Zipo kkoo mkuu aggrey kuna duka moja tu wanazo
Idea yako kwenye mchango wako hapo juu ni nzuri kila kampuni ambayo ni kubwa ingekua na os yake ingekua nzuri sana binafsi mie nakikumbuka kipindi, cha blackbery naos yake window , Android na ios ilikua poa sana by the way siku nikiwa na hela nitanunua tu iPhone kwa sasa nachokikwepa ni kununua v refurb hivi kiongozi, bajeti yangu now ni usd 250 kushuka chini ndio nachokiweza.
 
Nikaribie wapi? Mimi namiliki samsung na apple hakuna kitu kinaboa kama iyo mitangazo ya pop ups kwenye android yaani matakataka kibao. Alafu kazi ya ku reset android kila mara inapoanza kuwa slow ni upuuzi unaonichosha. Yaani android ni kama shamba la bibi matakataka kibao. Iphone huwezi kuona imekuwa slow kisa virus. Kitu ukigusa kinafunguka apo apo siyo kama android mara lime stuck kila kitu kimekwama. Na hapa natumia simu ina ram gb6 sema ma android inashambuliwa na matalataka mengi sana kwa vile ni open source.
una android ya mwaka gani kwanza inayopungua speed kizembe namna hiyo!!!!

halafu popups unatumia apps za bure eh.
 
Idea yako kwenye mchango wako hapo juu ni nzuri kila kampuni ambayo ni kubwa ingekua na os yake ingekua nzuri sana binafsi mie nakikumbuka kipindi, cha blackbery naos yake window , Android na ios ilikua poa sana by the way siku nikiwa na hela nitanunua tu iPhone kwa sasa nachokikwepa ni kununua v refurb hivi kiongozi, bajeti yangu now ni usd 250 kushuka chini ndio nachokiweza.
[emoji38] [emoji38] sasa kwa apple istore unaondoa na iphone 5s tena gb 16 hapo,hiyo ndio utaambulia kwa bei hiyo, ilitoka kwa tim cook.
 
Back
Top Bottom