Ipi kazi ngumu kati ya kuongoza nchi na kuongoza chama cha siasa?

Ipi kazi ngumu kati ya kuongoza nchi na kuongoza chama cha siasa?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Ndugu Yericko Nyerere , naona mrija wako upo hatarini kukatwa .

Baada ya ujio wa Tundu Lissu ndo tujaua ukweli ikiwa kilimo cha Bamia kinalipa hadi mtu kujenga hekalu na maghorofa.
 
Ndugu Yericko Nyerere , naona mrija wako upo hatarini kukatwa .

Baada ya ujio wa Tundu Lissu ndo tujaua ukweli ikiwa kilimo cha Bamia kinalipa hadi mtu kujenga hekalu na maghorofa.
Umepiga kwenye mshono kabisa
 

Attachments

  • IMG-20241214-WA0050.jpg
    IMG-20241214-WA0050.jpg
    9.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom