iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Iooo namba 13 nielekeze mkuuu

Ni kama facebook vile, wote tunatumia facebook ila kila moja ana username yake na password.

Sasa hii uzuri wake ni kwamba unaweza kumwazima mtu simu yako aitumie hata siku nzima bila yeye kuchokonoa kitu chochote kwenye user unayotumia, Hata kwa watoto pia unaweza kumwazima alale nayo kabisa bila wewe kuhofia kwamba atavuruga chochote
 
Usilazimishe kukaa na simu kwa miaka mitano, hizi ni simu zinazovutia ukiwa angalau na i phone toleo la miaka angalau miwili iliyopita.

I phone wameacha kuweka matundu ya head phones tangu mwaka 2015.

Kama una tundu la earphone basi simu yako ni ya zamani sana itakuwa hata ya mwaka 2014, hio itakuwa mjanja kakuuzia alipata mnyonge wa kumuuzia kwa bei chee yeye kajiongeza kununua matoleo mapya

Wenzako wanaingia toleo la 12 saizi, Tafuta milioni 2 uchukue hata iphone 11 maana huku kwenye i phone hakunaga mbadala.😁😁😁
kwahiyo unanifokea nakapenda kaiphone kangu hivhiv😂😂😂kina matundu matatu
 
Kule jukwaa la siasa naonaga wakikomenti hivi

"Tulia dawa ikuingie"😂
 
1. Hutaweza kusikiliza radio bila bando
Radio kwenye smartphone mambo ya kale.

3. Hakuna tundu la kuingiza earphone, hapa hadi ununue vifaa vya ziada, huku android ukinunua ear phonr unaitumia hapo hapo
Zungumzia akina Tecno. walishikilia mpini wa Android ndipo wanapoelekea uko. Wireless earphones. Na hili nalo unalalamika mambo ya kale 😀

3. Andaa laini moja tu, kuna matoleo machache sana yenye laini 2.
Mchina ndio kawazoesha kutumia laini 600 kwa simu moja. Hii sio feature ya android. Ilikuwepo kabla ya android kwenye miche ya sabuni za wachina ilokosa majina enzi izo.

4. Kudownload nyimbo hata humu jamiifroums ama mtandaoni ni ishu nzito
Hujui tu kudownload nyimbo kwa kutumia iphone. wenye kuijua iphone hilo ni jambo jepesi kwa kweli.

5. Kuhamisha vitu kutoka kwenye simu kwenda kwenye pc ni shughuli pevu
Vitu gani ivo? Kikubwa unahamisha picha na video. Na vyote rahisi sana, copy paste tu. Muhimu uwe na itunes software kwa ajili ya kudetect iphone.

7. Non restricted access ipo kwa android kwa sababu unaweza ku root ukafanya vingi vya ziada, Kwa iphone hapa ni mtihani inabidi uwe mvumilivu.
Ipo kwa iphone, inaitwa Jailbreak.

8. Kwenye android unaweza kutumia simu kama remote kwa vifaa kama samsung, lg ,n.k....huko kwa apple so rahisi labda kwa tv zao za apple tv
Ushamba tu. Remote ya TV nnayo tena nitumie simu niimalize chaji ya nini? Sio sifa ya kumshawishi mtu kutumia apple wala android kabisa!

10. Kwenye i phone ku customize vitu kuna vikwazo, mfano ringtone utachagua tu wanazotaka wao iphone na inakuwa sekunde 30 tu, huku android ringtone uutaweka hata ya kingwendu ni wewe
Mambo ya zamani haya kuweka ringtone miziki sijui mtoto anacheka. Lakini hata ivo, ukijailbreak tu, unaweza kufanya ivo.

11. kitaa cha notification hakipo kwenye iphone, mfani message ikiingia kama simu ipo silent huku android kataa kanawaka.
Hii nalo ni muhimu la kusifiwa? ukiamka asubuhi bila kutizama kama kuna kitaa kwenye android yako unakamata simu kutizama kuna nini. Huhitaji taa ya notification, automatic tu wewe mwenyewe tayari technology imeshakufanya uwe unacheki simu yako mara kwa mara.

12. hutaweza kuseti default app, utaweza kudownload app mbadala ya kufungua mafaili lakini hutaweza kuiseti iwe ya moja kwa moja, kika ukifungua faili litafunguliwa na app ya mwanzoni
hapa bado sijashawishika, As long as other options are available.

13. huku andoid kuna feauture ya multiple user account, naweza nikatengeneza user yangu na usr ya mtoto, mtoto akiomba simu naweka user yake hataona chochote cha kwenye acxount yangu zaidi ya ishu zake kama games na cartoon, huko i phone inabidi mtoto asimamiwe anapotumia sim asije kwenda kwenye vitu vyako vya kiutu uzima
Hii hakuna kweli katika iphone. Your phone is your personal device. Unaficha nini kwa mtoto mdogo asieelewa kitu zaidi ya kutizama katuni 😀
Na kwa android, wala huhitaji kuwa na 2 users kuficha mambo yako. nafikiri kuna apps unaweka password tu kwa kila app. iphone lengo lake iwe yako tu, sio kushare share.

14. Huwezi kufanya vitu vingi kwa mpigo (multi tasking )kwenye iphone, Huku android unaweza ukawa unaandika post huku jamii forums ukarudi kwenye kubadili muziki na ukarudi jamiiforums bila kuanza upya
Hapa labda uzungumzia multi tasking ya ku run apps simultaneous, sio ivo ulivosema. Mana unaweza kuandika post ukaruka kuchange music na ukirudi basi unaendelea pale pale.

In short mambo yote uliyoyataja hapo hayana umuhimu
 
Radio kwenye smartphone mambo ya kale.


Zungumzia akina Tecno. walishikilia mpini wa Android ndipo wanapoelekea uko. Wireless earphones. Na hili nalo unalalamika mambo ya kale 😀


Mchina ndio kawazoesha kutumia laini 600 kwa simu moja. Hii sio feature ya android. Ilikuwepo kabla ya android kwenye miche ya sabuni za wachina ilokosa majina enzi izo.


Hujui tu kudownload nyimbo kwa kutumia iphone. wenye kuijua iphone hilo ni jambo jepesi kwa kweli.


Vitu gani ivo? Kikubwa unahamisha picha na video. Na vyote rahisi sana, copy paste tu. Muhimu uwe na itunes software kwa ajili ya kudetect iphone.


Ipo kwa iphone, inaitwa Jailbreak.


Ushamba tu. Remote ya TV nnayo tena nitumie simu niimalize chaji ya nini? Sio sifa ya kumshawishi mtu kutumia apple wala android kabisa!


Mambo ya zamani haya kuweka ringtone miziki sijui mtoto anacheka. Lakini hata ivo, ukijailbreak tu, unaweza kufanya ivo.


Hii nalo ni muhimu la kusifiwa? ukiamka asubuhi bila kutizama kama kuna kitaa kwenye android yako unakamata simu kutizama kuna nini. Huhitaji taa ya notification, automatic tu wewe mwenyewe tayari technology imeshakufanya uwe unacheki simu yako mara kwa mara.


hapa bado sijashawishika, As long as other options are available.


Hii hakuna kweli katika iphone. Your phone is your personal device. Unaficha nini kwa mtoto mdogo asieelewa kitu zaidi ya kutizama katuni 😀
Na kwa android, wala huhitaji kuwa na 2 users kuficha mambo yako. nafikiri kuna apps unaweka password tu kwa kila app. iphone lengo lake iwe yako tu, sio kushare share.


Hapa labda uzungumzia multi tasking ya ku run apps simultaneous, sio ivo ulivosema. Mana unaweza kuandika post ukaruka kuchange music na ukirudi basi unaendelea pale pale.

In short mambo yote uliyoyataja hapo hayana umuhimu
Povu la omo hili 😁😁

Umekuja kutetea iphone wakati hata huna, Au ili tu uonekane una uchungu nayo watu wajue unayo😁😁

Wenye i phone wamekaa kimya.
 
Povu la omo hili 😁😁

Umekuja kutetea iphone wakati hata huna, Au ili tu uonekane una uchungu nayo watu wajue unayo😁😁

Wenye i phone wamekaa kimya.

Nimesoma hata sijamaliza, hivi nani kakwambia i phone imevunjwa (jail break), Nunua i phone kwanza ndio uwe unakuja kuleta valid data humu.

Till next time, bye
kumbe kusoma hujamaliza halafu unakimbilia kusema mtu katoa omo 😀

Namiliki simu gani basi?

By the way unajua Jailbreak lakini? maana kwa post yako ulichoandika, inaonekana hujui kitu kuhusu iphone.
 
Instagram kwenye ANDROID ina GB 23 au zaid kidogo. Ila kwenye mnyama IOS ina GB 99.

I love you my-
One plus 8 T pro
 
Mimi shazoea wereva yangu na Samsung hata Kama na hela ya iPhone
 
1. Hutaweza kusikiliza radio bila bando

3. Hakuna tundu la kuingiza earphone, hapa hadi ununue vifaa vya ziada, huku android ukinunua ear phonr unaitumia hapo hapo

3. Andaa laini moja tu, kuna matoleo machache sana yenye laini 2.

4. Kudownload nyimbo hata humu jamiifroums ama mtandaoni ni ishu nzito

5. Kuhamisha vitu kutoka kwenye simu kwenda kwenye pc ni shughuli pevu.

6. Apps kibao zipo android kuliko iphone

7. Non restricted access ipo kwa android kwa sababu unaweza ku root ukafanya vingi vya ziada, Kwa iphone hapa umebanwa hutaweza kabisa

8. Kwenye android unaweza kutumia simu kama remote kwa vifaa kama samsung, lg ,n.k....huko kwa apple so rahisi labda kwa tv zao za apple tv

9. Android utaweza kuback up vitu vyako kwenye memory card na pia unaweza kubadili battery kwa wepesi bila hata kwenda kwa fundi, lwa iphone hizi feautures sahau.

10. Kwenye i phone ku customize vitu kuna vikwazo, mfano ringtone utachagua tu wanazotaka wao iphone na inakuwa sekunde 30 tu, huku android ringtone uutaweka hata ya kingwendu ni wewe

11. kitaa cha notification hakipo kwenye iphone, mfani message ikiingia kama simu ipo silent huku android kataa kanawaka.

12. hutaweza kuseti default app, utaweza kudownload app mbadala ya kufungua mafaili lakini hutaweza kuiseti iwe ya moja kwa moja, kika ukifungua faili litafunguliwa na app ya mwanzoni

13. huku andoid kuna feauture ya multiple user account, naweza nikatengeneza user yangu na usr ya mtoto, mtoto akiomba simu naweka user yake hataona chochote cha kwenye acxount yangu zaidi ya ishu zake kama games na cartoon, huko i phone inabidi mtoto asimamiwe anapotumia sim asije kwenda kwenye vitu vyako vya kiutu uzima

14. Huwezi kufanya vitu vingi kwa mpigo (multi tasking )kwenye iphone, Huku android unaweza ukawa unaandika post huku jamii forums ukarudi kwenye kubadili muziki na ukarudi jamiiforums bila kuanza upya
Misaada hiyo namba 13
Natumia Redmi note 8
 
Pamoja na mapungufu yote hayo zinashindana na android phones zote combined
 
Back
Top Bottom