profesawaaganojipya JF-Expert Member Joined Apr 21, 2015 Posts 1,595 Reaction score 3,416 Apr 23, 2024 #1 Wakuu, kati ya kampuni hizi hapa ipi ni bora kwa ajili ya bima ya gari?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 23, 2024 #2 Zanzibar insurance.
profesawaaganojipya JF-Expert Member Joined Apr 21, 2015 Posts 1,595 Reaction score 3,416 Apr 23, 2024 Thread starter #3 Dr Matola PhD said: Zanzibar insurance. Click to expand... hii ni kwa ajili ya visiwani au hata bara inatumika?
Dr Matola PhD said: Zanzibar insurance. Click to expand... hii ni kwa ajili ya visiwani au hata bara inatumika?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 23, 2024 #4 profesawaaganojipya said: hii ni kwa ajili ya visiwani au hata bara inatumika? Click to expand... Tanzania nzima, hawana longolongo kwenye malipo ikitoka claim.
profesawaaganojipya said: hii ni kwa ajili ya visiwani au hata bara inatumika? Click to expand... Tanzania nzima, hawana longolongo kwenye malipo ikitoka claim.
Mparee2 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2012 Posts 3,092 Reaction score 5,386 Apr 23, 2024 #5 kwa hizo ulizo andika Mimi naikubali Mayfair kwani ndiyo naifaham vizuri Zanzibar insurance ni nzuri pia na inafanya kazi Bara na Visiwani NMB Bank nao ni wakala wa Bima, wanafanya vizuri japo siwajui vizuri
kwa hizo ulizo andika Mimi naikubali Mayfair kwani ndiyo naifaham vizuri Zanzibar insurance ni nzuri pia na inafanya kazi Bara na Visiwani NMB Bank nao ni wakala wa Bima, wanafanya vizuri japo siwajui vizuri