[emoji38] [emoji38] nao wakajua watu tunashoboka na ujinga wa apple.acha uongo ni chache swali samsung s20 haina earphon jack acha kupotosha samsang walifanya majalibio hio kitu wakaona wanakosa soko wakaachana nayo hayo mambo mfyuuuuuuu
#USITUDANGANYE DANGANYA WASIO JUA
Sent using Jamii Forums mobile app
Idea yako kwenye mchango wako hapo juu ni nzuri kila kampuni ambayo ni kubwa ingekua na os yake ingekua nzuri sana binafsi mie nakikumbuka kipindi, cha blackbery naos yake window , Android na ios ilikua poa sana by the way siku nikiwa na hela nitanunua tu iPhone kwa sasa nachokikwepa ni kununua v refurb hivi kiongozi, bajeti yangu now ni usd 250 kushuka chini ndio nachokiweza.
umoja ni nguvuYeah ni kweli enzi zile za blackberry, sony ericson, windows mobile, ukinunua simu kila moja inakua na vitu vyake unique kuanza muonekano wa nje hadi mpangilio wa ndani ya system. Hadi apple wanakuja mambo yalikua mazuri hadi samsung walipoamua kuiga iphone wakaanza kupromote ma android ndo kila mnyonge anayekuja kushindana na iphone akawa anatumia android. Hii imewadumaza sana hawa samsung sasa hv kila simu ya ndroid ziko sawa tu kwa mpangilio wa ndani ya system tofauti ni ma housing tu.
kiasi imetusaidia sana sisi team google.Yeah ni kweli enzi zile za blackberry, sony ericson, windows mobile, ukinunua simu kila moja inakua na vitu vyake unique kuanza muonekano wa nje hadi mpangilio wa ndani ya system. Hadi apple wanakuja mambo yalikua mazuri hadi samsung walipoamua kuiga iphone wakaanza kupromote ma android ndo kila mnyonge anayekuja kushindana na iphone akawa anatumia android. Hii imewadumaza sana hawa samsung sasa hv kila simu ya ndroid ziko sawa tu kwa mpangilio wa ndani ya system tofauti ni ma housing tu.
umoja ni nguvu
makampuni yanavyotumia android hapo nguvu zinaungana na wateja tunafaidika sana.
moja akianza kutulimit sehemu flani wateja tunahamia kwengine.
Huko iphone hakunaga hii, apple akiamua hakuna kitu flani ndio imetoka hio.
kiasi imetusaidia sana sisi team google.
uwanja unakuwa mpana wa matumizi. hata aple huko mbeleni anaweza aut source os yake kwa makampuni mengine ili kubairi radha kidogo na kuongeza ushindani.
Sahihi, pia wanakuwa na viwango vinavyoingiliana.umoja ni nguvu
makampuni yanavyotumia android hapo nguvu zinaungana na wateja tunafaidika sana.
moja akianza kutulimit sehemu flani wateja tunahamia kwengine.
Huko iphone hakunaga hii, apple akiamua hakuna kitu flani ndio imetoka hio.
Uwe unasoma nakuelewa basi, Nilisema huku android kampuni nyingi za simu kuanzia flagship hadi za chini zinatumia os ya android kutengeneza simu zao na hii inaleta ushindani kwamba moja akiringa kutunyima kitu flani basi wateja tunahama, mfano samsung akibana tundu la earphone tunaweza kwenda kwa sony, nokia, huawei, motorola, n.k. Huko ios ni apple tu anaetengeneza simu, Mkibanwa kitu flani inabidi mufyate tu mkia hakuna namna, mfano laini 2 apple kaanza kuweka majuzi tu hapo, kabla ya hapo ailimlazimu mmiliki wa i phone kuwa na simu ya ziada.Ndiyo imetoka hio kivipi? We unafikiri mtu ana iphone 11 hana simu nyingine? Watu wengi wa iphone wana miliki simu nyingine za android kwa mambo ya kipuuzi na iphone kwa status na business meetings. Tatizo watu wa android unakuta kajibana sana kanunua ki tecno chake cha laki na nusu ndo kupata simu nyingine ni mtihani.
Uwe unasoma nakuelewa basi, Nilisema huku android kampuni nyingi za simu kuanzia flagship hadi za chini zinatumia os ya android kutengeneza simu zao na hii inaleta ushindani kwamba moja akiringa kutunyima kitu flani basi wateja tunahama, mfano samsung akibana tundu la earphone tunaweza kwenda kwa sony, nokia, huawei, motorola, n.k. Huko ios ni apple tu anaetengeneza simu, Mkibanwa kitu flani inabidi mufyate tu mkia hakuna namna, mfano laini 2 apple kaanza kuweka majuzi tu hapo, kabla ya hapo ailimlazimu mmiliki wa i phone kuwa na simu ya ziada.
Mkuu unavyosema ki Tecno utadhani una hela wakati ulianzisha threas humu kulalamika umeombwa buku ya luku na nyingine eti ukipata hela utawakomoa maninti [emoji16][emoji16].
Tafuta pesa mkuu hizo simu za i Phone zimekaa kwa status zaidi kuliko feautures, Ni kama pamba za Gucci kule hata pochi milioni 10 zipo na watu wananunua kwasababu Gucci imekaa kwa status ya kitajiri flani ivi.
Nachokushauri nunua hicho ki Tecno ulichosema uza iPhone maana tabia ya kutuanzishia nyuzi humu za kulalamika kuombwa buku ni vibaya.
Ulikuja kwa kasi sasa hapa utatulia, Hapa ntakupakata kabisa na ukiendelea kutikisika utaukalia 😁😁.[emoji3][emoji3] bwege wewe sasa nyuzi zangu za buku zinakuhusu nini? Mimi wakishua sema nakutana na vibwengo balaa hadi naanzisha uzi. Yaani unanijua jina wakati mimi hata sijui nachati na nani[emoji23]
Mashine naikubali sana hiowadau simu ni Google pixel .. ninachofanya nahamisha daraja tu November navuta pixel 4
Ulikuja kwa kasi sasa hapa utatulia, Hapa ntakupakata kabisa na ukiendelea kutikisika utaukalia [emoji16][emoji16].
Wewe ni mfano dhahiri kabisa wa watu wanaolazimisha kuwa na iPhone ili waonekane wana pesa, Mkuu acha kuishi maisha ya maigizo ishi real life.
Mwenyewe hapa wife alitaka nimnunulie iPhone flani milioni 3 nikamwambia achague iPhone au watoto wahame shule private ya english medium, tuache kulipia school bus, n.k waende kusoma shule za serikali kwa mwaka moja [emoji16][emoji16].
Wengine walalahoi tulishajijua hivi si vitu vyetu maana tukilazimisha basi hata watoto watahangaika
blo Tafuta pesa wewe, Achana na iphones sio level yakoOyaa hii post futa kama vipi, unamdhalilisha wife wako apa. Kama mlalahoi usilete uzi ukijua kuna mabloo hapa tuna iphone 11 tunalipia watoto wetu izo private school na wife zetu wanazo izo iphone za million 3. Bro?
blo Tafuta pesa wewe, Achana na iphones sio level yako
takataka zako ulizoleta humu hizi hapa
View attachment 1532458
View attachment 1532455
View attachment 1532456View attachment 1532457
View attachment 1532459View attachment 1532460View attachment 1532467