Ipi faida ya Mzee Alli Hassan Mwinyi kuwepo Dodoma kama Baba wa Taifa aliyebakia?

Ipi faida ya Mzee Alli Hassan Mwinyi kuwepo Dodoma kama Baba wa Taifa aliyebakia?

Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Mzee Mwinyi ana umri wa miaka 95. Uliza madaktari wa binadamu wakudadavulie athari za umri kwenye ufahamu, kumbukumbu na uwezo wa kufikiri. Huyu mzee anastahili kuheshimiwa na kuchukuliwa jinsi alivyo kutokana pia na makamo yake.
Huko kwenu hakuna wazee?
 
Bila kuiondoa ccm tutazidi kushuhudia maigizo kila kukicha
Hatuna Baba wa Taifa kwa sasa Mkuu. Mwalimu angekuwa hai angemchana huyo dikteta hadharani bila woga na hao wanafiki wa ccm wangekuwa upande wa Mwalimu.
 
Wacha kutulazimisha kukubali yasiyo stahili
Mzee Mwinyi ana umri wa miaka 95. Uliza madaktari wa binadamu wakudadavulie athari za umri kwenye ufahamu, kumbukumbu na uwezo wa kufikiri. Huyu mzee anastahili kuheshimiwa na kuchukuliwa jinsi alivyo kutokana pia na makamo yake.
Huko kwenu hakuna wazee?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wacha kutulazimisha kukubali yasiyo stahili
Kwa hiyo unapinga kuhusu umri wa Mzee Mwinyi? Unapinga kwamba akili hubadilika na kudhoofu uzeeni? Unapinga kuhusu kusamehe hali hiyo? Unapinga nini hasa?
Kumbuka Mzee Mwinyi hana uamuzi wowote mala madaraka yoyote juu ya katiba, utawala wala serikali. Kajisemea tu katika hali yake ya uzee, na wala hana uwezo wa kusababisha alilosema liwe hivyo. Mwacheni mzee wa watu.
 
Mzee rukhsa mjanja, amesoma upepo unavumaje na yeye kajiongeza. Amenena wanayopenda kusikia wenye mamlaka. Huoni ajabu wanashughulikiwa wanao tetea katiba na na wanaotetea kuvunjwa kwa katiba wanashangiliwa kwa makofi na vigelegele. Usimshangae rukhsa, au hujamsikia mwenye bunge lake na Kesi?
 
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Huyu alikuwa na mipango ya muda mrefu, na Leo kile alikuwa nakapigania kimefanikiwa-mtoto wake anaenda kuwa Rais wa wazanzbari. Sio ajabu atendelea kulia lia kwa jp ili akitoka huko apewe na huku bara.
Hana upeo, naamini hata nyerere alimpitisha ili kuwatuliza wazanzbari
 
Mzee RUKHSA si Baba wa Taifa Mkuu huyo ni Baba yake Hussein Mwinyi Rais mtarajiwa wa Zenj. Hana sifa wala hadhi ya kupewa huo wadhifa.
Tunashukuru kwa kulitambua hili kwamba Mwinyi ndie rias mtarajiwa Zenji.
Sasa mshauri Seif amuunge mkono

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Bandugu,
Mwinyi hakuwa chaguo la Mh JKNyerere. Nyerere alimtaka Mh Salim, ila Wazanzibari waliungana na kumkataa.
Wakiungana na baadhi ya vigogo wa Bara ndani ya NEC, Wazanzibari WAKAMTAKA Mh Mwinyi.
Alipokuwa anakaribia kumaliza kipindi chake palianza porojo kama hizihizi za kurekebisha katiba ili Mwinyi aondolewe kikomo cha muda wa Urais. Porojo hizo zilongozwa na Mh Kolimba zikaungwa mkono na Mh Malecela na kuungwa mkono na wenye njaa zao.
Mh Mwinyi hakuwahi kuonyesha kukataa wala kukataza ujinga huo mpaka Mwl Nyerere alipoingilia na kukwamisha matamanio yake.
 

Attachments

Tunashukuru kwa kulitambua hili kwamba Mwinyi ndie rias mtarajiwa Zenji.
Sasa mshauri Seif amuunge mkono

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa..Hussein Mwinyi mtoto wa mke wa Mzee Mwinyi ndiye mkoloni wa Zanzibar maana wananchi watashindwa kama ilivyokua kwa Maji Maji,Shona na Ndebele,Nama na Herero
 
Anaewapa nafasi waongee anajua kwenye vichwa vyao kuna ugali!!
Yule aliyemtandikaga kibao hakukosea!!

Mkuu ulishajiuliza kwanini Mrema hopewa muda aongee kwenye kikao cha CCM??
 
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.

Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.

Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.

Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.

Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Wazee wapuuzi kama hao ni hasara kwa nchi binafsi mpaka sasa sijaona jipya lilifanywa na huyo wanaemtukuza ambalo wenzie hawakufanya! isipokuwa kuwa ninachojua nikwamba wanacccm wengi wanashangilia sababu anatumia mkono wa chuma kuzuia wapinzani wake kufanya siasa na hata wasio na uwezo wakujenga hoja huko nao wanataka uongozi wakiamini watapita sababu dola inawabeba lkn kwenye ulimwengu wa watu wasiotumia utumbo kufikiri huyo ndugu hana la maana lakuwazidi watawala wenzie
 
Unajua,tujifunze maana ya uhuru wa mtu kutoa maoni,na mzee mwinyi hajaongea kitu kibaya,mradi tu kiridhiwe na watanzania wote,na sababu zake amezitoa kwanini anaomba magu apewe zawadi ya miaka 5 kuongoza
Kwa mtu mwenye akili ile kuwaza tu jambo kama lile tayari hana akili
 
Back
Top Bottom