Adrophin Anselimo
Member
- Oct 23, 2024
- 17
- 5
Kundi kubwa la watanzania wanapenda kuishi kwenye comfort zone, regardless kama kuna pesa au hakuna pesa.Eti je ni sawa kuishi sehemu unayoipenda, na unaAmani kabisa moyoni kama utaishi sehemu hiyo, lakini kiuchumi ni pabovu Sana , na ukisema unatafuta maisha kutoboa ni kazi ngumu?
Kuliko kuishi sehemu usiyo ipenda na huna Amani napo lakini kiuchumi pako vizuri na ukikomaa unatoboa?
ShukuraniUnaweza vumilia kwa muda kukaa sehemu usiyoipenda, ukipiga pesa unaweza wekeza na kuishi unapopapenda. Ikishindikana kuhama basi utakuwa unaenda patembelea.
Nimekuelewa broAmani inakuja vipi bila pesa bro? Utakua unapretend amani ila hiyo amani hauna.
"Fedha ni jawabu la mambo yote" kutoka kitabu cha Mhubiri
Shukrani sananaipenda sana mbeya lakini sina namna nipo mbali na nyumbani
kwajili ya utafutaji
kiufupi siwezi enda ishi sehemu naipenda lakini sina pesa
Ko mwisho kabisa Bora kuishi wapi?Kundi kubwa la watanzania wanapenda kuishi kwenye comfort zone, regardless kama kuna pesa au hakuna pesa.
Ndio maana ukim challenge mtu kwenda nje ya nchi anaanza kukupa orodha ya matakataka yasiyo na tija kiuchumi atakayoyakosa kipindi akiwa nje ya nchi.
Duuh nimekuelewa kakaPesa inaleta amani kwa umbali siyo kabisa ila inasailimia zake , komaa ilipo tu , ukitoka kwa reli kujirejesha itakuwa ngumu
ROle model wangu ni Vasco Da Gama. Mimi si Konokono au Kobe.Ko mwisho kabisa Bora kuishi wapi?
😄 Sema nimekuelewa broROle model wangu ni Vasco Da Gama. Mimi si Konokono au Kobe.
NimekupataBora uishi sehemu usiyoipenda kwa muda ukiweka mambo yako sawa.
💯Pesa itanunua upendo ambao haupo.