Ipi faida ya Mzee Alli Hassan Mwinyi kuwepo Dodoma kama Baba wa Taifa aliyebakia?

Ipi faida ya Mzee Alli Hassan Mwinyi kuwepo Dodoma kama Baba wa Taifa aliyebakia?

Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!

Nani kasema Mh. Mzee Mwinyi ni Baba wa Taifa? Au ndio kuchafuana
 
wana cdm wanajadili mikakati ya ccm.alafu sio kwa bahati mbaya ila ni mipango flani flani imewekwa mpaka unakuta tu wapinzani wanajadili mambo ya ccm.
 
kumbuka kitabu cha mwalimu "UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA".
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
 
Mkuu hujui ya kwamba Mzee Mwinyi alipewa uraisi na Hayati J.K.Nyerere kwa sababu ilikuwa ni rahisi sana kwa Nyerere kumthibiti yaani yeye pale alikuwa kama TV rimoti alikuwa nayo Baba wa Taifa
 
Mkuu hujui ya kwamba Mzee Mwinyi alipewa uraisi na Hayati J.K.Nyerere kwa sababu ilikuwa ni rahisi sana kwa Nyerere kumthibiti yaani yeye pale alikuwa kama TV rimoti alikuwa nayo Baba wa Taifa

Sio kweli. Chaguo la Mwalimu: Salim Ahmed Salim... Mwinyi 'alipindua meza' wakati wa dakika za nyongeza...
 
Mkuu, huyu Mzee ni wa kumsamehe bure tu, kwa kuwa alitamka hivyo kwa kusukumwa na mhemuko uliotokana na mwanaye kuweza kuchaguliwa kuwa mpeperusha bendera wa nafasi ya uraisi kwa upande wa Tanzania Visiwani. Hili lilikuwa ni tamanio lake la muda mrefu, na hivyo kuona kuwa amepewa upendeleo mkuu.

Pia ukweli ni lazima uwekwe wazi, ktk michakato ambao CCM iliweza kutuletea viongozi pasipo kuchukua tahadhari yoyote ile, ilikuwa ni kipindi cha awamu ya kwanza na hatimaye Mzee Mwinyi akaingia madarakani. Na pia katika kipindi cha awamu ya nne na hatimaye Mheshimiwa wa sasa akaingia madarakani.

Lakini jambo moja linanishangaza na kunifanya niweze kutafakari kwa kina zaidi. Majina ya kwanza ya Rais wa awamu ya kwanza lilikuwa ni Julius, awamu ya nne lilikuwa ni Jakaya, na awamu hii ya tano ni John. Japo mimi si mpiga ramli, lakini huu mfanano wa herufi za kwanza za herufi "J" ktk majina yao, zinatupa "general rule" kuwa hawapo makini kusimamia vyema michakato ya kutuletea warithi wazuri wa nafasi za pale wanapostaafu. Kwa pengine hata kwa John tutegemee mambo kama hayo.
Kabisa kabisa Mkuu, huyu wa sasa atakuleteeni Hussein Mwinyi iwapo ATAKUBALIA kuachia madaraka akiona inafaa. Mark my words.
 
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Ruksa! Unless haujamjua bado. Yeye Kila kitu ruksa
 
Mimi naliona tatizo la huyu mzee ni kuzidi kujionyesha kwa mteuzi wa mwanae kuwa mgombea urais wa visiwani.

Hana njia nyingine ya kuwasilisha shukrani zake kwa mamlaka ya uteuzi zaidi ya kufanya hayo anayo yafanya leo.
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
 
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Katiba sio msahafu acha upumbavu
 
Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.
Mkuu unaweza kutuwekea nukuu au sauti yake halisi mahali ambapo amesema(amehimiza) "katiba iende likizo"?
Mbona mara zote amesema inawezekana kubadili katiba.

Nafasi ya kubadili katiba ipo kisheria, katiba inaruhusu utaratibu wa kufanya mabadiliko ya katiba iwe maboresho madogo au kuandika mpya.
Tuache watu watoe maoni yao kama tunavyodai uhuru wa kutoa maoni.

Kwanini mnakuwa madikteta kwa kukataa wengine wasitoe maoni yao?
Suala la msingi hapa iwapo maoni ya wengi yataheshimiwa kikatiba hata kama wewe na mimi hatupendi hayo wanayotaka wengine tofauti na mitizamo au misimamo yetu.

Kwani maoni yake ni maamuzi ya serikali? Acha atoe maoni kisha watu waamue kama yana tija au la.

NB: Mimi sitaki kabisa habari ya kubadili katiba. Naamini litakuwa moja ya makosa makubwa sana kuwahi kufanywa na Mh. Magufuli.
Tukumbuke mtizamo wangu siyo sheria au ndicho kitu sahihi. Naweza kuwa sipo sahihi kabisa.
 
Sio kweli. Chaguo la Mwalimu: Salim Ahmed Salim... Mwinyi 'alipindua meza' wakati wa dakika za nyongeza...
Naomba upitie kidogo hapo ndio utajua namaanisha nini..
 

Attachments

  • DB5C7B0E-87CF-497A-BBB5-0DB160CE7F27.jpeg
    DB5C7B0E-87CF-497A-BBB5-0DB160CE7F27.jpeg
    147.9 KB · Views: 1
Mkuu sasa nani atakuwa ni baba wa taifa?
Mzee RUKHSA si Baba wa Taifa Mkuu huyo ni Baba yake Hussein Mwinyi Rais mtarajiwa wa Zenj. Hana sifa wala hadhi ya kupewa huo wadhifa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom