Ipi bora kati iPhone na Android? Toa sababu zenye nguvu

Ipi bora kati iPhone na Android? Toa sababu zenye nguvu

Iphone vitu vyake ni durable, tena ukiwa mtunzaji utazichoka wewe, Samsung pia akaja na vitu imara pia, so kwa sasa ngoma ni droo kiaina. Ila yote ya yote, Samsung na android yake ni nzuri zaidi kuliko Iphone.
Yes ndio maana sijakosoa ubora wa iPhone, concern yangu ipo kwenye Bei zake...
 
M

MKuu iphone nimewahi kutumia
Iphone kubwa ambayo nimewahi kutumia ni iphone 13 pro max
Kiukweli iphone ni takataka
Unajua mkuu mashabiki wengi wa Iphone wanaona sisi tunaosema iphone ni overrated ni kama hatujawahi kuzitumia hizo iphone.
 
Tena mwenye iPhone 15 Pro Max haingii katika Screen yoyote ya Amoled.. picha moja ukiangalia kote ya iPhone inaonekana imefubaa
unajua watu ni mashabiki maandazi wanabisha bila ufahamu na uzoefu

📌wakati iphone inatumia OLED display android inatumia OLED ambayo iko advanced na kuitwa AMOLED ambayo hiyo amoled imekua advanced hadi kufikia SUPER AMOLED
📌Ambayo ikawa more advanced tena na kuitwa DYNAMIC AMOLED
ila watu wa iphone hawafahamu hilo
 
Iphone users wanataka kujiona wapo top kuliko android bila sababu za kimantic mkuu
Mfano mdogo, lini umewahi kuona wameanzisha uzi humu? Mara zote si uwa android ndiyo wanaanzisha?

Uwa mnatafuta nini? Kwanini kila mtu asitulie na vile aliamua pesa yake inunue nini?

Ukinunua gari, utaangalia tu fuel consuption? Au utaangalia na barabara za unakoishi?
 
Mfano mdogo, lini umewahi kuona wameanzisha uzi humu? Mara zote si uwa android ndiyo wanaanzisha?

Uwa mnatafuta nini? Kwanini kila mtu asitulie na vile aliamua pesa yake inunue nini?

Ukinunua gari, utaangalia tu fuel consuption? Au utaangalia na barabara za unakoishi?
Mtoa uzi hajasema yeye ni android user au iphone(ios) user yeye yupo kwenye kuangalia ubora wa operating system na simu kwa ujumla

#IPHONE VS ANDROD
POINT ZIENDELEE💥
 
NB: Ukichangia Toa Sababu Strong usiende na Upepeo lengo ni kujua kwanini tunatumia Simu zetu na kipi cha kujifunza ambacho hukijui

Android ni Program endeshi(OS) inayotumika kwenye Brand nyingi za simu kama Samsung, Xiami, Infinix, Tecno, Redmi n.k
Hii OS ya android inawapa watumiaji customisation, flexibility, and affordability.

Watumiaji wengi wa iPhone hununua ili waonekane kuwa wameweza nunua, wanaweza Afford na kwaajili ya Show Off. lakini Pia iOS inasifika kwa Security Features na Muonekano mzuri.
Lakini watumiaji wake wengi hawajui kwanini wanatumia zaidi ya show off

Nikiwa Mchangiaji wa Kwanza na Nikianza kuchangia Kuhusu Andoid
-Customisation
Android inakubali kupokea Launcher nyingi kama Galax(samsung), HiOS(Infinix,Tecno), XSL(Xiami) na hizi Launcher zinampa mtumiaji uhuru wa kubadili muonekano na mpangilio wa Screen yake vile anavyotaka

-Security
Andoid 14+ zina New Security Features ambazo zina ngumu zaidi kuliko iPhone, Kama Kuzuia app kukusanya Data zako Binafsi na za Kifaa chako, Kuficha vitu vyenye usiri ili mtu asiweze kuvifikia, Mwizi akiiba simu yako kwa hii New Feature hatoweza kuizima SImu yako hata kwa kuilazimisha vipi na Hatowekza KuiFlash na hata wala Kubadili IMEI number na ikatokea akailazimisha basi hatoweza itumia bila kupata security Code yako

-Mambo mengi
Kama inavyojulikana kuwa simu yenye Camera Nzuri duniani ni Android ambayo ni Samsung S24 Ultra, ya pili ni S23 Ultra, na ya tatu ni iPhone 15 Pro Max. mambo mengi mengi kama Files Management/

Andoid inampangilio mzuri wa Filesm na document Tofauti na iOS haina Fila manager nzuri.
Mawazo yako ni ya ki-bongo bongo. Inferiority complex imekutawala na kila ukimuona mwenye Iphone unadhani anakuringia wewe. Majuu Iphone zipo nyingi na hata ukiwa na Iphone huonekani kama ni special au unafanya show off.
 
K
Read btn lines za comments… baki na jibu, then bye!
KWa kuongezea pia hata android user wapo wa show off kama vile sime inatembea na power bank ongezea kwenye line

💥Sisi wengine tunatumia window phone
 
NB: Ukichangia Toa Sababu Strong usiende na Upepeo lengo ni kujua kwanini tunatumia Simu zetu na kipi cha kujifunza ambacho hukijui

Android ni Program endeshi(OS) inayotumika kwenye Brand nyingi za simu kama Samsung, Xiami, Infinix, Tecno, Redmi n.k
Hii OS ya android inawapa watumiaji customisation, flexibility, and affordability.

Watumiaji wengi wa iPhone hununua ili waonekane kuwa wameweza nunua, wanaweza Afford na kwaajili ya Show Off. lakini Pia iOS inasifika kwa Security Features na Muonekano mzuri.
Lakini watumiaji wake wengi hawajui kwanini wanatumia zaidi ya show off

Nikiwa Mchangiaji wa Kwanza na Nikianza kuchangia Kuhusu Andoid
-Customisation
Android inakubali kupokea Launcher nyingi kama Galax(samsung), HiOS(Infinix,Tecno), XSL(Xiami) na hizi Launcher zinampa mtumiaji uhuru wa kubadili muonekano na mpangilio wa Screen yake vile anavyotaka

-Security
Andoid 14+ zina New Security Features ambazo zina ngumu zaidi kuliko iPhone, Kama Kuzuia app kukusanya Data zako Binafsi na za Kifaa chako, Kuficha vitu vyenye usiri ili mtu asiweze kuvifikia, Mwizi akiiba simu yako kwa hii New Feature hatoweza kuizima SImu yako hata kwa kuilazimisha vipi na Hatowekza KuiFlash na hata wala Kubadili IMEI number na ikatokea akailazimisha basi hatoweza itumia bila kupata security Code yako

-Mambo mengi
Kama inavyojulikana kuwa simu yenye Camera Nzuri duniani ni Android ambayo ni Samsung S24 Ultra, ya pili ni S23 Ultra, na ya tatu ni iPhone 15 Pro Max. mambo mengi mengi kama Files Management/

Andoid inampangilio mzuri wa Filesm na document Tofauti na iOS haina Fila manager nzuri.
Halafu vitu vingine ni kama umechapia. Mwizi kuzima simu inahitaji nini? PIN number? Kama ni hivyo huoni kuwa italeta conflict na forced reboot ambayo ni feature muhimu sana kwenye simu za android?
 
Mawazo yako ni ya ki-bongo bongo. Inferiority complex imekutawala na kila ukimuona mwenye Iphone unadhani anakuringia wewe. Majuu Iphone zipo nyingi na hata ukiwa na Iphone huonekani kama ni special au unafanya show off.
Mimi naweza Kusema iPhone ni simu nzuri ya Pride, laiin tukizingatia Ubora iPhone haitoboi, zinaongoza kwa Kuungua Display. charge yake kupungua ubora na kuanza kuisha haraka ndan ya muda wa miez kadhaa baada ya kuanza kuitumia japo ni nzuri haistqck, ila inaachwa Gape kubwa kwenye Ubora mana simu bora dunia iPhone inaingia namba 3 cjui 4, tena iPhone 15 Pro Max pekee
 
Back
Top Bottom