Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Huyu mzee akishika kipaza sauti mara nyingi huropoka upuuzi ndio maana kuna kipindi alilambwa kofi mbele ya waumini wa dini kiislamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio alikuwa chaguo la nyerere maana Salim A Salim ilikuwa ngumu kwa Nyerere kumpelekeshaAlikuwa chaguo la nani?
Awamu ya sita Kuna J mwengine anapiga jaramba [emoji3][emoji3] nadhani anajulikana na Ni presidential materialMkuu, huyu Mzee ni wa kumsamehe bure tu, kwa kuwa alitamka hivyo kwa kusukumwa na mhemuko uliotokana na mwanaye kuweza kuchaguliwa kuwa mpeperusha bendera wa nafasi ya uraisi kwa upande wa Tanzania Visiwani. Hili lilikuwa ni tamanio lake la muda mrefu, na hivyo kuona kuwa amepewa upendeleo mkuu.
Pia ukweli ni lazima uwekwe wazi, ktk michakato ambao CCM iliweza kutuletea viongozi pasipo kuchukua tahadhari yoyote ile, ilikuwa ni kipindi cha awamu ya kwanza na hatimaye Mzee Mwinyi akaingia madarakani. Na pia katika kipindi cha awamu ya nne na hatimaye Mheshimiwa wa sasa akaingia madarakani.
Lakini jambo moja linanishangaza na kunifanya niweze kutafakari kwa kina zaidi. Majina ya kwanza ya Rais wa awamu ya kwanza lilikuwa ni Julius, awamu ya nne lilikuwa ni Jakaya, na awamu hii ya tano ni John. Japo mimi si mpiga ramli, lakini huu mfanano wa herufi za kwanza za herufi "J" ktk majina yao, zinatupa "general rule" kuwa hawapo makini kusimamia vyema michakato ya kutuletea warithi wazuri wa nafasi za pale wanapostaafu. Kwa pengine hata kwa John tutegemee mambo kama hayo.
Mkuu unaweza kuwekea nukuu au sauti yake halisi mahali ambapo amesema(amehimiza) "katiba iende likizo"?
Mbona mara zote amesema inawekana kubadili katiba.
Nafasi ya kubadili katiba ipo kisheria, katiba inaruhusu utaratibu wa kufanya mabadiliko ya katiba iwe maboresho madogo au kuandika mpya.
Tuache watu watoe maoni yao kama tunavyodai uhuru wa kutoa maoni.
Kanini mnakuwa madikteta kwa kukataa wengine wasitoe maoni yao?
Suala la msingi hapa iwapo maoni ya wengi yataheshiiwa kikatiba hata kama wewe na mimi hatupendi hayo wanayotaka wengine tofauti na mitizamo au misimamo yetu.
Kwani maoni yake ni maamuzi ya serikali? Acha atoe maoni kisha watu waamue kama yana tija au la.
NB: Mimi sitaki kabisa habari ya kubadili katiba. Naamini litakuwa moja ya makosa makubwa sana kuwahi kufanywa na Mh. Magufuli.
Tukumbuke mtizamo wangu siyo sheria au ndicho kitu sahihi. Naweza kuwa sipo sahihi kabisa.
Nani kakwambia kua Hussein ni mtoto wa Mwinyi
Ni mtoto wa Nani hembu tuambieNani kakwambia kua Hussein ni mtoto wa Mwinyi
Issue wala si uzee, issue ni nini kinachotoka katika kinywa cha mtu.Kazeeka sana
Anataka wamalize uongozi pamoja na mwanae maana Hussein anaanza miaka 10 na Magufuli kabakiza Miaka 5.Yaaani mtoto wake kupitishwa na Magufuli kugombea uraisi Zanzibar anaona basi taifa lote tumtunuku magufuli kwa kumzawadia miaka mitano zaidi. This is very stupid kwa kweli.
Hadi wajumbe wa CCM walianza kumshangaa na walikuwa wananong’ona sana. Kama anakata kumshukuru Magufuli kwa kumpitisha mtoto wake kwenda kugombea Zanzibar basi amshukuru peke yake sio Eti kushauri taifa tuvunje katiba.
Kwa mara ya kwanza niliona hadi Magufuli alijishtukia akachomekea mzee amalize kuongea.
Wee chadema "ata" ndo Nini?Alienda ili ajulikane ndiye baba wa HUSSEIN ila hawajawahi ata kupima DNA
Acha unafiki mkuu. Huoni mayai yote ya mzee yaliishia pale ndio maana akapatikana Hussein MwinyiNani kakwambia kua Hussein ni mtoto wa Mwinyi
Amezidi madrasa Ana diploma ya ualimu.hivi ni darasa la ngapi? amezidi madrasa?
Hoja yako haina mashiko.Halafu kweli maana hata hawafanani huyu mmoja black mtoto shombe shombe..
Ndiyo nayaona maana Hussein ni mtoto wa rafiki...usije sema sijui DNA nkAcha unafiki mkuu. Huoni mayai yote ya mzee yaliishia pale ndio maana akapatikana Hussein Mwinyi
Mtoto wa rafiki ila usiseme mambo ya DNA
Mtoto wa rafiki ila usiseme mambo ya DNA
[emoji15][emoji15][emoji15]kumbeMtoto wa rafiki ila usiseme mambo ya DNA